Jackson Novat (@jacksonnovat1) 's Twitter Profile
Jackson Novat

@jacksonnovat1

Public Speaker, CEO of Capstone Co.Ltd & Community Achievement Foundation and A Lawyer.
#RaiyaJANO #ZETUHABARINAMATUKIO

ID: 722836159920005120

calendar_today20-04-2016 17:15:44

984 Tweet

147 Takipçi

1,1K Takip Edilen

Jackson Novat (@jacksonnovat1) 's Twitter Profile Photo

Nampongeza sana Mama Mhe. RAIS Samia Suluhu kwa kurejesha huduma hii kwa watoto. Tujitahidi kutotengeneza matatizo na kujaribu kuyatatua wenyewe. Kuwepo mifumo sahihi. Serikali yangu tutumikieni. #Afya

Nampongeza sana Mama  Mhe. RAIS <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> kwa kurejesha huduma hii kwa watoto. Tujitahidi kutotengeneza matatizo na kujaribu kuyatatua wenyewe. Kuwepo mifumo sahihi. Serikali yangu tutumikieni.
#Afya
Jackson Novat (@jacksonnovat1) 's Twitter Profile Photo

Ni Chama Cha Mapinduzi pekee iliyotaja bayana kuwa leo ni siku KUU ya Uhuru wa Tanganyika. Taasisi za UMMA kuanzia na ikulu_Tanzania hakuna ilikotajwa neno Tanganyika. Mjitafakari hii ni threat kwa TANGANYIKA. Samia Suluhu #Tanganyika #WenyeNchiWananchi

Ni <a href="/ccm_tanzania/">Chama Cha Mapinduzi</a> pekee iliyotaja bayana kuwa leo ni siku KUU ya Uhuru wa Tanganyika. Taasisi za UMMA kuanzia na  <a href="/ikulumawasliano/">ikulu_Tanzania</a> hakuna ilikotajwa neno Tanganyika. Mjitafakari hii ni threat kwa TANGANYIKA. <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> 
#Tanganyika #WenyeNchiWananchi
Jackson Novat (@jacksonnovat1) 's Twitter Profile Photo

Mhe. Tundu Antiphas Lissu ni Taasisi inayotembea!!! Anaweza kuwa hana pesa lakini ana Watu wanamfuata kwa msimamo wake na si pesa. TAL ni Hazina kwa Taifa. #NiYeye

Mhe. <a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a> ni Taasisi inayotembea!!! 

Anaweza kuwa hana pesa lakini ana Watu wanamfuata kwa msimamo wake na si pesa.

TAL ni Hazina kwa Taifa.

#NiYeye