Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ(@wizara_afyatz) 's Twitter Profileg
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

@wizara_afyatz

Ukurasa Rasmi wa Wizara ya Afya Tanzania.
Ukurasa huu unaendeshwa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini - AFYA

ID:3044753523

linkhttp://www.moh.go.tz calendar_today19-02-2015 04:54:19

5,8K Tweets

231,8K Followers

134 Following

Follow People
Taasisi ya Moyo-JKCI(@TaasisiMoyoJKCI) 's Twitter Profile Photo

Mkurugezi Mtendaji wa JKCI Dkt. Peter Kisenge akiwaonesha waandishi wa habari kifaa maalumu kinachojulikana kwa jina la DOZEE ambacho kinawekwa chini ya godoro la mgonjwa akiwa nyumbani na kuweza kusoma shinikizo la damu, kiwango cha hewa mwilini, mapigo ya moyo na umeme wa moyo

Mkurugezi Mtendaji wa JKCI Dkt. Peter Kisenge akiwaonesha waandishi wa habari kifaa maalumu kinachojulikana kwa jina la DOZEE ambacho kinawekwa chini ya godoro la mgonjwa akiwa nyumbani na kuweza kusoma shinikizo la damu, kiwango cha hewa mwilini, mapigo ya moyo na umeme wa moyo
account_circle
Dr. Norman Jonas(@NormanJonasMD) 's Twitter Profile Photo

ELIMU KUHUSU MAAMBUKIZI YA HPV, SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI NA KINGA YAKE

HPV ni nini ?

โžก๏ธHuman papillomavirus (HPV) ni virusi.

โžก๏ธKama ilivyo virusi vingine, HPV husababisha maambukizi kwa kuingia ndani ya seli.

โžก๏ธMara baada ya kuingia ndani ya seli, HPV huteka na kuchukua

ELIMU KUHUSU MAAMBUKIZI YA HPV, SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI NA KINGA YAKE HPV ni nini ? โžก๏ธHuman papillomavirus (HPV) ni virusi. โžก๏ธKama ilivyo virusi vingine, HPV husababisha maambukizi kwa kuingia ndani ya seli. โžก๏ธMara baada ya kuingia ndani ya seli, HPV huteka na kuchukua
account_circle
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ(@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

TUPUNGUZE MATUMIZI YA POMBE ISIYOZIMULIWA ILI KUKABILIANA NA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA.

Na WAF - Dar es Salaam

Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema kuwa iwapo jamii itapunguza matumizi ya pombe isiyo zimuliwa yaliyokithiri itasaidia kukabiliana na kuepukana na magonjwa

TUPUNGUZE MATUMIZI YA POMBE ISIYOZIMULIWA ILI KUKABILIANA NA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA. Na WAF - Dar es Salaam Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema kuwa iwapo jamii itapunguza matumizi ya pombe isiyo zimuliwa yaliyokithiri itasaidia kukabiliana na kuepukana na magonjwa
account_circle
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ(@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

IMARISHENI MIFUMO YA UPATIKANAJI NA USIMAMIZI WA UTOAJI WA HUDUMA ZA CHANJO

Katibu Tawala Mkoa wa Njombe ametoa wito kwa wataalamu wa afya kuimarisha Upatikanaji na usimamizi wa huduma za Chanjo na Kutoa majibu ya kitaaluma ili kuepusha taarifa za upotoshaji .

