Tunahitaji kupata wanasiasa wenye uwezo na nguvu ya ushawishi katika kusimamia upatikanaji wa #KatibaMpya . — Begga Richard #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/4b2qo4F
Tunatakiwa kujifunza kwa nchi ambazo zimepigania mabadiliko na #KatibaMpya mpaka wakafanikiwa, haikupatikana kirahisi bali kwa juhudi kubwa za wananchi. — Wilson E.Tarimo #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/4b2qo4F
#MwlNyerere aliwahi kusema katiba ni ya udikteta lakini hakubadilisha, katiba hii itabadilishwa na wananchi na sio viongozi waliopo madarakani. — lalasalama #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/4b2qo4F
Kusema ukweli ni kuchukua risk ya kuteswa kuliko mtu anayeiba na kusema uongo. Taifa hili linahitaji marakaebisho makubwa ambayo tutaweza kupata viongozi waadilifu wasipenda rushwa. — Godbless E.J. Lema #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/4aie53a
Kuna ubaguzi mkubwa wa kiakili kiasi ambacho wabunge walitakiwa watoe neno kukemea hili, tunahitaji bunge linalowajibika kwa wananchi. — Godbless E.J. Lema #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/4aie53a
Imekuwa ni kawaida CCM kudharau maoni ya umma wa Watanzania. Tunahitaji kuwapunguzia madaraka yao ili mamlaka yarudi kwa wananchi. — Begga Richard #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/4b2qo4F
Waziri Mkuu anatakiwa awe mbunge aliyechaguliwa kwa kura lakini waziri wa sasa alipita bila kupingwa. — J.James #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/4aie53a
Haki zinavunjwa kutokana na viongozi kuacha msingi na mfumo halisi wa utawala na uongozi. Tunahitaji uongozi ambao utadhibitiwa na katiba na viongozi fanya kwazi kwa mujibu wa katiba. — herman godt🇹🇿 #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/4b2qo4F
Hatutakiwi kukubali uhalifu wa uchaguzi, ni ubinafsi wa hali ya juu ambao tunatakiwa kuuacha. — Godbless E.J. Lema #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/4aie53a
Kwa nini tukose majibu ya watekaji nchini wakati tuna mifumo yote ya kiusalama. Tunahitaji katiba ambayo mifumo ya kiusalama kuwajibika kwa maslahi ya wananchi. — herman godt🇹🇿 #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/4b2qo4F
Nchi hii imejipanga vipi katika kuleta mapinduzi kati ufugaji na kuingia ufugaji wa kisasa, hizi ndio ajenda za msingi ambazo viongozi wanatakiwa kuzingatia ili kukuza uchumi wa nchi hii. — Godbless E.J. Lema #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/4aie53a
Viongozi kuwa na propaganda za uongo na wananchi kuacha udhalimu huu unendelea ni jambo baya sana. Wananchi wanatakiwa kuwajibika kupigania haki zao. — Godbless E.J. Lema #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/4aie53a
Viongozi wa dini nchini wanaogopa kupinga dhambi hadharani kwa kuwa dhambi hiyo ilianza kukemewa na kiongozi wa kisiasa. Kueteta haki inapaswa kufanywa na watu wote bila kujali nni nani. — Godbless E.J. Lema #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/4aie53a
Mtu anayepigania haki ni rafiki anatakiwa kusikilizwa hoja zake wa nchi na si adui wa nchi, tunahitajika kuzingatia haki ya kujieleza. — Godbless E.J. Lema #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/4aie53a
Nchi ni ya watanzania wote na si kikundi cha watawala, tunatakiwa kudai mamlaka yetu kupitia #KatibaMpya . — Ananilea Nkya (PhD) #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/4b2qo4F
Kukawia kwa #KatibaMpya ni kwa sababu ya wananchi na tunatakiwa kujilaumu, Mungu ametupa nchi nzuri ni wajibu wetu kuisimamia kwa kuitengenezea katiba bora. — Ananilea Nkya (PhD) #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/4b2qo4F
Maasai ni utambulisho wa Tanzania na ni utamaduni unaovutia, hawatakiwi kunyanyaswa katika ardhi yao enzi na enzi. Shida ni katiba ambayo haiwezi kulinda watu na mali zao. — @Shebby #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/4aie53a
Kufeli kwa maridhiano kumetoa picha halisi ya mfumo wa utawala tulionao unaamini katika nyenzo gani. Wameshindwa kuchukua maoni halisi ya wananchi ya kujenga Tanzania bora. — herman godt🇹🇿 #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/4b2qo4F
Wana CCM wamekuwa wakipendelewa hata katika nafasi za ajira ukiwa na kadi ya uanachama ni rahisi kupata kazi kuzidi asiye na kadi na ambaye ana vigezo. Ubaguzi huu haufai. — wise mumy@shama'skitchenet #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/4aie53a
Wananchi hawapewi haki ya ardhi kama muwekezaji ambaye ananufaisha watawala, wamezingatia kuboresha sheria za ardhi kusingekuwa na mgogoro wa ardhi wa wakulima na wafugaji — wise mumy@shama'skitchenet #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/4aie53a