Fidel07 (@fyddell0708) 's Twitter Profile
Fidel07

@fyddell0708

Accountant
Football fan (Arsenal)
🏊‍♀️ and 📚 reader
Surfing

ID: 1817930616694075392

calendar_today29-07-2024 14:30:31

798 Tweet

51 Followers

106 Following

GreaterThinker💎 (@hopequotes__) 's Twitter Profile Photo

MAWAZO YA MBELE.. BookMarks hii Tweet.. "hata mimi Sikufahamu Kabisaa, ilikua ni kama Suprise Kwangu maana Chama kilikua na Ukata lakini Ghafla Neema zilianza Kumiminika na Mimi Nikazipokea sasa Ntaacha Kweli!" (Hashim Rungwe Sepunda Mwenyekiti wa Chauma) #VishokaWaDemocrasia

MAWAZO YA MBELE..

BookMarks hii Tweet..

"hata mimi Sikufahamu Kabisaa, ilikua ni kama Suprise Kwangu maana Chama kilikua na Ukata lakini Ghafla Neema zilianza Kumiminika na Mimi Nikazipokea sasa Ntaacha Kweli!"  (Hashim Rungwe Sepunda Mwenyekiti wa Chauma)

#VishokaWaDemocrasia
Muungwana wa Manzese (@mpitanjia2000) 's Twitter Profile Photo

ASTRA Police Force TZ KIBAYA ZAIDI HILI LITAPITA KAMA UPEPO KAMA YALIVYO PITA MENGINE NA MAISHA YATAENDELEA...... HAPA NDIPO NINAPOSHANGAZWA NA FAIDA YA KUWA MTETEZI WA HAKI WA WATU WAOGA KAMA WATANZANIA.......

The Kenyan Vigilante (@kenyansays) 's Twitter Profile Photo

“Mimi siwezi kuwakashifu au kuwazungumzia Wakenya vibaya, wamenilea kimziki na kunisupport sana. Utofauti wao na Mama Samia sijajua nini chanzo. Lakini niwaambie tu ukweli kwamba Kenya wamepiga hatua kubwa kimaendeleo na kidemokrasia wanajielewa sana,” - Alikiba

“Mimi siwezi kuwakashifu au kuwazungumzia Wakenya vibaya, wamenilea kimziki  na kunisupport sana. Utofauti wao na Mama Samia sijajua nini chanzo. Lakini niwaambie tu ukweli kwamba Kenya wamepiga hatua kubwa kimaendeleo na kidemokrasia wanajielewa sana,” - Alikiba
Ayubu Madenge (@ayubu_madenge) 's Twitter Profile Photo

Umoja wa vyama vya Kidemorasi duniani (IDU) umemchagua Tundu Lissu kuwa mwenyekiti msaidizi. Lissu amechaguliwa akiwa gerezani kwenye uchaguzi uliofanyika huko Ubelgiji. Aliyechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa umoja huo ni Stephen Harper ambaye ni Waziri Mkuu mstaafu wa Canada.

Umoja wa vyama vya Kidemorasi duniani (IDU) umemchagua Tundu Lissu kuwa mwenyekiti msaidizi. Lissu amechaguliwa akiwa gerezani kwenye uchaguzi uliofanyika huko Ubelgiji. Aliyechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa umoja huo ni Stephen Harper ambaye ni Waziri Mkuu mstaafu wa Canada.
Captain Tuku (@josephtukunjoba) 's Twitter Profile Photo

Godbless E.J. Lema kila Mtanzania ana moyo wa mabadiliko. Mioyo yetu mingi ina nia ya haki na uwajibikaji. CHADEMA ni sauti ya wengi, si wachache. #NoReformsNoElection

Latto 𝕏 (@rydx_017) 's Twitter Profile Photo

Mpira wa Africa aiseeee!! Haya anagalia Refa aliyechezesha Finali ya Simba Sc Na Berkane. Amekutwa kwenye chumba cha Berkane Video kwa Comments 👇

Mpira wa Africa aiseeee!!

Haya anagalia Refa aliyechezesha Finali ya Simba Sc Na Berkane.

Amekutwa kwenye chumba cha Berkane

Video kwa Comments 👇
Fidel07 (@fyddell0708) 's Twitter Profile Photo

Tuna bunge lisilo na ethics za kibunge, unatoaje matamshi and a lady speaker ananyamaza kimya jambo hilo la hatari.? Mnaua diplomasia ya nchi kwa kuwa na wabunge wa hovyo kiasi hiki. Ifike hatua tuheshimu Sana bunge letu.

SIR JEFF⚡🇹🇿 (@sirjeff_d) 's Twitter Profile Photo

Angalia viongozi wengi wa🇹🇿 wanavyopenda sifa za kijinga Misafara ya magari, security details, sherehe za kifahari, vyeo vya kununua, safari za kishamba, maisha ya juu, madaraka nk Wengi wakifa tunawasahau in weeks. Nyerere aliishi maisha standard sn ila anakumbukwa milele

Madenge (@rollymsouth) 's Twitter Profile Photo

Uroho wa madaraka ndio umewafanya hao wakatoka CDM kwenda vyama vingine ndo maana wote walikimbilia kuchukua fomu kugombea uongozi uko waliko, akili zao hazipo ktk mageuzi ya kweli kwa faida ya wote. CDM imegoma kuhalalisha haramu kwa faida ya wachache, ni hivyo tu.

Ananilea Nkya (PhD) (@ananilean) 's Twitter Profile Photo

..." kama sio Watanzania wanaonishitaki na kesi hii (public prosecutions) basi dua zenu, maombi yenu, ujasiri wenu na hekima zenu zitaniepusha na kikombe hiki cha mimi kunyogwa kisa kusimamia ile KWELI", Tundu Lissu, ambaye amebambikwa kesi ya uhaini.