John Heche
@HecheJohn
Member of chadema central committee. Former Member of Parliament ,Tarime rural constituency 2015- 2020.
ID:558686364
https://en.wikipedia.org/wiki/John_Heche 20-04-2012 12:45:14
78,5K Tweets
736,6K Followers
1,4K Following
John Heche TBCOnline its too biased News Station,imekaa kisiasa saana na inaegemea Watawala kuwabagua Vyama vingine vya Siasa waziwazi huku wao wakiendeshwa na kodi za WaTZ wote,Mpangilio wao wa vipindi pia haupo makini,IMAGINE WANAKATISHA VIKAO VYA Bunge la Tanzania kuonesha vitu vya kawaida.
Natazama South Africa Broadcasting Corporation (SABC), hii ni TBC ya Afrika Kusini ikiwa imempa nafasi mgombea wa chama cha The Economic Freedom Fighters (EFF) kinachoongozwa na Julius Sello Malema ajinadi na anadi chama chake.
TBC igeni hii mifano.
😅😅 Tukumbushane Tundu Antiphas Lissu alivyopambana hata juzi tu mwaka jana kufika Ngorongoro na alipambana na Polisi hadi akafika kwa ndugu zetu waMaasai 🙏🏽 aliwafariji na ameendelea kusimama nao
Kwa wasiojua Lissu hakuanza mwaka jana kupigania haki za wamaasai kuishi kwenye ardhi yao
Nimepata taarifa ya mauaji mengine Nyamongo…
kinachoendelea ni mauaji ya makusudi kwa watu wetu, vijana wetu wanamalizwa na polisi wa ccm.
Rais Samia Suluhu kwanini unafumbia macho mauaji haya holela kwa watu unaowaongoza!!!!
Makamu Mwenyekiti Bara Tundu Antiphas Lissu akizungumza na wakazi wa Kibaigwa waliojitokeza barabarani kuzuia msafara wake akitokea Singida kuelekea Dar es Salaam, wananchi wamejitokeza kuangalia gari alilopigwa nalo risasi Sept 7,2017 mkoani Dodoma ambapo alikuwa katika shughuli za