Martin Maranja Masese(@IAMartin_) 's Twitter Profileg
Martin Maranja Masese

@IAMartin_

MMM | Full-time Father | Public-spirited | Sperm That Won The Race, ME | Think Deep Don’t sink | Cogito, ergo sum |

ID:126657061

linkhttps://www.instagram.com/martinmaranjamasese?igsh=bTR1eWEzOTRqcGtj&utm_source=qr calendar_today26-03-2010 15:32:42

145,3K Tweets

508,1K Followers

1,5K Following

Follow People
Martin Maranja Masese(@IAMartin_) 's Twitter Profile Photo

“Tutatoza kodi stahili kwa matajiri ili tuwaendeleze wananchi walio chini kimaendeleo” - Mwigulu Nchemba, Waziri wa fedha, 22.05.2024, Bungeni, Dodoma.

Sisi ni watanzania, na tunazungumza kiswahili, lakini Waziri wa Fedha Tanzania, Mwigulu Nchemba akizungumza unahitaji

“Tutatoza kodi stahili kwa matajiri ili tuwaendeleze wananchi walio chini kimaendeleo” - Mwigulu Nchemba, Waziri wa fedha, 22.05.2024, Bungeni, Dodoma. Sisi ni watanzania, na tunazungumza kiswahili, lakini Waziri wa Fedha Tanzania, Mwigulu Nchemba akizungumza unahitaji
account_circle
Martin Maranja Masese(@IAMartin_) 's Twitter Profile Photo

Kuna wakati uwatendee binadamu kama wanavyokutendea. Nikueleze, roho yako nzuri haitakupeleka popote. Hakuna tuzo ya binadamu anayemiliki roho nzuri. They should have a taste of their own medicine. They must comprehend the feeling at times.

account_circle
Martin Maranja Masese(@IAMartin_) 's Twitter Profile Photo

Habari ya kazi zuhura yunus? Ni siku ya 10, tangu Rais Samia Suluhu aondoke Tanzania kwenda Paris, France na pia ni siku ya 8 tangu Rais aondoke France kwenda Dubai (safari ambayo haikutajwa popote na Ikulu). Rais yupo wapi? Hayupo nchini? Amerudi? Ni wajibu wenu IKULU kutueleza.

account_circle
Martin Maranja Masese(@IAMartin_) 's Twitter Profile Photo

Wananchi wa Kenya wanamkaanga Rais wao, William Samoei Ruto, PhD kwa kutumia kiasi cha TZS 3.94 bilioni ($1.5 million) kwa siku 4 katika safari yake ya USA.

Watanzania tupo usingizini. Hatuelezwi lolote kuhusu Rais wetu tangu alipotoka kuhudhuria mkutano wa nishati safi ya kupikia huko

Wananchi wa Kenya wanamkaanga Rais wao, @WilliamsRuto kwa kutumia kiasi cha TZS 3.94 bilioni ($1.5 million) kwa siku 4 katika safari yake ya USA. Watanzania tupo usingizini. Hatuelezwi lolote kuhusu Rais wetu tangu alipotoka kuhudhuria mkutano wa nishati safi ya kupikia huko
account_circle
Martin Maranja Masese(@IAMartin_) 's Twitter Profile Photo

Uchaguzi wa CHADEMA - Kanda ya Nyasa unafanyika 29.05.2024, Makambako, Njombe. Kama ungelikuwa ni kati ya wapiga kura, ungemchagua nani kati ya wawili hao kuwa mwenyekiti wa kanda?

Zingatia; Msigwa amekuwa mwenyekiti wa kanda hiyo miaka kumi; SUGU ni mara ya kwanza anagombea.

account_circle
Martin Maranja Masese(@IAMartin_) 's Twitter Profile Photo

Kuna wakati najiuliza maswali mengi sana sipati majibu. Kweli hawa watangazaji wanayo taaluma ya habari? Kama wanayo ni kweli wanatumia ubongo walionao au kichwa kimetumika kama pambo la kubeba nywele?

Pili, kujenga miradi ya maendeleo, huo siyo wajibu wa chama cha siasa. Vyama

account_circle
Martin Maranja Masese(@IAMartin_) 's Twitter Profile Photo

Binafsi naamini viongozi wa CCM hawana ubongo unaofanya kazi. Najaribu kufikiri tu kama viongozi wapo hivyo, ni vipi wanachama na wafuasi wa CCM?

Hii ilikuwa ni Mei 2033, Daniel Chongolo akiwa na William Lukuvi na wazandiki wengine wakaenda kufanya ulaghai kwa wanachama wao wa

account_circle
Martin Maranja Masese(@IAMartin_) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Ashatu Kijaji, mbunge wa Kondoa, Dodoma anasema Tanzania kuna jumla ya viwanda 13 vya magari. Viwanda vya kutengeneza magari? Au anazungumzia gereji za kuunganisha vyuma? Kama viwanda vya magari vipo, kwanini tunanunua magari ya mtumba kutoka nje?

