fatma karume aka Shangazi
@fatma_karume
Who’s to blame if repression remains? We are. Who can break its thrall? We can. Whoever has been beaten down must rise to his feet! Whoever is lost must fight
ID:953871384400269312
18-01-2018 06:07:14
69,3K Tweets
1,1M Followers
600 Following
Mhe Rais Samia Suluhu huyu Mkuu wa Mkoa anaenda kinyume na agizo lako la Nov.2021 na Waraka wa Kamishna wa Elimu No. 2 2021 kuhusu kurudisha watoto waliodondoka kwa ajili ya ujauzito na sababu nyingine kurudi shule.
Shida iko! Kama wamarekani wanavyosema “Houston, we have a problem”
😄😄
Ila NGO zote kubwa sijaona mkitia neno - vipi? #ArudiShule si lelemama!
Tukipata kiongozi mwingine kama Magufuli au huyu RC ndo tunaanza mchakamchaka tena!
Mtoto wa kike mwacheni asome! Ujauzito si kosa