
kimbesa.
@kimbesa11
About me:
๐BA.Ed+Masters of Ed. Policy Planning & Administration+Tutor(Mkufunzi).
ID: 2297791403
22-01-2014 18:22:40
16,16K Tweet
1,1K Followers
4,4K Following



Joseph Mbilinyi Kuamini hiyo slogan ya no reform ni ishara ya upofu wa akil. Mpaka sasa Vyama vyote vyenye mlengo wakizalendo siyo wakibeberu vimeshasain maadili ya kushiriki uchaguzi. Lakin bado Kuna chama kinatumia ruzuku kusambaza kitu ambacho hakipo na hakijitokea. Hebu CDM acheni utapeli

John Heche Riport hii hapo...kwani Sativa yupo wapi? Mbona hatumuoni Tanzania, mm binafs nataka nimfungulie kesi alinitukana. Watu wanakimbilia nchi nyngne ili wakitutukana mitandaoni tusiwapate, Ila jueni tu kuwa jinai huwa haifi.. Kuna siku hao mabeberu wanaowatunza huko watafilisika tu


king_davd_ll Adui Wa Yanga Chadema mnatumia ruzuku na kuchangisha watu hela ili kusambaza slogan maiti Kama hiyo. Hii ni ishara ya kuwa na viongozi wasio wenye uwezo finyu, Yani kabisa unazunguka nchi nzima huku unatumia ruzuku kuongea vitu ambavyo havipo na haviwezekan, hv inamaana nyny hamjui kuwa haipo?


kimbesa. EastAfricaTV Samia Suluhu Na Mimi October tunatiki โ โ โ

Samia Suluhu Kwa umoja wetu tunasema; #OCTOBERTUNATIKIโ #KaziNaUtuTunasongaMbele #kaziiendelee

Tanzania Kwanza Chama Cha Mapinduzi Kuna baadhi ya vyama vya siasa vinatumiwa na mabeberu au ni miradi ya mabeberu. #KaziNaUtuTunasongaMbele #OCTOBERTUNATIKI โ โ โ


Swahili Times Mh. Rais Samia Suluhu Hassan ni Suluhu ya matatizo ya sisi Watanzania. #KaziNaUtuTunasongaMbele #OCTOBERTUNATIKI

CLUB Magufuli US Embassy Tanzania EU in Tanzania Canada in Tanzania The Christian Post The Gospel Coalition Freedom Church I was told that You are being paid by the Western, but please respect Tanzanian and African values and refrain from undermining them. Don't try to impose Western standards on our nation; Tanzanian values belong to Tanzanians, while Western values belong to Westerners.


Anna Tibaijuka Samia Suluhu Bunge la Tanzania Chama Cha Mapinduzi Nakuunga mkono Prof. October tunatiki โ



Mr Arsenal Jebra Kambole Police Force TZ Chadema Tanzania Nawaasa Mr Arsenal Chadema Tanzania Chadema Tanzania John Heche John Heche kemeeni matusi ya wafuasi wenu ondoeni hii laana ya matusi ya wafuasi wenu

ACTWazalendo Ngome ya Wanawake Janeth Rithe Hotuba zisizo na Maadili zinachangiwa na uchaguzi mubaya wa viongozi, viongozi wasio na sifa, viongozi wasio na utu, tunaomba Sheria zetu ziwe ON zaid ili kuwadhibit Hawa viongoz hasa Upinzani wanaotukosea Maadil Chadema Tanzania IMEJAA WATUKANAJI ACTWazalendo matus mmeanza lini ?

Rose Mayemba ๐น! Ulishawahi kumuuliza Dr Willibrord Slaa ? Lile kundi la Watekaji ndani ya chadema ni kina nani? The Notorious JayZ

John Pambalu Ila Chadema Tanzania bwana kwahyo akina Mange Kimambi #sativa #mariaSarungi nk ndo wasemaji wa chadema๐ฎ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Chama kimezungukwa na "Peopleย whoย areย sociallyย ignored" Hao akina mange hata mtoto mdogo hataki kiwasikia lakin chadema ndo wasemaji wao wakuu.

๐๐ฎ๐ญ๐ก๐๐ซ ๐๐ค๐ฒ๐จ๐จ ACTWazalendo wanajitambua wanajua kuwa nchi yetu inaongozwa kwa misingi ya Sheria, ukiropoka upotoshaji na matusi ujue hujatumwa na Chama hayo ni yako, Sijawahiona mtu wa ACT anatukana Wala kushabikia matusi hongera zao. Nawaambia Chadema Tanzania matusi yenu hayatawasaidia kamwe

Ndolezi Janeth Rithe Hivi Toka lini na nyie ACTWazalendo mmeanza kutoa kauli za hovyo kiasi kile, Hawa watu wawe wanafunguliwa kesi na kufungwa kabisa Ili iwe fundisho kwa watu wengine. Heshimuni viongozi kila kitu kiangalie kwa upande wako je! Ww ungependa kuambiwa kauli za hovyo Kama zile?