Waziri wa @ViwandaBiashara, Ashatu Kijaji, mbunge wa Kondoa, Dodoma anasema Tanzania kuna jumla ya viwanda 13 vya magari. Viwanda vya kutengeneza magari? Au anazungumzia gereji za kuunganisha vyuma? Kama viwanda vya magari vipo, kwanini tunanunua magari ya mtumba kutoka nje?
account_circle
Martin Maranja Masese(@IAMartin_) 's Twitter Profile Photo

MJAMZITO AFARIKI HOSPITALI YA WILAYA MBARALI.

Felister Tenyange (39), hivi sasa ni marehemu, ambaye alikuwa mtanzania, mkazi wa kata ya Mawindi wilaya ya Mbarali, mkoa wa Mbeya.

Siku ya Ijumaa kuamkia Jumamosi, 17.05.2024 usiku alifika katika hospitali ya wilaya Mbarali

MJAMZITO AFARIKI HOSPITALI YA WILAYA MBARALI. Felister Tenyange (39), hivi sasa ni marehemu, ambaye alikuwa mtanzania, mkazi wa kata ya Mawindi wilaya ya Mbarali, mkoa wa Mbeya. Siku ya Ijumaa kuamkia Jumamosi, 17.05.2024 usiku alifika katika hospitali ya wilaya Mbarali
account_circle
Martin Maranja Masese(@IAMartin_) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu, MP Wizara ya Afya imesheheni ujinga wa kutisha sana. Mtanzania anapoteza maisha yake kwa uzembe wa watoa huduma? Ofisini unafanya nini ikiwa kuna Mtanzania huko Rujewa-Mbarali, Mbeya, amefariki wakati wa kujifungua watoa huduma wamekunja nne tu? Kwa kuwa

Waziri wa Afya @ummymwalimu Wizara ya Afya imesheheni ujinga wa kutisha sana. Mtanzania anapoteza maisha yake kwa uzembe wa watoa huduma? Ofisini unafanya nini ikiwa kuna Mtanzania huko Rujewa-Mbarali, Mbeya, amefariki wakati wa kujifungua watoa huduma wamekunja nne tu? Kwa kuwa
account_circle
Martin Maranja Masese(@IAMartin_) 's Twitter Profile Photo

Hii ni idadi ya Safari za kimataifa alizofanya Rais wa Tanzania, ndugu Samia Suluhu kuanzia April 11, 2021 hadi April 12, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kafanya safari 55 za kimataifa tangu aapishwe kuwa Rais.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

Hii ni idadi ya Safari za kimataifa alizofanya Rais wa Tanzania, ndugu @SuluhuSamia kuanzia April 11, 2021 hadi April 12, 2023. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kafanya safari 55 za kimataifa tangu aapishwe kuwa Rais. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
account_circle
Martin Maranja Masese(@IAMartin_) 's Twitter Profile Photo

REUTERS; Rais wa Iran, Ebrahim Raisolsadati amefariki kwenye ajali ya helicopter.

“mwanangu tukitoka France usizime tafadhali, tunageuza kwenda Iran, kuna msiba mzito.”

REUTERS; Rais wa Iran, Ebrahim Raisolsadati amefariki kwenye ajali ya helicopter. “mwanangu tukitoka France usizime tafadhali, tunageuza kwenda Iran, kuna msiba mzito.”
account_circle
Martin Maranja Masese(@IAMartin_) 's Twitter Profile Photo

Sisi kama mashabiki wa Manchester United, tunacheka kila upande… hatufangamani na upande wowote kama serikali ya Tanzania kwenye vita za kimataifa. 😁

account_circle
Martin Maranja Masese(@IAMartin_) 's Twitter Profile Photo

BUMUNDA ni kiumbe MPUMBAVU sana. Lakini najiuliza, bosi wake anaona nini ndani yake? U-maradona? BUMUNDA ametafuta ‘bluetooth speaker’, kapeleka bungeni siku ya bajeti yake, anawaambia wabunge wenzake huyo anaitwa ‘EUNICE, ni ROBOTI’, piga naye story. Ukimuuliza swali, wanagugo.

account_circle
Martin Maranja Masese(@IAMartin_) 's Twitter Profile Photo

Kumchangia Tundu Antiphas Lissu inaonekana limewakera sana INTERAHAMWE (CCM) na wenzao, zambarau. Wamechukia sana. Lakini siyo mara ya kwanza. MaCCM yalipojaribu kumuua kwa risasi, yalizuia hata asichangiwe damu na yakapiga marufuku kuvaa nguo zenye jina lake. MaCCM ni viumbe katili.

account_circle