Ameyasema Leo

IMARISHENI MIFUMO YA UPATIKANAJI NA USIMAMIZI WA UTOAJI WA HUDUMA ZA CHANJO Katibu Tawala Mkoa wa Njombe ametoa wito kwa wataalamu wa afya kuimarisha Upatikanaji na usimamizi wa huduma za Chanjo na Kutoa majibu ya kitaaluma ili kuepusha taarifa za upotoshaji . Ameyasema Leo
account_circle
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ(@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

ZAIDI YA WASICHANA MILIONI NNE WENYE MIAKA 9-14 KUFIKIWA NA CHANJO YA HPV

Na WAF - Mwanza

Serikali kupitia Wizara ya Afya imepanga hadi kufikia Disemba 2024 iwe imewafikia wasichana Milioni 4,841,298 wenye umri wa Miaka 9-14 kwa kuwapa dozi moja ya chanjo ya HPV baada ya

ZAIDI YA WASICHANA MILIONI NNE WENYE MIAKA 9-14 KUFIKIWA NA CHANJO YA HPV Na WAF - Mwanza Serikali kupitia Wizara ya Afya imepanga hadi kufikia Disemba 2024 iwe imewafikia wasichana Milioni 4,841,298 wenye umri wa Miaka 9-14 kwa kuwapa dozi moja ya chanjo ya HPV baada ya
account_circle
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ(@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu, MP leo Aprili 23, 2024 akiwa katika Mkutano wa Kimataifa kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar Es Salaam ambapo anatarajia kufungua na kuhutubia Mkutano huo ambao wanajadili namna ya kukabiliana na Magonjwa

Waziri wa Afya Mhe. @ummymwalimu leo Aprili 23, 2024 akiwa katika Mkutano wa Kimataifa kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar Es Salaam ambapo anatarajia kufungua na kuhutubia Mkutano huo ambao wanajadili namna ya kukabiliana na Magonjwa
account_circle
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ(@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu, MP leo anatarajiwa kufungua na kuhutubia katika Mkutano wa Kimataifa wa Kujadili namna ya kukabiliana na Magonjwa Yasiyoambukiza Barani Afrika.

Mkutano huo umezikutanisha kwa pamoja nchi wanachama wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa Ukanda wa Bara

Waziri wa Afya Mhe. @ummymwalimu leo anatarajiwa kufungua na kuhutubia katika Mkutano wa Kimataifa wa Kujadili namna ya kukabiliana na Magonjwa Yasiyoambukiza Barani Afrika. Mkutano huo umezikutanisha kwa pamoja nchi wanachama wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa Ukanda wa Bara
account_circle
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ(@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu, MP leo anatarajiwa kufungua na kuhutubia katika Mkutano wa Kimataifa wa Kujadili namna ya kukabiliana na Magonjwa Yasiyoambukiza Barani Afrika.

Mkutano huo umezikutanisha kwa pamoja nchi wanachama wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa Ukanda wa Bara

Waziri wa Afya Mhe. @ummymwalimu leo anatarajiwa kufungua na kuhutubia katika Mkutano wa Kimataifa wa Kujadili namna ya kukabiliana na Magonjwa Yasiyoambukiza Barani Afrika. Mkutano huo umezikutanisha kwa pamoja nchi wanachama wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa Ukanda wa Bara
account_circle
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ(@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

PUUZENI TAARIFA ZA UPOTOSHAJI WA CHANJO YA HPV.

Na WAF โ€“ Mtwara.

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Sawala ametoa rai kwa wananchi wa mkoa wa huo kuepuka na kupuuza taarifa zozote za upotoshaji kuhusiana na Dozi moja ya Chanjo ya Saratani ya Mlango wa Kizazi kwa mabinti

PUUZENI TAARIFA ZA UPOTOSHAJI WA CHANJO YA HPV. Na WAF โ€“ Mtwara. Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Sawala ametoa rai kwa wananchi wa mkoa wa huo kuepuka na kupuuza taarifa zozote za upotoshaji kuhusiana na Dozi moja ya Chanjo ya Saratani ya Mlango wa Kizazi kwa mabinti
account_circle
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ(@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

DOZI MOJA YA CHANJO YA HPV INATOSHA KUMKINGA MSICHANA KUPATA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI

Na WAF - Mwanza

Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema dozi Moja ya chanjo ya HPV inatosha kumkinga msichana kupata ugonjwa wa Saratani ya Mlango wa Kizazi na kuwataka wazazi/walezi

account_circle
Gavi, the Vaccine Alliance(@gavi) 's Twitter Profile Photo

Congratulations Tanzania for launching a vaccination campaign against the leading cause of targeting 5 million girls aged between 9 and 14.

