Peter Madeleka
@PMadeleka
Chief Legal Counsel at Stalwart Law Chambers
ID:1387685001534316546
29-04-2021 08:28:16
6,4K Tweets
85,0K Followers
5,5K Following
Nimepewa MAELEKEZO na mteja wangu GETRUDE MASANJA ambaye AMELALAMIKA kufanyiwa vitendo vya UDHALILISHAJI na baadhi ya POLISI Mkoani KILIMANJARO, nihakikishe anapata HAKI yake. Nitafanya hivyo. POLISI mtatukuta MAHAKAMANI Police Force TZ
Nataka niwaambie BISWALO MGANGA na ANNA MAKAKALA kwamba HAKI WALIYONIPOKONYA, kamwe HAITAPOTEA, iwe ni DUNIANI au MBINGUNI Samia Suluhu .
Kuna jambo ADHIMU nimejifunza kwenye UJUMBE wa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu . Asante sana MAMA🙏🏻🙏🏻