Joe MYOYA✪ (@joemyoya) 's Twitter Profile
Joe MYOYA✪

@joemyoya

💰 | A Jobless, Full-Time Dad & Entrepreneur
💸 | Helping Busy 9-5 Parents Make Passive Income with Digital Marketing.
↘️ | Get Started Now, Link on my Bio🔥

ID: 240187676

linkhttps://dailybusinessreviewer.com/start calendar_today19-01-2011 10:39:06

117,117K Tweet

2,2K Takipçi

863 Takip Edilen

Vanguard Africa (@vanguardafrica) 's Twitter Profile Photo

We join the Platform for African Democrats in unwavering solidarity with Tundu Antiphas Lissu in #Tanzania, calling for his immediate release. Put simply, there can be no free and fair election where the leader of the opposition is on trial and the party he leads banned. #FreeTunduLissu

We join the Platform for African Democrats in unwavering solidarity with <a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a> in #Tanzania, calling for his immediate release. Put simply, there can be no free and fair election where the leader of the opposition is on trial and the party he leads banned. #FreeTunduLissu
Mashibe 🇹🇿 (@mashibe_jr) 's Twitter Profile Photo

"Kanisa likihamasisha watu kupiga kura mnasema hapo sawa,ila likihoji kwanini kura zinazopigwa zinaibiwa mnasema linaingilia siasa" Askofu Bagonza.

"Kanisa likihamasisha watu kupiga kura mnasema hapo sawa,ila likihoji kwanini kura zinazopigwa zinaibiwa mnasema linaingilia siasa"

Askofu Bagonza.
Fortunatus Buyobe (@fbuyobe) 's Twitter Profile Photo

Idara ya uhamiaji Uhamiaji Tanzania mmelala usingizi? Kwa nini hamjiulizi kwa nini raia huyu wa Afrika kusini Mr. Teunis Van Buuren hawezi kusajili namba ya simu wala akaunti ya benki kwa jina lake binafsi? Machale hayawachezi kwa detail ndogo kama hii? Idara yenu inaruhusu raia wa

Idara ya uhamiaji <a href="/UhamiajiTz/">Uhamiaji Tanzania</a> mmelala usingizi?

Kwa nini hamjiulizi kwa nini raia huyu wa Afrika kusini Mr. Teunis Van Buuren hawezi kusajili namba ya simu wala akaunti ya benki kwa jina lake binafsi?

Machale hayawachezi kwa detail ndogo kama hii?

Idara yenu inaruhusu raia wa
Fortunatus Buyobe (@fbuyobe) 's Twitter Profile Photo

Tarehe 4 Nov 2015 polisi wanaagiza bidhaa kwa Call Of Order No. MOHA/PF/2015/2016/08 kutoka kwa mkandarasi Daissy General Trader Mkandarasi anapaswa kuagiza mzigo huo China. Mkataba unampa mkandarasi siku 180 (Kutoa mzigo china hadi kukabidhi kwa jeshi la polisi) Kuwa baaa ya

Tarehe 4 Nov 2015 polisi wanaagiza bidhaa kwa Call Of Order No. MOHA/PF/2015/2016/08 kutoka kwa mkandarasi Daissy General Trader

Mkandarasi anapaswa kuagiza mzigo huo China.

Mkataba unampa mkandarasi siku 180 (Kutoa mzigo china hadi kukabidhi kwa jeshi la polisi)

Kuwa baaa ya
Son of God (@eliabudanford) 's Twitter Profile Photo

Siasa zetu, hakuna kurejea matatizo/ubadhilifu wa fedha/tathimini ya utendaji kazi uliofanyika nyuma kila wakati wa kampeni ni ahadi mpya.

John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Nimepata taarifa na siwezi kuzipuuza. Kwamba hawa jamaa wanaandaa mbinu ikiwemo kushambulia viongozi wetu kwa mbinu za kijambazi. Kwahiyo kuna genge litavamia watu kwenye makazi yao, au hata barabarani. Alafu itasemekana ni majambazi.. Mambo haya ya kihuni hayakubaliki na

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Jana nilikuwa nimewasiliana na rafiki yangu mwanaharakati wa nchi nyingine na aliniuliza mambo vipi nikamjibu mengi ila nikasema wanachosha hawa mafedhuli, akaniambia “ that’s how they win… just...persisting” Na mi nikasema, “We need to be more resilient than they are” ✊🏽

Jana nilikuwa nimewasiliana na rafiki yangu mwanaharakati wa nchi nyingine na aliniuliza mambo vipi nikamjibu mengi ila nikasema wanachosha hawa mafedhuli, akaniambia “ that’s how they win… just...persisting”
Na mi nikasema, “We need to be more resilient than they are”
✊🏽
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Kontena la SILAHA za Abduli zinaanza kufanya Kazi. Hatuwezi kupuuzia hili. Sambaza Taarifa hizi kila pembe ya DUNIA. REPOST 200 TUTAKUWEPO🫵🏾😎

Kontena la SILAHA za Abduli zinaanza kufanya Kazi.

Hatuwezi kupuuzia hili. 

Sambaza Taarifa hizi kila pembe ya DUNIA.

REPOST 200

TUTAKUWEPO🫵🏾😎
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Na niwaambie serikali ya TANZANIA, huu ndio mwanzo wa kwenda GLOBAL. Sijamaliza media TOUR ndio naanza. Nilitoa muda wa kupata HAKI ZANGU mkapuuzia. Sasa sitaki kelele za “TUWE WAZALENDO kwa nchi yetu” TUTAKUWEPO🫵🏾😎

Na niwaambie serikali ya TANZANIA, huu ndio mwanzo wa kwenda GLOBAL. 

Sijamaliza media TOUR ndio naanza.

Nilitoa muda wa kupata HAKI ZANGU  mkapuuzia. Sasa sitaki kelele za “TUWE WAZALENDO kwa nchi yetu”

TUTAKUWEPO🫵🏾😎
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

❤️ wapambanaji wasiokata tamaa na wasiorudi nyuma Hawa ndo wa kuwaenzi siku ya Mashujaa inayoongozwa na Chadema Tanzania Much love and power kwetu sote - tusikate tamaa tusichoke ✊🏽 #Tutashinda #NoReformsNoElection

❤️ wapambanaji wasiokata tamaa na wasiorudi nyuma
Hawa ndo wa kuwaenzi siku ya Mashujaa inayoongozwa na <a href="/ChademaTZ2/">Chadema Tanzania</a> 
Much love and power kwetu sote - tusikate tamaa tusichoke ✊🏽
#Tutashinda 
#NoReformsNoElection
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Tunashukuru BBC News Swahili BBC News Africa kwa kuanika hadharani ukatili wa Samia Suluhu Chama Cha Mapinduzi Police Force TZ na vyombo vya utawala kupitia utekaji, utesaji na mauaji! Wamekimbia wote interview wasiseme hawakutafutwa 🙄 Sasa dunia itaendelea kujua na tutahakikisha mtawajibika! Mtakosa