
jeff kisuma
@swaijosephat
activist
human rights
democracy
freedom
liberty
politics
law
ID: 1180008278090289152
04-10-2019 06:34:55
34 Tweet
30 Followers
870 Following

hydro electric dams inafua umeme mkubwa kuliko upepo sababu tu inatumia maji kama chanzo cha nishati na pia unaweza uka tegeneza mazingira kwa kutumia mfumo wa maji kutoka katika chanzo hiko hiko so ni mradi wa nishati rafiki wa mazingiara Maria Sarungi Tsehai fatma karume aka Shangazi

ni muhimu kitu hiki kifanyike na hapa kwetu tanzania ili kudhibiti au kuondoa viashiria vya rushwa ya ngono katika elimu ya juu @umwalimu Maria Sarungi Tsehai fatma karume aka Shangazi @Alvaro_UNTZ UNESCO 🏛️ #Education #Sciences #Culture 🇺🇳 LHRC @TzPccb Gerson Msigwa Dr John Magufuli Samia Suluhu Mwigulu Nchemba, PhD

kwanin kila unachosema kimejaa uchochezi ni wazi kuwa wewe sio mpinzani wewe ni mhasi your not on opposition site you are a political lebel Zitto MwamiRuyagwa Kabwe Seif Sharif Hamad John Heche Peter Msigwa fatma karume aka Shangazi


ni wakati wanafunzi wa kitanzania kujitokeza ili kukomesha hii hali ya kutumika kingono au kufanywa chombo cha starehe katika nyanja ya elimu ya juu na kudhibiti rushwa ya ngono @umwalimu fatma karume aka Shangazi Jebra Kambole LHRC Maria Sarungi Tsehai PCCB @TzPccb

je tanzania kuna sheria ya abortion? kama haipo je kuna umuhimu wa kuwepo? Na je ikiwepo itakuwa na madhara kiasi gani kwa jamii yetu? na kama ikiwepo itakuwa na faida kiasi gani kwa jamii yetu? fatma karume aka Shangazi Maria Sarungi Tsehai Flaviana Matata @umwalimu Clouds Media

kuna nafasi kubwa sana ya kuendelea kutoa kipau mbele kwenye sera yetu ya mazingira ambayo ni rafiki kwa uchumi wa viwanda January Makamba George Simbachawene Maria Sarungi Tsehai fatma karume aka Shangazi Hussein M Bashe fatma karume aka Shangazi Ridhiwani Jakaya Kikwete, Ndc UNDP Tanzania UN Development

khery ya kuzaliwa mh jakaya mrisho kikwete we miss you diplomatic and charming leadership asante kwa yale yote uliyotusaidia sisi kama taifa Ridhiwani Jakaya Kikwete, Ndc Jakaya Kikwete fatma karume aka Shangazi Maria Sarungi Tsehai Togolani Mavura Swahili Times Swahili Times Zitto MwamiRuyagwa Kabwe Hussein M Bashe

I think its cool to respect humanity and take gods fear when it comes to war because its an economical destruction and loss of lives of innocent people Lindsey Graham Donald J. Trump Nancy Pelosi Vice President JD Vance Barack Obama Hillary Clinton appreciate diplomacy but not war and bloodshed

Ni kauli ya uvunjaji wa amani ni Kama Zitto MwamiRuyagwa Kabwe alipotumia neno takbir ikumbukwe wapinzani hushinda chaguzi kwa fujo na uvunjifu wa amani mfano mwanza wapinzani walichukua Jimbo la ilemele na nyamaga mwaka 2010 kwa uvunjifu wa amani Bernard K. Membe Abdul Nondo 🇹🇿 Ado Shaibu Halima James Mdee

Kustaafu siasa kwa heshima ni Jambo jema kuliko kuingia kwenye hila na uchu wa madaraka Bernard K. Membe Zitto MwamiRuyagwa Kabwe Seif Sharif Hamad Ndugu membe hagombei kwa Nia ya kuongoza watanzania anagombea ili aikomoe CCM Bernard K. Membe acha siasa za chuki umeenda upinzani kwa chuki ya kukatwa juna



USA world superpower and world claimer of democracy proving to the world to have an election full of violence and abuse of human rights Chargé d’Affaires Carla Benini U.S. Ambassador to Tanzania UN Human Rights Tundu Antiphas Lissu Maria Sarungi Tsehai fatma karume aka Shangazi calling USA to stop preaching the world about fake democracy

Mfano wa kuigwa na ujumbe unaongea kwa sauti kubwa Sana afrika mashariki Madenge Jebra Kambole Ridhiwani Jakaya Kikwete, Ndc BBC News Swahili Salim Kikeke Maria Sarungi Tsehai Dr Hussein Ali Mwinyi Hussein M Bashe Joseph L. Haule @IamJongwe__ Freeman Mbowe Godbless E.J. Lema #peacefullife #utu #ubinadamu

