BENEDICT.โœŠ๐Ÿฟ (@benedict_kaaya) 's Twitter Profile
BENEDICT.โœŠ๐Ÿฟ

@benedict_kaaya

Tour guideโ€ขWildlife enthusiast,

~GOD OVER EVERYTHING ๐Ÿ™.

ID: 1215894516886097920

linkhttps://www.linkedin.com/in/benedict-kaaya-61a466203 calendar_today11-01-2020 07:13:51

13,13K Tweet

2,2K Followers

1,1K Following

๐Ÿ•ท๏ธ (@444holywitch) 's Twitter Profile Photo

Kitu nachojua Africa Mapinduzi yatakua mengi sana ndani ya miaka 7 hii kuanzia sasa... Africa mashariki wa kwanza kuliwa kichwa atakua Museven...kisha tutafata.

Msomi Khan ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@msomikhan18) 's Twitter Profile Photo

SAUT hawapokei First year 25/26 Degree za Muhimu tena? Bachelor of Laws Bachelor of Arts in Sociology Bachelor of Philosophy with Education Bachelor in Tourism and Hospitality Management Kuna nini Wanangu? Dah ๐Ÿ˜ญ

MCHAMBUZI MEDIA (@mchambuzi5) 's Twitter Profile Photo

Unahangaika kuingia Twitter na TIktok kwa VPN ili tu uje uwasifie walioifungia hiyo mitandao, tuna watu Wana akili za ajabu sana

๐Ÿ•ท๏ธ (@444holywitch) 's Twitter Profile Photo

Anazidi kuchoka kiakili. Watu hawataki kusikia tena maneno. Wanataka vitendo. Yeye anajua. Lakini hajui aanzie wapi bila kujivua nguvu. Na hii ndiyo inamfanya aingie kwenye panic disguised as power, hofu iliyojificha kama ujasiri.

Maviatu ๐Ÿ‘ž๐Ÿ‘Ÿ๐Ÿฅพ๐Ÿ›๏ธ๐Ÿ›’ (@barakamaviatu) 's Twitter Profile Photo

Wakati tunaendelea kutafuta mabadiliko ni maombi yetu kwa kwa watawala kuboresha kitengo cha propaganda. Tunastahili propaganda bora zaidi, sio ambazo hata kilaza anazigundua kabla hazijatoka.

Ayubu Madenge (@ayubu_madenge) 's Twitter Profile Photo

1958 Tabora, Mwalimu alilia mbele ya watu kwa hotuba aliyoitoa. Ilikuwa inagusa sana alisema tutadai UHURU wetu kwa Uingereza, wakikataa tutashtaki kwa Malkia, akikataa tutaudai umoja wa mataifa, wakigoma tutashtaki kwa MUNGU. Baada ya maneno hayo umati wa watu pia ukaanza kulia.

1958 Tabora, Mwalimu alilia mbele ya watu kwa hotuba aliyoitoa. Ilikuwa inagusa sana alisema tutadai UHURU wetu kwa Uingereza, wakikataa tutashtaki kwa Malkia, akikataa tutaudai umoja wa mataifa, wakigoma tutashtaki kwa MUNGU. Baada ya maneno hayo umati wa watu pia ukaanza kulia.
Kumbusho Dawson Kagine (@kumbushodawson) 's Twitter Profile Photo

Hii ni Mwanza, Baadaye mje kuanza kusema waandamanaji walikuwa wanafanya fujo. Kuna mtu huwa anasema wananchi hawana hoja, mara wametoka nje ya nchi. Hii ni Tanzania na hawa ni Gen Z. #D9

Kumbusho Dawson Kagine (@kumbushodawson) 's Twitter Profile Photo

"Afande sipigani nawe, nakupigania....Dear Police officers the gun you are carrying it is worth 2,000 $, LOOK HOW YOUR GUN IS LOOKING BETTER THAN YOU."- Bobi Wine, Mgombea urais Uganda

Dear Son. (@dears_o_n) 's Twitter Profile Photo

2026 CHALLENGE: - No porn - No alcohol - 4-6 eggs/day - 3 liters of water - 6-7 hours of sleep - 10,000+ steps/day - 100 push-ups daily - No meals in the morning - Write at least 100 words daily - Write 5 things you're grateful for Whoโ€™s in?

NYANI MZEE (@jwise017) 's Twitter Profile Photo

Wabongo wamekariri gari ni Toyota tu yaani huwaambii kitu. Kwa bajeti ya harrier anaconda unapata Santa Fe kali sana, Jaguar F Pace kalii na Hyundai Palisade tamu sana. Hoja ya spea haina mashiko katika dunia ya leo.

Laigwenan' (@mollel00) 's Twitter Profile Photo

BENEDICT.โœŠ๐Ÿฟ NYANI MZEE Ahakikishe anaishi hii miji mikubwa yaan DSM arusha au mwanza tena mjin mjin kabsa sio wilaya ya pembezon. Tofaut na hapo atakua amepark kusubiri appointment na fundi

DR. MAZIKU (@maziku07) 's Twitter Profile Photo

Kijana yuko zake amepanga ma Sinza anazingatia engo ila akili zake anawaza siku moja aje achukue kiwanja chake chakuishi mitaa ya Goba kwa 8M-10M๐Ÿ˜‚. Hajui kiwanja Goba bila 50-100M hupati kitu. Vijana tujifunze sana kufatilia mambo ya viwanja,MLANDIZI sio mbali nunueni mashamba.

Mzee wa Chuki ๐Ÿคฌ (@papiikhan98) 's Twitter Profile Photo

Kuna watu Wana "Degree" na Kuna watu Wana "Shahada"....Mtu huwezi somea procurement and Supply pale CBE na useme una Degree...wewe una Shahada ya ugavi na manunuzi.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ’”

Mmeru wa Arusha ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ ๐Ÿ•๐Ÿ• (@hip_hop_ndogo_g) 's Twitter Profile Photo

Hili tukio limetokea Arusha mshkaji ni Dactari (MD) alishikwa ghafla na msongo wa mawazo nakuanza kuharibu vitu ikiwemo mali zake na mali za watu wengine Hili swala la msongo wa mawazo kwa ma Chief now linazidi kuwa kubwa sijui shida nini expectations au nini Dr. Kala. MD

Chadema Tanzania (@chadematz2) 's Twitter Profile Photo

UJUMBE WA RAMBIRAMBI WA Tundu Antiphas Lissu KUFUATIA KIFO CHA MZEE EDWIN ISAAC MBILIEWI MTEI. EDWIN MTEI: MJENZI WA NCHI, KIONGOZI WA MFANO Mheshimiwa Freeman Aikaeli Mbowe na wanafamilia wa marehemu Edwin Mtei, Viongozi, wanachama na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo

UJUMBE WA RAMBIRAMBI WA <a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a> KUFUATIA KIFO CHA MZEE EDWIN ISAAC MBILIEWI MTEI.

EDWIN MTEI:
MJENZI WA NCHI, KIONGOZI WA MFANO

Mheshimiwa Freeman Aikaeli Mbowe na wanafamilia wa marehemu Edwin Mtei,
Viongozi, wanachama na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo
January Makamba (@jmakamba) 's Twitter Profile Photo

Miaka 10 ijayo itaamua hatima ya Tanzania. 2015 itaamua iwapo tunajenga nchi mpya iliyo na haki na usawa au tunaongeza genge la walafi.