Haji Salim Omari (@hajisalimomari) 's Twitter Profile
Haji Salim Omari

@hajisalimomari

Normal

ID: 2688338770

calendar_today08-07-2014 20:09:40

624 Tweet

163 Followers

372 Following

Haji Salim Omari (@hajisalimomari) 's Twitter Profile Photo

muikumbuke udhia wanaoupata wananchi wa mtaa wa Magogoni, wanaoteseka na maji yanayotoka bwawani na kuhamia mitaani kwenye makazi ya watu, tumestahamili sana na sasa tunahitaji utendaji kwenye kuimarisha miundo mbinu ya kupeleka maji baharin yanayotoka bwawani.

Haji Salim Omari (@hajisalimomari) 's Twitter Profile Photo

uvutaji sigara ni starehe miongoni mwa watu japokua ina madhara makubwa kiafya.mvutaji anaathirika lakin yeye amekubali aathirike Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿 munatulindaje sisi ambao hatuvuti sigara , ila tunapishana na wavuta sigara na moshi kuingia mapafuni mwetu. wateengeni sehemu maalum

. (@abusalama_3) 's Twitter Profile Photo

SMS YA HAMZA "Brother nakufa, nahema kwa tabu, vumbi ni zito. Giza limetanda. Sioni chochote mbele yangu." Anasema: ".....simu yangu Ina asilimia 6 tu, muda wowote itazima chaji. Nimebanwa na kifusi huku chini kaka, naomba ufanye kitu, sitaki kufa, kaka. Naogopa sana.

ikulu_Tanzania (@ikulumawasliano) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan azungumza na Wananchi kufuatia kuporomoka kwa ghorofa Kariakoo Jijini Dar es Salaam.

Haji Salim Omari (@hajisalimomari) 's Twitter Profile Photo

Habari zenu ndugu zangu humu x. Nimatumain mpo salama , nina shida ya mbuzi kwa ajili ya akika , .wenye mbuzi ambae yupo dar tuwasiliane tafadhali.

Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

VIDEO: Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Tundu Lissu Tundu Antiphas Lissu amesema Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe Freeman Mbowe amesema uongo kuwa waliwahi kufanya mazungumzo ya iwapo anahitaji kugombea nafasi hiyo ama la ," yeye alitaka vyote awe

Haji Salim Omari (@hajisalimomari) 's Twitter Profile Photo

Leo ni siku ya nne huduma ya umeme usiku tunaikosa, walianza tarehe 27 walizima umeme mpk asubuh wakarudish, tare 28,1,na le 2 katika wakati unaofanana umeme tunakosa wakaaz wa kigamboni , ni tatzo gan linatokea sku 4 mfululizo na kwa mida ile ile ya kuanzia saa 3 usku

Leo ni siku ya nne huduma ya umeme usiku tunaikosa, walianza tarehe 27 walizima umeme mpk asubuh wakarudish, tare 28,1,na le 2 katika wakati unaofanana umeme tunakosa wakaaz wa kigamboni  , ni tatzo gan linatokea sku 4 mfululizo na kwa mida ile ile ya kuanzia saa 3 usku
Haji Salim Omari (@hajisalimomari) 's Twitter Profile Photo

ujana ni maji ya moto, ujana ni nusu ya uwendazimu. kwanini unakubali unakupelekesha. au ndo… instagram.com/p/BY_oNT2ltsB/

Haji Salim Omari (@hajisalimomari) 's Twitter Profile Photo

Anaekuheshimu hamaanishi kujipendkeza. ichunge sana heshima na thamani unayopewa na watu. wapo… instagram.com/p/BZT_ngkB7bG/