kelvin joseph (@kelvinj42671007) 's Twitter Profile
kelvin joseph

@kelvinj42671007

ID: 1247835647588564992

calendar_today08-04-2020 10:36:39

1,1K Tweet

536 Followers

1,1K Following

Freeman Mbowe (@freemanmbowetz) 's Twitter Profile Photo

Nimepokea kwa mikono miwili maamuzi ya uchaguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama chetu CHADEMA uliohitimishwa leo asubuhi 22 Januari 2025. Nampongeza Mhe. Tundu Lissu na wenzake kwa kuaminiwa kutwikwa jukumu la Uongozi wa Chama. Nawatakia kila la kheri katika kukipeleka mbele Chama

Nimepokea kwa mikono miwili maamuzi ya uchaguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama chetu CHADEMA uliohitimishwa leo asubuhi 22 Januari 2025. Nampongeza Mhe. Tundu Lissu na wenzake kwa kuaminiwa kutwikwa jukumu la Uongozi wa Chama. Nawatakia kila la kheri katika kukipeleka mbele Chama
Madenge (@rollymsouth) 's Twitter Profile Photo

katibu mkuu wa BAVICHA mkoa wa Mwanza mpaka leo hajulikani yuko wapi.Tupaze sauti za home boy aisee We twanga tu RT ifike mbali

katibu mkuu wa BAVICHA mkoa wa Mwanza mpaka leo hajulikani yuko wapi.Tupaze sauti za home boy aisee

We twanga tu RT ifike mbali
Edwin Odemba (@chiefodemba) 's Twitter Profile Photo

“WAPINZANI WAKIFA SISI HATUWEZI KULIA TUTAWATUPA MTONI WAWE CHAKULA CHA MAMBA”…..! Tusifike huku, huku ni mbali sana Ndg zangu, Tanzania ni ya watanzania wote ijengwe na watanzania wote…! Tusibaguane kwa vyama wala kwa Dini zetu, Hii ni Nchi Nzuri tuliyopewa na Mungu

Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Kenya wanashangaa Tanzania tunawezaje kushiriki uchaguzi chini ya muundo dhalimu wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi? Kwamba mgombea Urais wa CCM ndiye anateua mkurugenzi, mwenyekiti, makamishna, wajumbe wa tume ya uchaguzi kusimamia uchaguzi ambao naye anashiriki? Majirani wanatuona mang'ombe

John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Ukiuliza kwanini ccm wanatumia nguvu na vyombo vya dola kujaribu kunyamazisha wapinzani wa kweli. Jibu lake ni hili hapa. Ccm hata mkutano hawawezi kuitisha bila maarifa ya uongo, kusomba watu, kutishia watumishi wa umma na wanafunzi. Waacheni watoto wasome.

John Pambalu (@john_pambalu) 's Twitter Profile Photo

Usiku wa kuamkia leo Polisi wamevamia nyumbani kwa MDUDE NYAGALI na kumuumiza vibaya na kutokomea naye kusikojulikana, hii kwenye video ni damu ya Mdude. Dua na sala zetu, Mdude apatikane akiwa hai na apone haraka.

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

‼️USHUHUDA LIVE KUHUSU AFANDE SHABANI KUHUSIKA NA UTEKAJI WA MDUDE‼️🚨 Sikilizeni hapa na eleweni. Shabani hajasingiziwa! HONGERA sana mzalendo kwa kusimama na kueleza bila woga uovu walioupanga maafisa hawa wa Police Force TZ Hatumwogopi Shabani wala mabosi wake - wao ndo wakae wakijua

Gwamaka 𝗠𝗕𝗨𝗚𝗛𝗜 (@gwamakambughi) 's Twitter Profile Photo

Mhashamu Baba Askofu Mkuu Renatus Nkwande wa Jimbo Kuu Katoliki Mwanza asimulia habari za watekaji. Namna walivyo mfuatilia ili kumteka. Amesema haya mbele ya Mkurugenzi wa usalama wa Taifa, Spika,Katibu Mkuu CCM na Viongozi wengine. Amesema wakati wa MSIBA wa Mzee Mongela.

(---) Onesmo Mushi (@edutalktz) 's Twitter Profile Photo

Kama unadhani watawala wanaokuhadaa kwa porojo wanakujali, itoshe kukwambia AMKA USINGIZINI. Nikukumbushe tu kuwa gharama ya gari anayotembelea Mwigulu Nchemba iliyonunuliwa kwa kodi yako inatosha kuwajengea hawa watoto hapo shule nzima, sio kidarasa tu. Hata hivyo kwa

Boniface Jacob (@exmayorubungo) 's Twitter Profile Photo

SIRI IMEFICHUKA...! Huyu ni Kijana aliyetumwa kufanya vurugu ktk mkutano wa CHADEMA jana Mkoani SINGIDA wakati viongozi wa CHADEMA wanakaribia Kuhutubia Wananchi. Baada ya Vijana wengine Kujitokeza leo Mkoani Tabora,Wilaya ya Igunga kufanya Vurugu Wananchi wamefanikiwa

SIRI IMEFICHUKA...!

Huyu ni Kijana aliyetumwa kufanya vurugu ktk mkutano wa CHADEMA jana Mkoani SINGIDA wakati viongozi wa CHADEMA wanakaribia Kuhutubia Wananchi.

Baada ya Vijana wengine Kujitokeza leo Mkoani Tabora,Wilaya ya Igunga kufanya Vurugu

Wananchi wamefanikiwa