Hardtaget, (@hardtaget1) 's Twitter Profile
Hardtaget,

@hardtaget1

Good agent

ID: 1250141382188113921

calendar_today14-04-2020 19:18:52

5,5K Tweet

303 Takipçi

164 Takip Edilen

Mdude Nyagali (@mdudenyagali) 's Twitter Profile Photo

Kama polisi wanapotosha ni wazi kwamba wamepata taarifa hii kupitia chanzo kingine na sio kanisa ambalo lilikuwa na watu katika ofisi hizo za TEC. Sasa Muliro na Police Force TZ mtuambie taarifa za father Kitima kupata kinywaji na kwenda maliwato mmezitoa wapi? Je chanzo chenu

Kama polisi wanapotosha ni wazi kwamba wamepata taarifa hii kupitia chanzo kingine na sio kanisa ambalo lilikuwa na watu katika ofisi hizo za TEC. Sasa Muliro na <a href="/tanpol/">Police Force TZ</a> mtuambie taarifa za father Kitima kupata kinywaji na kwenda maliwato mmezitoa wapi? 

Je chanzo chenu
Mange Kimambi (@mangekimambi) 's Twitter Profile Photo

All this murderous regime knows is intimidation, threats and fear directed at anyone who dares to speak out against its brutality toward the people of Tanzania. If you criticize Samia Suluhu and her murderous government while inside the country, you risk being kidnapped, killed,

Anna Tibaijuka (@annatibaijuka) 's Twitter Profile Photo

Tujitafakari kwa msaada wa SOCRATES wa Tanzania kwa kumsoma na kumsikiliza. ANAANDIKA ASKOFU BAGONZA NADHANI TUNAJICHANGANYA?! Au ni Mimi Najichanganya?! 1. SAFARI YA VATICAN Tungepatana nyumbani kwanza na wawakilishi wa Papa kabla ya kwenda kwa Papa. Tumempiga Padre wake;

Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

Hapa ni Mortuary ya Hospitali ya Mwananyamala. Hii ni miili ya Vijana wenzetu wa Tanganyika waliouwawa Oktoba 29. Hivi ndivyo hali ilivyokuwa kwenye Hospitali nyingi kila kona ya Tanzania.💔 Hatutasahau maumivu aliyotupa Idd Amin Mama na washirika wake ambapo waliuwa

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Watu walikuwa wanaimba wimbo wa kizalendo “Tanzania nakupenda kwa moyo wote” Mkaenda kuwapiga risasi na kuwaita wahaini?? Washenzi ninyi! Ninyi ndo wahaini Samia Suluhu Mmepora madaraka kwa mtutu wa bunduki! Mwambieni Kabudi na watanganyika wote ktk serikali haramu - SHAME ON

John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

TOP 10 AFRIKA – UZALISHAJI WA DHAHABU (Migodini) Nchi zinazochimba dhahabu nyingi kwa mwaka: Ghana, Mali, Afrika Kusini, Burkina Faso, Sudan, Guinea, Tanzania, Côte d’Ivoire, Zimbabwe, DR Congo. ➡️ Hizi ni nchi zinazochimba dhahabu nyingi ardhini. TOP 10 AFRIKA – AKIBA YA

TOP 10 AFRIKA – UZALISHAJI WA DHAHABU (Migodini)

Nchi zinazochimba dhahabu nyingi kwa mwaka:
Ghana, Mali, Afrika Kusini, Burkina Faso, Sudan, Guinea, Tanzania, Côte d’Ivoire, Zimbabwe, DR Congo.
➡️ Hizi ni nchi zinazochimba dhahabu nyingi ardhini.

TOP 10 AFRIKA – AKIBA YA
Tito Magoti (@titomagoti) 's Twitter Profile Photo

Wewe ni rais. Unakerwa na mtoto wa miaka 20, Shadrack Chaula, aliyechora picha inayofanana na sura yako akaichoma. Unaagiza atekwe, ateswe, auwawe. What kind of a dubious human are you? Enough is enough!!

Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

. Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿 tujadiliane kidogo. Ramadhan Madabida akiwa Mwenyekiti wa CCM Dar es Salaam na Ofisa Mtendaji Mkuu wa kiwanda Tanzania Pharmaceutical Industries Limited (TPI) kilichoko Njiro jijini Arusha, 10 Februari 2014 alikamatwa na kushtakiwa kwa kusambaza ARV bandia

. <a href="/wizara_afyatz/">Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿</a> tujadiliane kidogo.

