Wampembe Thadeo (@wampembejr) 's Twitter Profile
Wampembe Thadeo

@wampembejr

Kijana mpole & Mvumilivu, Simba SC & Liverpool FC fan

ID: 1425155521733087234

calendar_today10-08-2021 18:02:47

67 Tweet

411 Followers

1,1K Following

GODWIN GWAVALE (@godwin_godwin3) 's Twitter Profile Photo

Nipo Chadema kwa sababu ninapendezwa na itikadi, falsafa na misimamo yake, Uimara wake wa kuwapika na kuwaivisha viongozi, Uwezo wake wa kusimama badala ya maisha ya wengine, uwezo wake wa kuisemea, kuikomboa kifkra na kuitetea jamii, ni miongon mwa sababu zinafanya niwe Chadema.

Nipo Chadema kwa sababu ninapendezwa na itikadi, falsafa na misimamo yake, Uimara wake wa kuwapika na kuwaivisha viongozi, Uwezo wake wa kusimama badala ya maisha ya wengine, uwezo wake wa kuisemea, kuikomboa kifkra na kuitetea jamii, ni miongon mwa sababu zinafanya niwe Chadema.
Wampembe Thadeo (@wampembejr) 's Twitter Profile Photo

Huyu Baba anaupiga mwingi sana..Kuendelea kuwaaminisha watanzania kuwa bila Chama Cha Mapinduzi hamna maendeleo ni hadithi za akina pwagu & pwaguzi…Angalieni upinzani wanavyoupiga mwingi mpaka unamwagika kwa majirani zetu..Martin Maranja Masese Maria Sarungi Tsehai @mdudechadematz John Pambalu

Huyu Baba anaupiga mwingi sana..Kuendelea kuwaaminisha watanzania kuwa bila <a href="/ccm_tanzania/">Chama Cha Mapinduzi</a>  hamna maendeleo ni hadithi za akina pwagu &amp; pwaguzi…Angalieni upinzani wanavyoupiga mwingi mpaka unamwagika kwa majirani zetu..<a href="/IAMartin_/">Martin Maranja Masese</a> <a href="/MariaSTsehai/">Maria Sarungi Tsehai</a> @mdudechadematz <a href="/John_Pambalu/">John Pambalu</a>
Mamwavi_Nkabasia (@joeselasini) 's Twitter Profile Photo

Rais wa watu. Hata kama ana walinzi na ukweli wapo lakini sio wa kuwatisha na kuogopesha wananchi kwa uniform zao na masilaha waliyobeba. Rais wa aina hii hana anachoogopa maana hana hila.

John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Hivi ni kweli Zitto MwamiRuyagwa Kabwe umeyasema haya? Yaani unataka Watanzania waamini kwamba Mwenyekiti Mbowe yuko ndani kwasababu ya kelele? Yaani badala uwasisitize wanaomshikilia Mwenyekiti kwa kesi ya uongo wamuachie huru. Unaanza kuwashambulia Viongozi wenzake? Kuna nini hapa?

Hivi ni kweli <a href="/zittokabwe/">Zitto MwamiRuyagwa Kabwe</a> umeyasema haya? Yaani unataka Watanzania waamini kwamba Mwenyekiti Mbowe yuko ndani kwasababu ya kelele?

Yaani badala uwasisitize wanaomshikilia Mwenyekiti kwa kesi ya uongo wamuachie huru. Unaanza kuwashambulia Viongozi wenzake?
Kuna nini hapa?
Fitsum Arega (@fitsumaregaa) 's Twitter Profile Photo

Congratulations to all African countries & the host Ethiopia on the successful completion of the 35th #AU Summit. Hard work pays off. Stay dedicated. Be persistent. Remain positive about #Ethiopia & #Africa! #AUSummit2022 #AddisAbeba Photo Credit: aronsime

Congratulations to all African countries &amp; the host Ethiopia on the successful completion of the 35th #AU Summit. Hard work pays off. Stay dedicated. Be persistent. Remain positive about #Ethiopia &amp; #Africa! #AUSummit2022 #AddisAbeba Photo Credit: <a href="/aronsimeneh/">aronsime</a>
Chizima (@anthonykasota) 's Twitter Profile Photo

John Heche ACT mnamaanisha hifadhi hizi mikoa/wilaya zianze kugawana na kuwa ni miliki yao kwa kushirikiana na serikali? Mnadhani hiyo italeta usawa wa mgawanyo wa rasilimali nchini? Mnadhani hiyo itaishia Ngorongoro tu na je Wilaya/Mikoa mingine nayo ikifanya hivyo?

Joseph Kalimbwe (@joseph_kalimbwe) 's Twitter Profile Photo

Zambia is exporting 200 000 tonnes of Maize to Zimbabwe & another set to the DRC. Good steps. If we are to truly succeed as a nation, we must invest heavily in agriculture, feed our people & help feed other nations in need of that which we produce. That's how nations succeed !!!

Wampembe Thadeo (@wampembejr) 's Twitter Profile Photo

Here we make money by buying packages and get spins everyday number of spins and benefit of each package are there in presentation spinformoney.com/61957231998922…

Dr. Hamza Abdulrahman, (Esq) (@hamzai_abdul) 's Twitter Profile Photo

Mambo yasichanganywe. Doctor of Philosophy (PhD) sio sawa na Honoris Causa (Honorary Doctorate)! Mwenye Honoris Causa hatakiwa kuwa na Prefix ya Dr.

Innogh | Graphic Designer 🇹🇿 (@innosgram) 's Twitter Profile Photo

Leo nimefanya #SimbaSc_AwayKit design concept, hii ni baada ya watu wengi kutaka kuona Away Kit itakuaje concept baada ya kuona Home kit niliyopost mwanzo. Shuka nayo👇

Leo nimefanya #SimbaSc_AwayKit design concept, hii ni baada ya watu wengi kutaka kuona Away Kit itakuaje concept baada ya kuona Home kit niliyopost mwanzo.
Shuka nayo👇