Adv. Dickson Matata
@advmatata
advocate/ lawyer
ID: 1415666616348512261
15-07-2021 13:36:56
186 Tweet
18,18K Followers
99 Following
Mwaka kati ya 2012 -2015 kuliandaliwa mdahalo ITV wa makatibu wakuu wa CCM na CDM wa CCM bila taarifa akamtuma Nape Nauye katika mdahalo ule. Dr. Slaa akagoma kuendelea. Hali hiyo imejitokeza tena leo kwa Nchimbi tena bila kutoa taarifa yoyote.Pole sana@ Edwin Odemba
Nafahamu Edwin Odemba atakuwa kaingia gharama kwa kuandaa mdahalo huu. Kama watanzania tuguswe kumchangia gharama hizo kwa kidogo kidogo tulichonacho. Machozi aliyoyatoa ukumbuni baada ya kujua Nchimbi hatatokea yanaumiza sana. Tuwe faraja kwake kwa kuguswa na hali hiyo.
Kwa kila aliyeguswa kuchangia chochote ili kumfariji Edwin Odemba kwa gharama alizoingia baada ya mdahalo kutokufanyika kama ilivyokuwa imepangwa, huku akiwa ameshalipia ukumbi, uandaaji wa kipindi (Production) n.k atume mchango wake kwa Mpesa 0766662533 jina Edwin P. Odemba.
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu naomba kukushauri kama raia wako mambo mawili, Mosi; fanyia marekebisho sheria ya Usalama wa Taifa kuondoa mamlaka ya wao kukamata(arresting) na kutumia silaha. Pili; unda tume huru ya kijaji kuchunguza matukio ya utekaji nchini.