John Pambalu
@John_Pambalu
BAVICHA National chairman, Butimba ward councillor (2015-2020), MP Candidate, Activist and entrepreneur.
ID:980521402678874113
https://twitter.com/Dream_Agritech?s=09 01-04-2018 19:04:54
23,8K Tweets
281,3K Followers
1,3K Following
Hapa tumekutana wakulima wa mahindi mkoa wa Songwe tukijadili fursa ya kuuza mahindi msimu huu Zambia ambako wamekumbwa na ukame. Hatutarajii Hussein M Bashe kunyanyua mdomo wake na kutaka kutupangia au kufunga mpaka haki ya nani tutamnyoa upara safari hii.
Kaimu M'kiti BAWACHA Taifa Mhe.Sharifa Suleiman SharifaSuleiman atuma salaam za Eid Mubarak kwa Waislamu wote nchini.
Leo amezaliwa kaka na rafiki mwema Patrick Ole Sosopi. Kitu muhimu kwa Sosopi kwa wengi wasiomjua, jamaa ni mshauri mzuri sana. Hanaga papala anaweza kukueleza kwa hili nipe muda kikubwa subira. Akikushauri kamaliza, jamaa aliumbwa na HEKIMA ya ajabu. Mungu akupe maisha marefu niga
Mimi sipotezi muda natengeneza pesa kidogo kidogo nimejiajiri, wewe unatembeza CV uajiriwe, 1kg ya konokono nauza kati ya $10-$20 ,ute wa konokono 1 liter nauza kati ya $1000-$2000 wewe na Mimi nani anapoteza muda? #KilimoNiAjira
Malembo Farm Academy