Bandura, (2023) (@bandura2023) 's Twitter Profile
Bandura, (2023)

@bandura2023

Human Rights Watch Activist//Education Activist//curruption fighter//
Education=PhD Student.

ID: 1598889580475961344

calendar_today03-12-2022 03:59:31

5,5K Tweet

432 Takipçi

1,1K Takip Edilen

Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesisitiza umoja wa wanachama ndiyo uliokiwezesha Chama kufanya mambo makubwa. Wasira alisema hayo mjini Bunda katika sherehe za kilele cha maadhimisho ya miaka 49 ya kuzaliwa kwa CCM. “Niwaambie

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesisitiza umoja wa wanachama ndiyo uliokiwezesha Chama kufanya mambo makubwa.

Wasira alisema hayo mjini Bunda katika sherehe za kilele cha maadhimisho ya miaka 49 ya kuzaliwa kwa CCM.

“Niwaambie
kimbesa. (@kimbesa11) 's Twitter Profile Photo

Jambo TV Chadema Tanzania Hii kesi ISIFUTWE ili iwe fundisho kwa viongozi wengine wa vyama vya siasa ambao wanadhani wanaweza wakaichezea tu amani ya Tanzania yetu wakome mara moja. Tunaiomba Mahakama ya Tanzania itimize majukumu yake kwa Mujibu wa Sheria za nchi yetu. Tunaimani kubwa sana na Mahakama zetu.

kimbesa. (@kimbesa11) 's Twitter Profile Photo

👉Kiongozi usitegemee kupigiwa makofi na wezi wa Mali za umma. 👉Kiongozi usitegemee kupigiwa makofi na watu ambao wanaona utendaji kazi wako utawakosesha kura za wananchi mwaka 2030. 👉 Kiongozi usitegemee kupigiwa makofi na watu uliowazidi utendaji wa kazi, hiyo HAIPO.

kimbesa. (@kimbesa11) 's Twitter Profile Photo

Viongozi wetu kazi mnayoifanya tunaiona vitendo vinaongea kuliko maneno. Mmetupandisha watumishi mishahara iliyokuwa imeganda kwa muda mrefu, mmelipa arrears zote, mmejenga shule mpya Kila wilaya na Kila mkoa, mmejenga hosp ya rufaa Kila Kanda, sasa CT scan zinapatina hata katavi

kimbesa. (@kimbesa11) 's Twitter Profile Photo

Mmekamilisha miradi yote ya kimkakati (hii inawauma wapinzani) mmejenga barabara na madaraja Kila Kona ya nchi. Maelfu kwa maelfu wanapata scholarship India, madawa yapo yakutosha, Ajira zinamiminika Kila mwaka. Mmeanzisha mifumo ya kiutendaji (ESS) ambayo imeondoa kabisa urasm

kimbesa. (@kimbesa11) 's Twitter Profile Photo

KAZI NA UTU TUNASONGA MBELE 🇹🇿 MUNGU WABARIKI VIONGOZI WETU WA AWAMU YA SITA WAKIONGOZWA NA MZALENDO NO. 1 WA TANZANIA, Mh. RAIS DR. Samia Suluhu NAWATAKIENI FUNGA NJEMA na KWARESMA NJEMA.

kimbesa. (@kimbesa11) 's Twitter Profile Photo

Jambo TV Kushangiliwa/kutoshangiliwa ni kawaida sana na wala si kipimo cha utendaji kazi watashangilia kwasababu hawajakuona muda mrefu (furaha), hawatashangilia kwasababu umezuia mianya ya rushwa na ufisadi, hawatashangilia kwasababu wanaona utendaji kazi wako utawanyima kura 2030.

Samia Suluhu (@suluhusamia) 's Twitter Profile Photo

Mapema leo jijini Arusha nimemkaribisha na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Ghana, Mheshimiwa John Dramani Mahama ambapo tumejadili juu ya kuimarisha ushirikiano wa kimkakati katika mageuzi ya kiuchumi, kuongeza thamani ya rasilimali zetu, ajira kwa vijana na maendeleo ya

Mapema leo jijini Arusha nimemkaribisha na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Ghana, Mheshimiwa John Dramani Mahama ambapo tumejadili juu ya kuimarisha ushirikiano wa kimkakati katika mageuzi ya kiuchumi, kuongeza thamani ya rasilimali zetu, ajira kwa vijana na maendeleo ya
kimbesa. (@kimbesa11) 's Twitter Profile Photo

Samia Suluhu Hongera sana Mh. Rais kwa kuendeleza diplomasia na mataifa mengine, hii ni fursa kubwa ya kiuchumi baina yetu na watu wa Ghana. Kama ilivyo Tanzania na India kupitia wewe Mh. Rais na Rais wa India sasa Kuna maelfu kwa maelfu ya watanzania wanapata scholarship za kusoma India.

kimbesa. (@kimbesa11) 's Twitter Profile Photo

CWPedro CCM inajitetea yenyewe kupitia utekelezaji Bora wa ilani zake, hakuna mtu mwenye uwezo wa kuitetea CCM, CCM ni watanzania wazalendo, CCM ni maendeleo, CCM ni umoja wa Taifa letu, Hao vyama vingine ni njaa tu zinawahangaisha. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

kimbesa. (@kimbesa11) 's Twitter Profile Photo

I am about to conduct a study on "The Influence of the Revised Education Curriculum on Student's Skills Development: A Case Study of Dodoma, Iringa, and Mbeya Regions" Therefore I kindly request your support (finance, advice) and cooperation when I arrive in your region -June

kimbesa. (@kimbesa11) 's Twitter Profile Photo

The total estimated cost for this study is Tsh 150 mil. This budget covers travel expenses, journal publications, stationery, meals accommodation and seminar costs. These funds will ensure the efficiency of the study as it seeks to assess the impl of the ongoing revised ed Curr