Most Wanted JR (@uchafuzim) 's Twitter Profile
Most Wanted JR

@uchafuzim

NO REFORM NO ELECTION

ID: 927547127999410176

calendar_today06-11-2017 14:44:03

124,124K Tweet

6,6K Followers

1,1K Following

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Wakati nyota ya Tundu Lissu inazidi kung’aa kimataifa, nyota ya Bi Kizimkazi inazima kabisa na sasa imekuwa giza tupu! Watu wanamkana na kumkimbia! Unachokitafuta utakipata Samia Suluhu Kama ulijua utatuua na kututeka alafu utaachwa tu sasa ujue mwisho wa dhulma umeanza

Wakati nyota ya Tundu Lissu inazidi kung’aa kimataifa, nyota ya Bi Kizimkazi inazima kabisa na sasa imekuwa giza tupu! Watu wanamkana na kumkimbia!

Unachokitafuta utakipata <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> 
Kama ulijua utatuua na kututeka alafu utaachwa tu sasa ujue mwisho wa dhulma umeanza
Dunia🌍 (@duniaslavedunia) 's Twitter Profile Photo

Hey TotalEnergies CAFCL & CAFCC 🏆 CAF Media we request the suspension of preparations for the CHAN tournament being organized in Tanzania ,Kenya,and Uganda becouse Tanzania is no longer a safe country for foreign citizens.There is fear of kidnapping and murder,even for foreinners. The Tanzanian gove

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Global TV, wasafi TV wameshusha Interview ya gwajima youtube muda huu. Ningeshangaa sana. Nenda “The Chanzo” bado ipo pale, kapiga sanaaaaaa.

John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Mambo aliyoyasema Askofu Gwajima kuhusu usalama wa Nchi yetu ni mambo makubwa mno. Amesema vyombo vinajua wanaoteka na kupoteza watu, lakini shida wanapofuatilia kunakua na kizingiti kutoka kwa wateuaji. Amezungumza kuhusu kuwabadilisha wakurugenzi wa usalama kwa mda mfupi na

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Ni wangapi walikuwa wanajua kwa miaka mitatu tumekuwa na WAKUU WA USALAMA WA TAIFA watatu tofauti? Kiusalama wa nchi hii haipo sawa. Leo tujadili hoja za GWAJIMA kama mtanzania, tumvue kofia alizonazo zaidi ya 6 kama alivyosema. Press ya GWAJIMA leo imelisaidia sana TAIFA. Acha

Ni wangapi walikuwa wanajua kwa miaka mitatu tumekuwa na WAKUU WA USALAMA WA TAIFA watatu tofauti?

Kiusalama wa nchi hii haipo sawa. Leo tujadili hoja za GWAJIMA kama mtanzania, tumvue kofia alizonazo zaidi ya 6 kama alivyosema.

Press ya GWAJIMA leo imelisaidia sana TAIFA. Acha
John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Vyombo vya dola vinafanya maamuzi kwa mashinikizo ya kisiasa, ndani ya mda mfupi rais Samia amebadili wakurugenzi wa usalama wengi kuliko rais yoyote.

MWANAMAPINDUZI (@machumukadutu) 's Twitter Profile Photo

"Kwa mfano ikatokea Abdul mtoto wa Samia Suluhu wamekuja watu wamemchukua wameondoka naye, kesho kaokotwa hana macho, utajisikiaje⁉️ Sasa kwa nini tunaona hawa wanaopotea kana kwamba ni mbuzi?"- Askofu Josephat Gwajima #FreeMdudeNyagali #FreeSoka #FreeJacobMlay #FreeMbise

Abdulkarim  Juma (@jumaabdukarim) 's Twitter Profile Photo

Naona kumekuwa na jitihada kubwa za Hawa wezi wa chaguzi kutafuta mlango wa kwenda ICC. Wameamua Kwa dhati kufanya uhalifu wa kimaraifa bila uoga wala hofu.

