#ChangeTanzania(@ChangeTanzania) 's Twitter Profileg
#ChangeTanzania

@ChangeTanzania

This is #ChangeTanzania movement of citizens exercising their right to #FreedomOfExpression | for activism contact via WhatssApp & Telegram +1 (862) 438-3337

ID:474690789

linkhttps://forms.gle/1JbJ9n38cpsSu5UM7 calendar_today26-01-2012 07:39:46

94,2K Tweets

315,7K Followers

1,1K Following

Maria Sarungi Tsehai(@MariaSTsehai) 's Twitter Profile Photo

🚨Tukae humu πŸ‘‡πŸΎβ‰οΈ
πŸ‘‰πŸ½ Samia Suluhu alituwekea humu taarifa ya kukabidhiwa kitambulisho cha Mzanzibari Mkaazi
πŸ‘‰πŸ½ Kwa mantiki hii Samia ni MZANZIBARI na si ukabila maana hakuna kabila inatoa kitambulisho - so huu uzanzibari ni nini? πŸ˜ƒ
πŸ‘‰πŸ½ Kitambulisho hicho lazima uhakikiwe na kwa…

🚨Tukae humu πŸ‘‡πŸΎβ‰οΈ πŸ‘‰πŸ½ @SuluhuSamia alituwekea humu taarifa ya kukabidhiwa kitambulisho cha Mzanzibari Mkaazi πŸ‘‰πŸ½ Kwa mantiki hii Samia ni MZANZIBARI na si ukabila maana hakuna kabila inatoa kitambulisho - so huu uzanzibari ni nini? πŸ˜ƒ πŸ‘‰πŸ½ Kitambulisho hicho lazima uhakikiwe na kwa…
account_circle
#ChangeTanzania(@ChangeTanzania) 's Twitter Profile Photo

Kupitia uwepo wa mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali atakayeteuliwa na Rais ni lazima athibitishwe na Bunge la Jamhuri ya Muungano.

Kupitia #KatibaMpya uwepo wa mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali atakayeteuliwa na Rais ni lazima athibitishwe na Bunge la Jamhuri ya Muungano. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
account_circle
#ChangeTanzania(@ChangeTanzania) 's Twitter Profile Photo

Ni Wananchi ambao hupima ubora wa Maafisa wa Umma, uaminifu na Uadilifu wao. Mfumo wa ukaguzi wa umma unaoendeshwa na Malalamiko katika unaweza kusaidia katika kubainisha uadilifu wa Watumishi wa Umma.

Ni Wananchi ambao hupima ubora wa Maafisa wa Umma, uaminifu na Uadilifu wao. Mfumo wa ukaguzi wa umma unaoendeshwa na Malalamiko katika #KatibaMpya unaweza kusaidia katika kubainisha uadilifu wa Watumishi wa Umma. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
account_circle
#ChangeTanzania(@ChangeTanzania) 's Twitter Profile Photo

Wakati wananchi wanapokosa imani na Afisa yeyote wa Kisiasa au Umma, ni muhimu kuwe na mfumo wa kukagua uwajibikaji na ukaguzi wa ubadhirifu wa mali ya umma. Tunataka inayowapa wananchi nguvu na kuwalinda.

Wakati wananchi wanapokosa imani na Afisa yeyote wa Kisiasa au Umma, ni muhimu kuwe na mfumo wa kukagua uwajibikaji na ukaguzi wa ubadhirifu wa mali ya umma. Tunataka #KatibaMpya inayowapa wananchi nguvu na kuwalinda. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
account_circle
#ChangeTanzania(@ChangeTanzania) 's Twitter Profile Photo

bora itahakikisha kuwa michakato wa wananchi inaiwajibisha serikali yao kupitia Malalamiko. Bunge huru lazima litunge sheria kali zinazowapa raia mamlaka ya kuiwajibisha serikali.

account_circle
#ChangeTanzania(@ChangeTanzania) 's Twitter Profile Photo

Wanawake wanapoelimishwa nchi zao huwa na nguvu na ustawi zaidi - Michelle Obama … Sera ya kurudisha watoto wa kike shule katika mfumo rasmi si swala la kupuuziwa.

Wanawake wanapoelimishwa nchi zao huwa na nguvu na ustawi zaidi - Michelle Obama … Sera ya kurudisha watoto wa kike shule katika mfumo rasmi si swala la kupuuziwa. #ArudiShule #ElimuBilaUbaguzi #ChangeTanzania
account_circle
Maria Sarungi Tsehai(@MariaSTsehai) 's Twitter Profile Photo

πŸ’₯πŸ’₯ ka-boom ‼️
11 October 2021
β€œHata mimi ujiniuliza nitakwambia mi mzanzibari - sina kabila”
- Samia Suluhu mwenyewe

Utambulisho wake kasema ni Mzanzibari πŸ˜ƒ
Sasa leo iweje kumwita mzanzibari iwe ubaguzi?

Alafu kujiita mzanzibari kama si kabila ni nini? Utaifa? Uraia? Hadi…

account_circle
#ChangeTanzania(@ChangeTanzania) 's Twitter Profile Photo

Viongozi wa Kisiasa na Watumishi wa Umma wanaposhindwa kutumikia Wananchi, ni lazima Wananchi wawe na namna ya kuwawajibisha. Nzuri, Imara na ya Kuaminika inawahakikishia wananchi mamlaka kamili.

