Freddie
@frediejustine
Centrist. Diplomat. Carpe Diem
ID:518423671
08-03-2012 12:00:46
97,2K Tweets
58,7K Followers
519 Following
Tukiona chombo cha habari kinapindisha haki tutumie kila njia ikiwemo mitandao ya kijamii kukikosoa na kukikataa. Tunataka uhuru wa habari, hata kama hakuna uhuru haifanyi vyombo kuripoti kinyume. — Godbless E.J. Lema #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/4aPxDga
Kwa muda mrefu tumekuwa na kero za Muungano katika pande zote mbili yani Zanzibar na Tanganyika. Je kero za Tanganyika zinatambulika vipi? Kwa nini Tangayika isiwe na serikali yake kama ilivyo Zanzibar? #MariaSpaces #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
Pesa zinazotumika kwenye magari ya Kifahari yasiyo ya lazima kwenye misafara ya serikali zingetumika kufanya maendeleo. Tunahitaji uongozi ambao utawajibika kwa maendeleo ya wananchi kuliko kujifaidisha. — Peter Madeleka #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/4aPxDga
Mungu akulinde Tundu Antiphas Lissu 🙏🏽
Amesema “ Huyo Bwana mkubwa (Mungu) asipoamua, hufi ng’o! Niulizeni mie!” 😃😃
Alafu wanakuja hawa machawa wanamtishia tishia na maneno!
Hamtaweza kumtisha Lissu! Tena mkome! Mfyuu! Mngekuwa na uwezo mngejaribu tena kumwua na roho zenu nyeusi!…
Aluta continua wapiganaji DEUSDEDITH SOKA na Freddie
Sisi vijana wa nchi hii hatuko tayari kuona raslimali zetu zinauzwa kizembe💪💪
#KatibaMpya ni Sasa.
#VuguvuguLaKudaiHaki