
Martin Maranja Masese
@iamartin_
Full-time Father | Sperm That Won The Race | Public Spirited | Think Deep, Don’t Sink | Cogito, ergo sum |
ID: 126657061
26-03-2010 15:32:42
148,148K Tweet
590,590K Takipçi
1,1K Takip Edilen

Kenya wanashangaa Tanzania tunawezaje kushiriki uchaguzi chini ya muundo dhalimu wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi? Kwamba mgombea Urais wa CCM ndiye anateua mkurugenzi, mwenyekiti, makamishna, wajumbe wa tume ya uchaguzi kusimamia uchaguzi ambao naye anashiriki? Majirani wanatuona mang'ombe