Ramadhan Madabida akiwa Mwenyekiti wa CCM Dar es Salaam na Ofisa Mtendaji Mkuu wa kiwanda Tanzania Pharmaceutical Industries Limited (TPI) kilichoko Njiro jijini Arusha, 10 Februari 2014 alikamatwa na kushtakiwa kwa kusambaza ARV bandia
Mange Kimambi (@mangekimambi) 's Twitter Profile Photo

Kimama alipoingia madarakani alitoa mabilioni ya mikopo kwa wasanii ili wawe machawa wake, sasa kaona wasaniii wamepoteza influence kwa wananchi ndio anatoa rushwa mabilioni ya kodi za wananchi kwa content creators na online tv ili wawe machawa wake. Watanzania tuwakatae hawa

Mange Kimambi (@mangekimambi) 's Twitter Profile Photo

Habari zenu Watanzania, wauwaji bado wanahangaika kutafuta legitimacy. Lazaro Nyalandu ndio anaewatafutia hiyo mikutano yote ya kupiga picha na viongozi wa nchi za nje. Kwa sasa Nyalandu yuko Marekani anawatafutia mikutano mingine, so far Kampatia Zungu mkutano na speaker wa

Habari zenu Watanzania, wauwaji bado wanahangaika kutafuta legitimacy. Lazaro Nyalandu ndio anaewatafutia hiyo mikutano yote ya kupiga picha na viongozi wa nchi za nje. 

Kwa sasa Nyalandu yuko Marekani anawatafutia mikutano mingine, so far Kampatia Zungu mkutano na speaker wa
BBC News Africa (@bbcafrica) 's Twitter Profile Photo

#BBCAfricaEye investigates a wave of enforced disappearances spreading fear across Tanzania – told through powerful testimonies from survivors of abduction and torture. 🎥 Watch the documentary 'State of Fear' here: bbc.in/4kcyrkB

#BBCAfricaEye investigates a wave of enforced disappearances spreading fear across Tanzania – told through powerful testimonies from survivors of abduction and torture.

🎥 Watch the documentary 'State of Fear' here: bbc.in/4kcyrkB
Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

Unaweza kutazama full documentary ya ‘State of Fear' Uchunguzi wa BBC News Africa kuhusu matukio ya watu kutekwa, kupotezwa, kufirwa na kuuwawa nchini Tanzania tangu Idd Amin Mama aingie madarakani. #BBCAfricaEye

BBC News Africa (@bbcafrica) 's Twitter Profile Photo

#BBCAfricaEye investigates the wave of enforced disappearances surrounding Tanzania’s 2025 presidential election – with claims of attempted silencing of government critics, powerful testimony of severe maltreatment...and the high-ranking official whose name kept coming up.

Jebra Kambole (@advocate_jebra) 's Twitter Profile Photo

Mjadala wa kwenda Polisi kumfuatilia Hilda Newton ilichukua kama dk 15, Mimi nasema kuna kazi nafanya waende Wakili Mahinyila, Kisabo na Garubindi wanatosha! Lakini Rose Mayemba na mawakili walinishinikiza sana, ghafla kitu kikaingia moyoni nenda! Imebaki story Mungu ni mwema!

John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Hakuna siku watu watanyamazia uovu… Watu wakinyamaza mawe yataongea… Haki ya wote waliotekwa itacheleweshwa ila iko siku itapatikana.

Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

#BBCAfricaEye Kupitia Documentary ya BBC News Africa ya “Tanzania State of fear” sasa hivi Dunia yote ishajua Ukatili wa Idd Amin Mama pamoja na mshirika wake Faustine Mafwele Unaweza kutazama zaidi hapa youtu.be/9WkYK-SjJtE?si…

Chadema Tanzania (@chadematz2) 's Twitter Profile Photo

"Jana mmemsikia Nchimbi anasema tusiongelee masuala ya tarehe 29, kama hizo kelele hazina maana kwanini wanaogopa zinapozungumzwa? yaliyotokea tarehe 29 na huko nyuma hatutayanyamazia hata kwa dakika moja." Mhe.John Heche

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Once we see #SamiaAtICC we do not want collaborators and enablers to try and deny their culpability or claim that they were forced to participqte in the atrocities! Keep ypur diatance now and disown the Mass murderer! Tukishamtoa Mwuaji Mkuu, washirika msije hapa kudai

Once we see #SamiaAtICC we do not want collaborators and enablers to try and deny their culpability or claim that they were forced to participqte in the atrocities! 
Keep ypur diatance now and disown the Mass murderer!
Tukishamtoa Mwuaji Mkuu, washirika msije hapa kudai