SHIRIMA ๐น๐ฟ
@shirima101
Fighting for better
ID: 1526595209928355841
17-05-2022 16:07:34
1,1K Tweet
1,1K Followers
796 Following
"Wote tunaoitakia mema nchi hii tumesikitishwa na kuhuzunishwa na matukio ya uvunjifu wa amani, upotevu wa maisha na uharibifu wa mali za Umma na mali za Watu binafsi kwenye baadhi ya maeneo nchini, hasa kwenye Majiji na Miji". Samia Suluhu #WriteTheFuture #UnitedForTZ
"Kilichotokea hakiendani na taswira na sifa za Kitanzania na sio Utanzania. Haikutushangaza kuona kuwa baadhi wa vijana waliokamatwa kutokana na kadhia hio wametoka nje ya Tanzania". Samia Suluhu #ProtectDemocracy #GenZTZ
"Nitumie fursa hii, kutoa onyo kwa wale wote waliochochea uvunjifu wa amani, na nawataka watambue kuwa vurugu na uvunjifu wa amani huishia kupimana nguvu na uwezo wa kujihami, ila mazungumzo huzaa mshikamano. Tuchague lenye manufaa kwetu". Samia Suluhu #PeaceInTanzania
"Sifa moja ya Mwanadamu ni kutokukamilika, aliekamilika kabisa kabisa bila kasoro yoyote ni Mwenyezi Mungu peke yake. Ndio maana, katika shughuli au harakati za wanaadamu tunaunganishwa na mawasiliano, mazungumzo na maelewano" Samia Suluhu #SuluhuForPeace #TanzaniaDialogue
"Hatuna budi kuhakikisha tunahimizana umoja na upendo kwa nchi yetu, tunadumisha amani na kuheshimu sheria za nchi. Kinyume cha hayo, Maandamano, vurugu na uvunjifu wa amani, husababisha maumivu na havileti manufaa wala faida kwa yeyote". Samia Suluhu #SuluhuListens
Yan Maria Sarungi Tsehai nitahakikisha nampa mimba hata kama ni ajuza angalau apate majukumu ya kifamilia aache upumbafu. Ulikataa kumzika baba yako, Mama yako umemtelekeza magugu yameota hadi sebuleni yan hiki unachokifanya ni laana tu za Marehemu Sarungi zinakupeka puta.