Viongozi wa Kisiasa na Watumishi wa Umma wanaposhindwa kutumikia Wananchi, ni lazima Wananchi wawe na namna ya kuwawajibisha. #KatibaMpya Nzuri, Imara na ya Kuaminika inawahakikishia wananchi mamlaka kamili. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
account_circle
#ChangeTanzania(@ChangeTanzania) 's Twitter Profile Photo

Wananchi wanapochukizwa na uongozi mbaya katika serikali ya Mkoa na Kitaifa, ni lazima wawe na Mamlaka ya Serikali ya kuwawajibisha viongozi hao wasiotaka kuendanan na matakwa ya wananchi. . #KatibaMpya#WenyeNchiWananchi

Wananchi wanapochukizwa na uongozi mbaya katika serikali ya Mkoa na Kitaifa, ni lazima wawe na Mamlaka ya Serikali ya kuwawajibisha viongozi hao wasiotaka kuendanan na matakwa ya wananchi. . #KatibaMpya#WenyeNchiWananchi
account_circle
#ChangeTanzania(@ChangeTanzania) 's Twitter Profile Photo

Mgawanyo wa madaraka hutoa uwezo kwa wananchi kupitia bunge na mahakama kusimamia, kueleza, na kupitisha masuala muhimu na wajibu wao wenye maslahi kwa umma.

Mgawanyo wa madaraka hutoa uwezo kwa wananchi kupitia bunge na mahakama kusimamia, kueleza, na kupitisha masuala muhimu na wajibu wao wenye maslahi kwa umma. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
account_circle
MwanzoTvPlus(@MwanzoTvPlus) 's Twitter Profile Photo

: LISSU AMVAA FATMA KARUME MAZIMA, AKINUKISHA DODOMA
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania, Tundu Antiphas Lissu akiwasha , awavaa Wafanyakazi wa Umma kwa kuwa omba omba kwa Rais, atabiri yatakayotokea siku ya Wafanyakazi, amvaa vikali fatma karume aka Shangazi

Zaidi:…

account_circle
#ChangeTanzania(@ChangeTanzania) 's Twitter Profile Photo

Mgawanyo wa madaraka unahakikisha mihimili mitatu ya serikali inadhibiti bajeti zao za kitaasisi zinazohakikisha uhuru wa kifedha bila kuingiliwa na watu wengine. Hii husaidia fedha kufanya kazi iliyokusudiwa.

Mgawanyo wa madaraka unahakikisha mihimili mitatu ya serikali inadhibiti bajeti zao za kitaasisi zinazohakikisha uhuru wa kifedha bila kuingiliwa na watu wengine. Hii husaidia fedha kufanya kazi iliyokusudiwa. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
account_circle
#ChangeTanzania(@ChangeTanzania) 's Twitter Profile Photo

Mgawanyo wa madaraka huweka uwiano wa uwajibikaji ndani na kati ya taasisi za serikali ili kusimamia majukumu yao binafsi ya kitaasisi kwa uhuru bila kutdbitiwa na taasisi nyingine zinazohisi zina nguvu.

Mgawanyo wa madaraka huweka uwiano wa uwajibikaji ndani na kati ya taasisi za serikali ili kusimamia majukumu yao binafsi ya kitaasisi kwa uhuru bila kutdbitiwa na taasisi nyingine zinazohisi zina nguvu. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
account_circle
#ChangeTanzania(@ChangeTanzania) 's Twitter Profile Photo

Mgawanyo wa madaraka husaidia kukuza na kuongeza ufanisi serikalini kwa sababu kila tawi la serikali linafanya kazi bila ya mwenzake kumuingilia au kuporaa madaraka yake.

Mgawanyo wa madaraka husaidia kukuza na kuongeza ufanisi serikalini kwa sababu kila tawi la serikali linafanya kazi bila ya mwenzake kumuingilia au kuporaa madaraka yake. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
account_circle
#ChangeTanzania(@ChangeTanzania) 's Twitter Profile Photo

italeta Mgawanyiko wa madaraka wenye kulinda haki na uhuru wa raia, hasa walio wachache, kwa kuhakikisha kuwa mtawala hawi mikononi mwa watu wachache au baadhi yamakundi yenye maslahi yao binafsi.

#KatibaMpya italeta Mgawanyiko wa madaraka wenye kulinda haki na uhuru wa raia, hasa walio wachache, kwa kuhakikisha kuwa mtawala hawi mikononi mwa watu wachache au baadhi yamakundi yenye maslahi yao binafsi. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
account_circle
#ChangeTanzania(@ChangeTanzania) 's Twitter Profile Photo

Kwa kupata tutakuwa na taasisi imara za serikali na kuzuia mamlaka kuchukuliwa na kuwekwa mikononi mwa makundi yenye maslahi au watu binafsi.

Kwa kupata #KatibaMpya tutakuwa na taasisi imara za serikali na kuzuia mamlaka kuchukuliwa na kuwekwa mikononi mwa makundi yenye maslahi au watu binafsi. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
account_circle