Iam
@ignasmgidange
ID: 2384246605
11-03-2014 21:48:40
1,1K Tweet
215 Followers
684 Following
Eng.Mapunda Jr kama hujaoa usioe,,, sada jichanganye hamna rangi utaacha kuona,,,
Tanzania Abroad TV NDOA ni WITO. Ukiona ndani yako wito huo haupo ni vyema ukabakia na USINGLE WAKO TU. Kimsingi, ndoa imejengwa katika vitu hivi; SELF-LESS, KINDNESS, and DELIBERATE COMMITMENT. Ndoa inahitaji ufahamu na maarifa. Ili uepukane na majuto ya ndoa jipatie nakala yako. ☎️0712703839.
Dr. Faith Nabushawo Doc. Please don't post This..we know but it's natural it's God given ability.
Dr. Faith Nabushawo Why did you post this? We know but alittle respect please.
OG OUTFITS❤️💃 Ukimwi hauzuiliki hata kwa Condom za bati, Istoshe hata ukiupata na kuzingatia unywaji wa dawa vizuri unatoboa kuliko mwenye malaria kali
Sekenke One 🌻 Hao ni waliogundulika tu bado kuna wengine walikuwa na maambukiz bila kujua.Hata kama ni hivyo,huwez kuua watu kwa stail hyo,Imagine ni wew au baba ako ,familia au rafiki yako,ungeweza fanya hivyo?
Asubuhi hii abiria wanaopitia njia ya Chalinze kutokea Tanga,Kilimanjaro,Arusha pale wami kuna foleni Taahmed na Lory vimekwanguana na kuziba njia Adventure-360 UMOJA WA HAKI ZA MADEREVA@🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇷🇼🇷🇼🥰🙏
Angalau sasa madaktari mtuambie wanaotwambia "UNA MCHAFUKO WA DAMU" wana maanisha nini ? Dr. Kala. MD Dr Mwakalebela Dr.Faustine Shahidi Wa Siri. Myunani KIPEPE 💊 Dr Ihab Suliman Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿
Shahidi Wa Siri. Mjomba Dr. Kala. MD Dr Mwakalebela Myunani KIPEPE 💊 Dr Ihab Suliman Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿 Naomba nifundishe Leo! Kwa hyo Septicemia ndio Mchafuko wa Damu?