Naona kumekuwa na jitihada kubwa za Hawa wezi wa chaguzi kutafuta mlango wa kwenda ICC. Wameamua Kwa dhati kufanya uhalifu wa kimaraifa bila uoga wala hofu.
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

‼️ #EnforcedDisappearance ALERT #Tanzania ‼️ Anaitwa Mang’era Mugore Alitekwa 09 Mei 2025 jijini Mwanza na hadi sasa Police Force TZ narudia binadamu hawezi kupotezwa kirahisi! Huyu kijana ana watoto wadogo na mke - familia inamtegemea Samia Suluhu huu ukatili wako huu This young man

‼️ #EnforcedDisappearance ALERT #Tanzania ‼️
Anaitwa Mang’era Mugore
Alitekwa 09 Mei 2025 jijini Mwanza na hadi sasa
<a href="/tanpol/">Police Force TZ</a> narudia binadamu hawezi kupotezwa kirahisi!
Huyu kijana ana watoto wadogo na mke - familia inamtegemea
<a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> huu ukatili wako huu

This young man
Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

Tangu Rais Samia aingie madarakani hadi leo WATU 83 wametekwa na kupotezwa. Serikali yake ipo kimya kwasababu anajua nini kinaendelea ile kauli yake ya juzi kuhusu MTIRIRIKO WA WANAHARAKATI WA NDANI NA NJEE haikuwa bahati mbaya.

Abdulkarim  Juma (@jumaabdukarim) 's Twitter Profile Photo

Kweli na haki ndio sababu ya haya unayoyapitia ndugu Mdude Nyagali Hawa mafashisti na genge la wahuni ambao wameamua kujibu hoja zako Kwa nondo bunduki na mabomu huku magereza ndio silaha Yao. Tutashinda kwakuwa Mungu ni mkubwa na hujawah kumuacha katika maisha yako. Miss u bro.

Kweli na haki ndio sababu ya haya unayoyapitia ndugu <a href="/mdudenyagali/">Mdude Nyagali</a>  Hawa mafashisti na genge la wahuni ambao wameamua kujibu hoja zako Kwa nondo bunduki na mabomu huku magereza ndio silaha Yao. Tutashinda kwakuwa Mungu ni mkubwa na hujawah kumuacha katika maisha yako. Miss u bro.
Tanzania Leaks (@tanzanialeaks) 's Twitter Profile Photo

“Je, Abdul anaweza kupotezwa na kuokotwa hana macho na taifa likakaa kimya? Kama haiwezekani kwa Abdul, kwanini watoto wa wengine wanapotezwa halafu tunakaa kimya kana kwamba wamepotea mbuzi au kondoo?” anahoji Askofu Gwajima.

“Je, Abdul anaweza kupotezwa na kuokotwa hana macho na taifa likakaa kimya? Kama haiwezekani kwa Abdul, kwanini watoto wa wengine wanapotezwa halafu tunakaa kimya kana kwamba wamepotea mbuzi au kondoo?” anahoji Askofu Gwajima.
MNYIKA John John (@jjmnyika) 's Twitter Profile Photo

Tafadhali mwimbaji mkuu wimbo huu awasiliane nami. Nimesikiliza nyimbo tatu mpaka sasa za #NoReformsNoElection lakini kwangu huu mpaka sasa ni wimbo bora kuliko zote. youtu.be/NTUM7tKfP1U?si… Ikiwa kuna wimbo mwingine wa #NoReformsNoElection naomba link yake iwekwe hapa pia.

John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Huyu ni Pendo maelezo yake yanafanana na alichokisema Agather kuhusu kuteswa kudhalilishwa na kuvuliwa nguo.. Bahati mbaya sijasikia feminist wakisema chochote kuhusu matendo haya ya kinyama waliyofanyiwa wanawake. Rais ambae ni mama hajasema chochote kuhusu unyama huu, Kama

Huyu ni Pendo maelezo yake yanafanana na alichokisema Agather kuhusu kuteswa kudhalilishwa na kuvuliwa nguo..

Bahati mbaya sijasikia feminist wakisema chochote kuhusu matendo haya ya kinyama waliyofanyiwa wanawake.

Rais ambae ni mama hajasema chochote kuhusu unyama huu, Kama