Think Different
@lifeofmshaba
#ChangeTanzania |#KatibaMpya | #WenyeNchiWananchi | for activism contact via WhatssApp and Telegram +1 (862) 438-3337 |Personal Views| like Not upholding |
ID:253815675
https://forms.gle/1JbJ9n38cpsSu5UM7 18-02-2011 01:07:14
198,8K Tweets
420,3K Followers
3,0K Following
Follow People
Think Different Ila kiukweli
Wanaofanya hiv wanamdhalilisha kwa maana huo mwandiko wa mtu mmoja(chawa) kawabebesha wazee huenda hawaelew hata kilichoandikwa hapo ila picha ukute wanaidefine vbaya maana ukitazama hata nyuso zao znaonyesha
Think Different Kwanza hizo picha wamezitoa wapi? Yaani mtu hana hela ya kula ila ana hela ya kununua picha,hata nguvu ya macho hawana leo wanaweza wapi kuandika hivyo,wangeweza kuandika hivyo basi hata hela ya kula wasingekosa na akili ya kuitafuta na kujitegemea wangekua nayo
Think Different Watu wa kitengo ya PROPAGANDA sisiem hakuna tena ndiyo maana MAZINGAOMBWE NI MENGI SANA.
Kinana nani anataka kuleta mafarakano kati ya CHADEMA Tanzania wanaotaka usawa kwenye muungano na Chama Cha Mapinduzi wanaouza rasilimali za Tanganyika pekee kwa mikataba mibovu? Kinana tunayo mafaili yako namna ulivyohusika na OBC Loliondo, utoroshaji wa wanyama na kupora ardhi ya Maasai.
Ogopa sana endorsement ya CCM kwa wagombea wa CHADEMA katika uchaguzi wa ndani wa Chama.
CHADEMA ni Chama cha upinzani watawala ni CCM. Hatuwezi kuishinda CCM kwa kuwasikiliza wao Maria Sarungi Tsehai CHADEMA Tanzania Hilda Newton
Uhuru wa tume ya uchaguzi unatokana na sheria inayounda tume hiyo pamoja na sheria za uchaguzi na wala sio kauli ya Kinana. Sisi tumeona sheria inayounda tume ni mbovu na sheria ya uchaguzi ni mbovu ndio maana tunaandamana kudai tume huru na #KatibaMpya . Kinana aache upuuzi.
#KatibaMpya itafanya kusiwe na mhimili ambao utakua unaweka mhimili mwingine mfukoni. Miaka ya hivi karibuni tumeona mhimili wa bunge ukiwekwa mfukoni na serikali. — Ananilea Nkya (PhD) #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/3QtMiWi
Kama fedha za nchi zinaliwa na kikundi kidogo utawezaje kumwambia mtu kuwa mzalendo? #KatibaMpya itasaidia katika ugawaji wa keki ya taifa. — Ananilea Nkya (PhD) #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/3QtMiWi
Vijana wengi wanamaliza vyuo vikuu katika fani mbalimbali lakini wananishia kujiingiza kwenye bodaboda na kubeti mtaani. Viongozi wetu hakuna anayefikiria kubuni ajira, hakuna uadilifu wala uwajibikaji. — Ananilea Nkya (PhD) #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/3QtMiWi
Madiwani wanafanya kazi kubwa kuskiliza matatizo na kutatua kesi za wananchi lakini hawalipwi mshahara. #KatibaMpya itaangalia usawa katika kutumia rasilimali za taifa. — Ananilea Nkya (PhD) #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/3QtMiWi
Rais, wabunge na madiwani wanachaguliwa kwa kura lakini kwenye kazi kubwa ya kudili na watu ni kwenye serikali za mitaa na kata. Diwani halipwi mshahara lakini wabunge mwisho wa miaka mitano ni milionea. Hakuna haki. — Ananilea Nkya (PhD) #KatibaMpya VIDEO : bit.ly/3QtMiWi
Kwa sababu hatuna #KatibaMpya , rasilimali za nchi hazigawanywi kwa kila kikundi na kila jamii ya nchi ikanufaika. Tupate katiba bora itakayowezesha makundi yote ya wananchi kunufaika na rasilimali zilizopo nchini. — Ananilea Nkya (PhD) #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/3QtMiWi
Kwa kutokuwepo na #KatibaMpya kumekuwa na serikali ambayo haisikilizi wananchi wala wataalamu wake. Tukomeshe hili ili kupata maendeleo thabiti. — Ananilea Nkya (PhD) #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/3QtMiWi
Kuna haja gani ya watanzania kusoma kama elimu yao haitatumika kuisaidia taifa lao? #KatibaMpya itafanya mawazo na maoni ya wataalamu yaheshimke. — Ananilea Nkya (PhD) #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/3QtMiWi