John Heche
@HecheJohn
Member of chadema central committee. Former Member of Parliament ,Tarime rural constituency 2015- 2020.
ID:558686364
https://en.wikipedia.org/wiki/John_Heche 20-04-2012 12:45:14
77,7K Tweets
731,2K Followers
1,4K Following
#KILIMANJARO : Shule ya Msingi #Kugulunde ipo katika Kitongoji cha Mahande, Kata ya Mtii, Wilaya ya #Same
Shule hiyo ya Serikali ambayo ina Wanafunzi zaidi ya 100 ina Miundombinu chakavu na mingine haijarekebishwa tangu ilipopata changamoto ya kuharibiwa na mafuriko Mwaka 2011…
John Heche Hivi majajinwa Kenya si wanaomba kazi? Wanalipwa Moja Kwa moja na hazina? Hazina ya Kenya ipo chini ya Rais? Katiba mpya itakayo punguza majukumu ya Rais ni muhimu! Tunahitaji Rais atakaye kuwa na uchungu wa kweli kwa kufanya kweli!
John Heche Tanzania hatuna Mahakama wala Majaji,Majaji ni Machawa wa Ccm na Mahakama zipo kuonea Wanyonge!
'Mafanikio yatajengwa na Wanasimba wote hilo ndio muhimu zaidi. Kwa wachezaji sitaangalia majina bali anayefanya vizuri, kiwango cha mchezaji ndio kitafanya nimtumie.'- Kocha mkuu Abdelhak Benchikha. #WenyeNchi #NguvuMoja
John Heche Sidhani kama hata wanafuatilia yanayoendelea duniani zaidi kuangalia Rais kasema nini tu