TANZANIA🇹🇿 (@tanzakwanza) 's Twitter Profile
TANZANIA🇹🇿

@tanzakwanza

#Ilove my Country #Fight for my country #UHURU NA WAJIBU
#HAKI NA USAWA#
#PINGA UKOLONI MAOMBOLEO#
#KATAAA SIASA CHAFU#SIASA SIO CHANZO CHA VURUGU AFRIKA🇹🇿

ID: 1314886043850739712

calendar_today10-10-2020 11:11:04

3,3K Tweet

2,2K Followers

562 Following

Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Mkataba ulivyo, miaka 100 ni kidogo, DP WORLD atapewa bandari zetu zote (ukiondoa Zanzibar) ikiwepo bandari ya Dar es Salaam kwa muda usiokuwa na ukomo (milele) na serikali hawatakiwa na haki ya kuvunja Mkataba, kujitoa, kuahirisha au kusitisha mkataba katika mazingira yoyote.

fatma karume aka Shangazi (@fatma_karume) 's Twitter Profile Photo

Leo hii, kwa Sheria hii MBOVU, General Kombe na familia yake isingepata haki. Ndio maana na sema: “You people are not serious!” Mnatengeneza MAZINGIRA ya LAWLESSNESS kwa ku-ABUSE legislative power. Mnanikera sana.

Ideas Adviser 💡🇹🇿 (@mshauriserikali) 's Twitter Profile Photo

NIMESIKITIKA Badala Bunge la Tanzania lifanye kazi yake ya KUCHAMBUA AZIMIO LA MAKUBALIANO ya Uchumi wa Taifa kwa Masilahi ya Watanzania, Bunge Zima Limemaliza Siku Nzima Kumjadili Freeman Mbowe 🤦🏾‍♂️ Kila anayesimama anaongea Kitu kile kile, anarudia Maelezo yale yale 🚮 IT WAS BORED!

NIMESIKITIKA

Badala <a href="/bunge_tz/">Bunge la Tanzania</a> lifanye kazi yake ya KUCHAMBUA AZIMIO LA MAKUBALIANO ya Uchumi wa Taifa kwa Masilahi ya Watanzania, Bunge Zima Limemaliza Siku Nzima Kumjadili <a href="/freemanmbowetz/">Freeman Mbowe</a> 🤦🏾‍♂️

Kila anayesimama anaongea Kitu kile kile, anarudia Maelezo yale yale 🚮

IT WAS BORED!
TANZANIA🇹🇿 (@tanzakwanza) 's Twitter Profile Photo

👉"Pigania wanyonge upoteze 'watu muhimu'au kaa kimya uendelee kuwa rafiki na hao watu muhimu. Not even a tough choice to make... kwa sababu tofauti na hao "watu muhimu", most of hao wanyonge hawana shukrani. Ukitukanwa, wanakucheka. Na wapo bize na ubuyu, kubeti na koneksheni 🤔

Anna Tibaijuka (@annatibaijuka) 's Twitter Profile Photo

Naendelea kuhimiza, kusihi, kushauri na kutumaini kuwa mkataba wa DPW unarekebishwa na mchakato unashirikisha watalaam na wachumi kwani kwa misingi ya kiuchumi Dubai ni mshindani wetu kwenye kuendeleza transhipment potential. Ukimkabidhi bandari zote ni sawa na kujinyonga.

Naendelea kuhimiza, kusihi, kushauri na kutumaini kuwa mkataba wa DPW  unarekebishwa na mchakato unashirikisha watalaam na wachumi kwani  kwa misingi ya kiuchumi Dubai ni mshindani wetu kwenye kuendeleza transhipment potential.  Ukimkabidhi bandari zote ni sawa na kujinyonga.
CAF_Online (@caf_online) 's Twitter Profile Photo

Taifa Stars inakaribia kufuzu #TotalEnergiesAFCON ikiwa wamechukua alama zote 3 dhidi ya Niger 🔥 Je Tanzania atakua mgeni mwengine kwenye ndege ya Cote dvoire? 🤔 TFF TANZANIA

Taifa Stars inakaribia kufuzu #TotalEnergiesAFCON ikiwa wamechukua alama zote 3 dhidi ya Niger 🔥

Je Tanzania atakua mgeni mwengine kwenye ndege ya Cote dvoire? 🤔

<a href="/Tanfootball/">TFF TANZANIA</a>
John Pambalu (@john_pambalu) 's Twitter Profile Photo

"Bunge lingebinafsishwa kabla ya bandari. Walichoongea bungeni sicho wanachoongea mitaani na kwenye baa. Wanamdanganya Rais kuwa wanamuunga mkono wakati wamebeba mishale ya kumwangamiza. Mjadala wa bandari umefanywa mgumu na bunge letu" Askofu Dkt. Benson Bagonza,

"Bunge lingebinafsishwa kabla ya bandari. Walichoongea bungeni sicho wanachoongea mitaani na kwenye baa. Wanamdanganya Rais kuwa wanamuunga mkono wakati wamebeba mishale ya kumwangamiza. Mjadala wa bandari umefanywa mgumu na bunge letu" Askofu Dkt. Benson Bagonza,
Evodius Rwenyagira (@evoddy1) 's Twitter Profile Photo

Maulid Kitenge Tatizo siyo ufanisi wa DP world kuendesha shughuli za bandari shida yetu ni huu mkataba usiokuwa na tija kwa taifa letu ni mkataba ambao yaliyomo hutamani hata kuamini kama kuna watu wamesoma kwa kodi zetu na walihusika kuandaa huu mkataba.Ni ufedhuli mtupu

Baba Mwita (@babamwita) 's Twitter Profile Photo

Lissu aliposema mkataba wa TPA & DPW ni Katiba ya Bandari sasa mmeelewa! Mara zote sheria za Bunge hutakiwa kufuata MASHARTI ya Katiba. Hiki ndicho kinafanyika sasa, Bunge linabadili sheria za nchi ili ziendane na TAKWA la Ibara ya 26 👇🏾 ya MKATABA wa DPW. Huu ni UTUMWA.

Lissu aliposema mkataba wa TPA &amp; DPW ni Katiba ya Bandari sasa mmeelewa! Mara zote sheria za Bunge hutakiwa kufuata MASHARTI ya Katiba. Hiki ndicho kinafanyika sasa, Bunge linabadili sheria za nchi ili ziendane na TAKWA la Ibara ya 26 👇🏾 ya MKATABA wa DPW. Huu ni UTUMWA.
The University Of God (@theuogofficial) 's Twitter Profile Photo

A dream is God’s roadmap to your future. What is your dream? Your dream does not reflect the picture of today, but the photograph of tomorrow.. theuog.org/believe-your-d…

A dream is God’s roadmap to your future. What is your dream? Your dream does not reflect the picture of today, but the photograph of tomorrow..
theuog.org/believe-your-d…
TANZANIA🇹🇿 (@tanzakwanza) 's Twitter Profile Photo

AFRIKA !AFRIKA!AFRIKA hivi tunaviongozi wa namna gani?Hivi mioyo Yao ikoje?.Haya maamuzi ya ECOWAS ni maamuzi ya namna gani,?🤔🤔🤔

The University Of God (@theuogofficial) 's Twitter Profile Photo

However, do not rejoice that the spirits submit to you, but rejoice that your names are written in heaven.” Luke 10:20 theuog.org/written-in-hea…

However, do not rejoice that the spirits submit to you, but rejoice that your names are written in heaven.” Luke 10:20
theuog.org/written-in-hea…