We're proud to work with UNICEF Tanzania and WHO Tanzania to support Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ! bit.ly/3w35Rxw

account_circle
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ(@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

DOZI MOJA YA CHANJO YA HPV INATOSHA KUMKINGA MSICHANA KUPATA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI

Na WAF - Mwanza

Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema dozi Moja ya chanjo ya HPV inatosha kumkinga msichana kupata ugonjwa wa Saratani ya Mlango wa Kizazi na kuwataka wazazi/walezi

DOZI MOJA YA CHANJO YA HPV INATOSHA KUMKINGA MSICHANA KUPATA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI Na WAF - Mwanza Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema dozi Moja ya chanjo ya HPV inatosha kumkinga msichana kupata ugonjwa wa Saratani ya Mlango wa Kizazi na kuwataka wazazi/walezi
account_circle
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ(@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

WATUMISHI WA SEKTA YA AFYA WATAKIWA KUBORESHA MAWASILIANO BAINA YAO NA WAGONJWA KULETA UBORA WA HUDUMA

Na WAF - Arusha

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. John Jingu, amewataka watumishi wa sekta ya afya kuongeza kuimarishaji wa mawasiliano kati yao na wagonjwa ili kuboresha

WATUMISHI WA SEKTA YA AFYA WATAKIWA KUBORESHA MAWASILIANO BAINA YAO NA WAGONJWA KULETA UBORA WA HUDUMA Na WAF - Arusha Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. John Jingu, amewataka watumishi wa sekta ya afya kuongeza kuimarishaji wa mawasiliano kati yao na wagonjwa ili kuboresha
account_circle
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ(@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

RAIS SAMIA KUGHARAMIA MATIBABU YA WATOTO 100 WENYE VICHWA VIKUBWA NA MGONGO WAZI

Na WAF - Dar Es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan atagharimia matibabu ya upasuaji na utengamao kwa watoto 100 wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi

RAIS SAMIA KUGHARAMIA MATIBABU YA WATOTO 100 WENYE VICHWA VIKUBWA NA MGONGO WAZI Na WAF - Dar Es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan atagharimia matibabu ya upasuaji na utengamao kwa watoto 100 wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi
account_circle
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ(@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.

Maadhimisho ya wiki ya chanjo na kuanza kutolewa kwa dozi moja ya chanjo ya 'HPV' kwa mabinti wenye miaka 9 hadi 14 dhidi ya Saratani ya Mlango wa kizazi

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. Maadhimisho ya wiki ya chanjo na kuanza kutolewa kwa dozi moja ya chanjo ya 'HPV' kwa mabinti wenye miaka 9 hadi 14 dhidi ya Saratani ya Mlango wa kizazi
account_circle
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ(@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

WATUMISHI 108 SEKTA YA AFYA WAPIGWA MSASA KUKABILIANA NA DHARURA ZA UZAZI

Na WAF- Mara

Watumishi 108 wa Afya kutoka kwenye vituo vya Afya vipatavyo 25 kati ya 37 vinavyotoa huduma ya upasuaji wa mtoto, mkoani Mara wamejengewa uwezo maalum kwa ajili yakukabiliana na dharura za

WATUMISHI 108 SEKTA YA AFYA WAPIGWA MSASA KUKABILIANA NA DHARURA ZA UZAZI Na WAF- Mara Watumishi 108 wa Afya kutoka kwenye vituo vya Afya vipatavyo 25 kati ya 37 vinavyotoa huduma ya upasuaji wa mtoto, mkoani Mara wamejengewa uwezo maalum kwa ajili yakukabiliana na dharura za
account_circle