
Kevin Ndabila
@kevin_ndabila
tiktok.com/@kevinndabila
ID: 1427947429475856387
https://www.youtube.com/@Sautiyanyasa 18-08-2021 10:59:29
20,20K Tweet
8,8K Takipçi
1,1K Takip Edilen








#Updates Nimepokea Bill ya garama mpya matibabu JAPHET MATARRA, imeongezeka toka 1.5M sasa inahitajika jumla ya 2,368,500/= Mpango wa kumfanyia upasuaji umesitishwa mpaka akamilishe kiasi hicho, Mpaka sasa tuna jumla ya TZS. 1,109,000/= Halopesa: 0627422184 Jina: Samweli Matarra


#Updates Nimepokea Bill ya garama mpya matibabu JAPHET MATARRA, imeongezeka toka 1.5M sasa inahitajika jumla ya 2,368,500/= Mpango wa kumfanyia upasuaji umesitishwa mpaka akamilishe kiasi hicho, Mpaka sasa tuna jumla ya TZS. 1,109,000/= Halopesa: 0627422184 Jina: Samweli Matarra


#Updates Bill ya garama mpya matibabu JAPHET MATARRA, imeongezeka toka 1.5M sasa inahitajika jumla ya 2,368,500/= Mpango wa kumfanyia upasuaji umesitishwa mpaka akamilishe kiasi hicho, Mpaka sasa tuna jumla ya TZS. 1,109,000/= Tunaomba mchango wako ili tuweze kuokoa maisha ya




Ndani Miaka 4 Deni la Taifa TRILIONI 50 kalileta Samia Suluhu, Ministry of Finance Tanzania, Mwigulu Nchemba, PhD, Msemaji Mkuu wa Serikali na Chama Cha Mapinduzi kwa Shule kama hizi za viwango vya Kimataifa. TUNASEMA ENOUGH IS ENOUGH Maria Sarungi Tsehai Liberatus Mwang'ombe Think Different ikulu_Tanzania Tundu Antiphas Lissu John Heche





M/kiti BAVICHA Wilaya ya Nyamagana Michael Mtabuzi alipata wito wa kufika Central Police Mwanza tarehe 17.6.2025.Baada ya kufika alipewa tuhuma za uchochezi mtandaoni na hadi sasa amenyimwa haki yake ya dhaminiwa. Police Force TZ mpeni haki ya dhamana la sivyo kesho mpelekeni Mahakamani