Jen_
@jennie_wwt
Activist
ID: 1189160594739531776
29-10-2019 12:43:00
88,88K Tweet
3,3K Followers
830 Following
Napokea simu nyingi- zikiuliza kuhusu Martin Maranja Masese Ni kwamba, Martin hajatekwa bado wala kukamatwa ila, Polisi wamekamata simu zake zote (IPhone 15 & Samsung) hivyo zipo mikononi mwa Polisi. Poleni kwa kutopokelewa. Mwenetu ni mzima wa afya. Sept 18, 2024 #NeverNeverAgain
kama wananchi, ni lazima tusimame pamoja kukemea na kulaani vikali tabia ya serikali kutumia Police Force TZ kunyamazisha wakosoaji wake. tusisubiri siku yetu ifike, lazima tupaze sauti dhidi ya vitendo vya polisi kunyakua baadhi yetu na kutunyanyasa pasi na kosa lolote la msingi.
UPDATE: UKAGUZI KWA BON Jeshi la Polisi (Police Force TZ) wamefika nyumbani kwa Bon, hapa Msakuzi kwa ajili ya upekuzi. Mawakili wa Chama wapo hapa kushuhudia upekuzi. Anyways ni saa 2: 02 usiku!
Polisi wakiingia nyumbani kwa Boniface Jacob muda huu kufanya upekuzi.
Alert 🚨 Simu ya Martin Maranja Masese iko Polisi hivo usimtumie ujumbe wowote hadi hapo watu wake wa karibu wataujuza Umma Ikumbukwe Martin ni miongoni mwa watu zaidi ya 10 wanaotakiwa kukamatwa Mmoja wamemkamata kinyemela leo Boniface Jacob Pongezi kwa wananchi waliokuwa karibu na
Jeshi la polisi Police Force TZ tumefahamu mipango yenu na Njama zenu mbaya za kumkamata BONI YAI siku Nne kabla hamjamkamata Leo, Mwachieni Simba Boniface Jacob mara Moja na bila mashariti yeyote! Acheni kutumiwa kisiasa kukamata watu wenye nguvu na ushawishi mkubwa Kwa jamii yetu!
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimeshtushwa na kitendo cha kukamatwa kwa aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob , kikidai kuwa taratibu za kisheria hazikufuatwa. LHRC imeeleza kuwa ukamataji huo umefanyika bila taarifa rasmi za sababu za kukamatwa
😃😃Vipi Samia Suluhu ? Nasikia umechomoa safari ya New York UNGA 😂 Tulishajiandaa kukupokea mbona? Kumbe umeona moto uliyojitengenezea? Utaishia isolated kuliko hata Magufuli … endelea tu! You can’t kill and lead us! #TutaelewanaTu
Nimesikitishwa sana na hili tukio la kukamatwa kwa Boniface Jacob huu utawala mwisho wake hautakua mzuri kabisa.