Tundu Antiphas Lissu (@tundualissu) 's Twitter Profile
Tundu Antiphas Lissu

@tundualissu

Tanzania 🇹🇿 Presidential Candidate 2020 for @chadematz | Former President of the Tanganyika Law Society | Parliamentarian | Political Leader | Survivor

ID: 1106021802860515328

calendar_today14-03-2019 02:38:41

1,1K Tweet

776,776K Followers

306 Following

Tundu Antiphas Lissu (@tundualissu) 's Twitter Profile Photo

Ameonyesha kwa kauli & kwa vitendo kwamba anajali. Amethibitisha ujasiri wa kusimamia haki yake & ukweli wake. Amelipa gharama kubwa kutetea nchi yetu & watu wetu. Nani anayefaa kutuongoza mawakili wa Tanganyika zaidi ya Bonnie Anyisile Mwabukusi? Nakuja Dodoma kumpa kura yangu!

Ameonyesha kwa kauli & kwa vitendo kwamba anajali. Amethibitisha ujasiri wa kusimamia haki yake & ukweli wake. Amelipa gharama kubwa kutetea nchi yetu & watu wetu. Nani anayefaa kutuongoza mawakili wa Tanganyika zaidi ya Bonnie Anyisile Mwabukusi? Nakuja Dodoma kumpa kura yangu!
Tundu Antiphas Lissu (@tundualissu) 's Twitter Profile Photo

Advocates! This man deserves to serve us as President. He's proved it by word & deed. He stood up to be counted when it mattered. He's paid heavy price for his justice & his truth. He'll make TLS what it'd be: True Guardians of the Rule of Law. Rushing to Dodoma to vote for him!

Advocates! This man deserves to serve us as President. He's proved it by word & deed. He stood up to be counted when it mattered. He's paid heavy price for his justice & his truth. He'll make TLS what it'd be: True Guardians of the Rule of Law. Rushing to Dodoma to vote for him!
Tundu Antiphas Lissu (@tundualissu) 's Twitter Profile Photo

Mchango Update Latest: Nilitoa update mara ya mwisho tarehe 13 Juni. Naomba radhi kwa kuwachelewesha sana. Hadi kufikia tarehe 31 Julai, takriban miezi miwili & nusu, mchango umefikia sh. 104,081,139 kutoka kwa wachangiaji 3,540. Wastani ni sh. 29,401 kwa mchangiaji. Nawashukuru!

Mchango Update Latest: Nilitoa update mara ya mwisho tarehe 13 Juni. Naomba radhi kwa kuwachelewesha sana. Hadi kufikia tarehe 31 Julai, takriban miezi miwili & nusu, mchango umefikia sh. 104,081,139 kutoka kwa wachangiaji 3,540. Wastani ni sh. 29,401 kwa mchangiaji. Nawashukuru!
Tundu Antiphas Lissu (@tundualissu) 's Twitter Profile Photo

Rais Samia usilete mambo ya ajabu ajabu ya Magufuli. Siku ya Vijana Duniani inasherehekewa duniani kote. Kwa nini mapolisi wako wanazuia vijana wa CHADEMA barabarani & kuwakamata? Matumizi ya mapolisi yalimshinda Magufuli, & wewe yatakushinda. Fungua barabara vijana waende Mbeya!

Tundu Antiphas Lissu (@tundualissu) 's Twitter Profile Photo

Kwa vijana wote mlioko & mnaoelekea Mbeya: Na Mimi niko njiani kuja Mbeya kuungana nanyi. Kama ni kuzuiliwa au kukamatwa, & mimi wanizuie au kunikamata. Huu sio wakati kukaa kimya, kuogopa au kuuma uma maneno. Ni wakati wa kusimama & kuhesabiwa. Tupaze sauti kwa nguvu zetu zote!

Sauti Ya Watanzania (@sautiwatanzania) 's Twitter Profile Photo

EXCLUSIVE: MAZUNGUMZO NA TUNDU LISSU Wapi: Sauti Ya Watanzania Clubhouse Lini: Leo, Ijumaa, August 16, 2024 Muda: 2:00 Usiku (8:00PM) Tanzania Time Karibuni. Tundu Antiphas Lissu

EXCLUSIVE: MAZUNGUMZO NA TUNDU LISSU

Wapi: Sauti Ya Watanzania Clubhouse 

Lini: Leo, Ijumaa, August 16, 2024

Muda: 2:00 Usiku  (8:00PM) Tanzania Time

Karibuni.

<a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a>
Tundu Antiphas Lissu (@tundualissu) 's Twitter Profile Photo

The Ngorongoro Maasai are resisting brutal plans to forcibly evict them out of Ngorongoro. The Samia gov't has cut off social services, water, food & medical supplies to starve them out. It's expunged thousands from the voters roll. Their resistance deserves global solidarity!

Tundu Antiphas Lissu (@tundualissu) 's Twitter Profile Photo

Wamaasai wa Ngorongoro wanapinga kuondolewa kwa nguvu kutoka Ngorongoro. Serikali ya Samia imewanyang'anya elimu, afya, maji & chakula. Imewafuta kwa maelfu kwenye Daftari la Wapiga Kura. Licha ya ukatili huu, wananchi hawa wamekataa kuondoka kwenye eneo lao. Mimi nawaunga mkono!

Tundu Antiphas Lissu (@tundualissu) 's Twitter Profile Photo

Samia alisema Wamaasai wa Ngorongoro waondoke kwao kwa hiari. Baadae akawafutia elimu, afya & maji. Halafu Tume ya Uchaguzi ikawafutia haki za kupiga kura. Sasa mkwe wake amefuta vijiji & kata zao. Samia amevunja Sheria & Katiba. Tupinge azma yake haramu dhidi ya wanaNgorongoro!

Tundu Antiphas Lissu (@tundualissu) 's Twitter Profile Photo

Samia promised they won't be evicted from their lands. She lied. She robbed funds for their education, healthcare & water. Her Electoral Commission struck them off the voters register. Now her son-in-law has wiped their villages off the map. I stand with the Ngorongoro Maasai!