UZALENDO KWANZA
@uzalendo_tz
๐Uzalendo kwa Nchi kwanza
๐Kazi ndo kipimo cha Utu.
ID: 1547663444362440711
14-07-2022 19:25:20
369 Tweet
1,1K Followers
723 Following
Huu ni mkutano mkuu wa Tawi la UVCCM Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala, hapa sio Wilaya wala Mkoa ni Tawi tu tena la Chuo Kikuu hilo ndio nyomi lake, ambapo SG Jokate Mwegelo alikua mgeni rasmi. Sasa naelewa kwa nini wale Jamaa wanahubiri kutokuingiza timu uwanjani๐๐
Hapa ni kuelekea Mkutano wa Tawi la UVCCM Chuo cha IFM ambapo Katibu Mkuu wa UVCCM Jokate Mwegelo anenda kuzindua #SamiaFirstTimeVoters na hili ndio nyomi la Vijana. Siku kadhaa nyuma kuna Chama kimefanya mikutano Temeke na Kinondoni hawakuwa hata na Robo ya umati huu wa Tawi la Chuo
Ukweli ni mchungu ila ndio tiba, Migogoro ya ndani Chadema Tanzania imekuwa kichocheo cha Kifo chake. Vita vya maneno na makundi ya kutukanana ndani kwa ndani vinawaua wenyewe kuliko maadui wenu wa nje.Ukiona wanachama hodari wanajivua uanachama kwa kasi ni dalili za Chama kufa.
Historia inaenda kuandikwa Mlimani City 16 May, 2025 Ukumbi wa Century Cinemax, wale wenye macho lakini hawataki kuona na wale wenye masikio lakini hawataki kusikia Sasa ni wakati wa kujua ni nini Dkt. Samia Suluhu amefanya ndani ya miaka 4. Mambo makubwa yanafanya na wakubwa.
Samia First time voters iliyoongozwa na Katibu Mkuu wa UVCCM TZ Ndugu Jokate Mwegelo Jijini Arusha ni historia nyingine ya kipekee na salamu za Vijana kuwa Oktoba 2025 Rais Samia Suluhu atapata kura nyingi sana kutoka kwa Vijana wake kwani wamemuelewa vilivyo.
Hawa ni maelfu ya Vijana wa Vyuo na Vyuo Vikuu Mkoani Arusha, Tukio ni Samia First Time Voters na Mgeni Rasmi ni Jokate Mwegelo , Shangwe wanalolionyesha ni ishara ya utayari wao wa kushiriki Uchaguzi, Kimchagua Samia Suluhu kuendelea kuwa Rais wao na kuilinda Amani ya Taifa lao.
"Wote tunaoitakia mema nchi hii tumesikitishwa na kuhuzunishwa na matukio ya uvunjifu wa amani, upotevu wa maisha na uharibifu wa mali za Umma na mali za Watu binafsi kwenye baadhi ya maeneo nchini, hasa kwenye Majiji na Miji". Samia Suluhu #WriteTheFuture #UnitedForTZ
"Kilichotokea hakiendani na taswira na sifa za Kitanzania na sio Utanzania. Haikutushangaza kuona kuwa baadhi wa vijana waliokamatwa kutokana na kadhia hio wametoka nje ya Tanzania". Samia Suluhu #ProtectDemocracy #GenZTZ
"Nitumie fursa hii, kutoa onyo kwa wale wote waliochochea uvunjifu wa amani, na nawataka watambue kuwa vurugu na uvunjifu wa amani huishia kupimana nguvu na uwezo wa kujihami, ila mazungumzo huzaa mshikamano. Tuchague lenye manufaa kwetu". Samia Suluhu #PeaceInTanzania
"Sifa moja ya Mwanadamu ni kutokukamilika, aliekamilika kabisa kabisa bila kasoro yoyote ni Mwenyezi Mungu peke yake. Ndio maana, katika shughuli au harakati za wanaadamu tunaunganishwa na mawasiliano, mazungumzo na maelewano" Samia Suluhu #SuluhuForPeace #TanzaniaDialogue
"Hatuna budi kuhakikisha tunahimizana umoja na upendo kwa nchi yetu, tunadumisha amani na kuheshimu sheria za nchi. Kinyume cha hayo, Maandamano, vurugu na uvunjifu wa amani, husababisha maumivu na havileti manufaa wala faida kwa yeyote". Samia Suluhu #SuluhuListens