Mdude Chadema
@mdudechadematz
I'm back from prison.
MDUDE PEOPLE'S VOICE (MPV).
An Activist For Democracy and Good Governance. Tanzanian🇹🇿.
ID:1417391073253629953
20-07-2021 07:49:19
5,5K Tweets
122,8K Followers
390 Following
Follow People
#Maandamano Kahama yakiongozwa na mwenyekiti wa @chadema taifa Freeman Mbowe tunayahitimisha hapa viwanja vya maroli Kahama mjini. Tunachotaka ni #KatibaMpya na #Tume_Huru_Ya_Uchaguzi .
Muda huu katika viwanja vya mashujaa wa vita vya Kagera hapa kwa General Mayunga tukihitimisha maandamano ya kudai #KatibaMpya na Tume huru ya Uchaguzi. Tumeandamana kwa zaidi ya km 7 na baada ya hapa kituo kinachofuata ni Kahama Shinyanga. Hodi Kahama.
Habari nilizozipata muda huu ni kwamba Kennedy Mwamlima aliyekuwa akikosoa utendaji wa Rais Samia Suluhu katika mtandao wa TikTok amepatikana Igogo Igunga Tabora. Kwa sasa anapelekwa hospital kwa sababu ana majeraha kwenye mwili wake ikiwemo mikononi. Asanteni wote mliopaza sauti
25/9/2023 niliandika hapa juu ya taarifa zinazohusu Dr. Tulia Ackson kufadhili kikosi cha Green Guard ili aniuwe kwa kunikata mapanga.
7/10/2023 niliandika taarifa za TISS Mbeya kupanga tukio hilohilo juu yangu
Tukio la Mwamlima kutekwa tunawatuhumu Tulia na TISS Mbeya kuhusika.
Rais Samia Suluhu kwanini serikali yako imemteka kijana wa watu anayeangazia mapungufu ya serikali yako? Rais ni mtumishi wa umma serikali yake inapofanya vibaya lazima akosolewe au kama hataki kukosolewa aache kazi tuajiri mwingine. Tafadhari mwachieni Kennedy Mwamlima.
Mwamba ana Piga Harakati za Face to Face tena ana zungumza Changamoto za WanaNchi wa Jimboni kwake, ila Serikali ya Samia Suluhu ime mkamata huu ni uonevu Mkubwa saana Kosa lake hapa ni Lipi.....???
Police Force TZ acheni uonevu kwa Raia
Kenedy Mwamlima ambaye ni TikToker maarufu kwa kukosoa serikali ya Samia ametekwa na watu wanaodaiwa ni polisi Mbeya mjini. Siku ya tano leo ndugu zake hawapati ushirikiano wa kutosha kutoka polisi Mbeya. Sisi watetezi wa haki tunaitaka serikali ya Samia Suluhu imwachie Mwamlima.