Franco Msaki (@francomsaki13) 's Twitter Profile
Franco Msaki

@francomsaki13

ID: 1440625385457082382

calendar_today22-09-2021 10:34:13

2,2K Tweet

1,1K Followers

3,3K Following

Boniface Jacob (@exmayorubungo) 's Twitter Profile Photo

Leo ni mikutano ya Mwisho MKOA WA KIGOMA. Kata ya kagunga Jimbo la Kigoma Kaskazini. Kata za Kalya na Nguruka jimbo la Kigoma Kusini. KWAHERI KIGOMA HODI KATAVI IGA UFE AU JARIBU UFILISIKE

Leo ni mikutano ya Mwisho MKOA WA KIGOMA.

Kata ya kagunga Jimbo la Kigoma Kaskazini.
Kata za Kalya na Nguruka jimbo la Kigoma Kusini.

KWAHERI KIGOMA HODI KATAVI

IGA UFE AU JARIBU UFILISIKE
Sheila Mchamba (@sheilamchamba) 's Twitter Profile Photo

Niko njaa hata siezi karanga
Hoehae shaghala bhaghala
Niko tayari kulipa gharama
Sitasimama maovu yakitawala
Sitasimama maovu yakitawala
Ufisadi ubinafsi ukabila
Kuuza sura hawataki kuuza sera
Undugu ni kufaana
Sitasimama maovu yakitawala
Siatasimama maovu yakitawala🎶🎶

#NIPENI_MAUA_YANGU💐 (@roma_mkatoliki) 's Twitter Profile Photo

NIPENI MAUA YANGU 🎵 IMESABABISHA TUONE VIPAJI VINGI SANA KUTOKA MTAANI🔥🔥🔥🔥🔥 Anaitwa #Dushboy MIMI NIMEMPITISHA NO DOUBT!! Ogopa Im 23 Na Bado Am Rapping Sober/ Na Ninakimbiza Hii Degree Corporate World Im Taking Over/ 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 Dogo Kanyoosha Sana….

Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Mkutano wa tatu kwa leo, kata ya Majimoto, jimbo la Kavuu, Mkoa wa Katavi. MaCCM yamefanya wananchi wa Kavuu kuwa maskini. Huku ndiyo chaka lao la kujificha. Tunayatoa pangoni. Ahsante Kavuu. Ahsante Katavi. #255KatibaMpya #PeoplesPower ✌️

Mkutano wa tatu kwa leo, kata ya Majimoto, jimbo la Kavuu, Mkoa wa Katavi.

MaCCM yamefanya wananchi wa Kavuu kuwa maskini. Huku ndiyo chaka lao la kujificha. Tunayatoa pangoni.

Ahsante Kavuu. Ahsante Katavi. 

#255KatibaMpya #PeoplesPower ✌️
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

#Tanzania 🚨 Sungusungu Arusha wananyanyasa wananchi - wanawapa kesi na kuwatishia! Kata ya Sinoni mkuu wao anaitwa Ally Kata ya Sakina anaitwa Idrisa na ndo anasemekana ni mbaya zaidi! Wanakula mirungi na kuumiza vijana! Samia Suluhu upo? WizarayaMamboyaNdani mna taarifa? #TutaelewanaTu

#Tanzania 🚨
Sungusungu Arusha wananyanyasa wananchi - wanawapa kesi na kuwatishia!
Kata ya Sinoni mkuu wao anaitwa Ally
Kata ya Sakina anaitwa Idrisa na ndo anasemekana ni mbaya zaidi!
Wanakula mirungi na kuumiza vijana!
<a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> upo? <a href="/WizaraMNN/">WizarayaMamboyaNdani</a> mna taarifa? #TutaelewanaTu
Twaha Mwaipaya (@twaha_mwaipaya) 's Twitter Profile Photo

Nipo hapa MASWA maduka yote yamefungwa kuanzia asubuhi mpaka sasa, ukiuliza kwanini WANASEMA leo ni jumamosi ya usafi ila hakuna mwananchi hata mmoja anayefanya usafi, tunapoteza Kodi kizembe sana nchi hii.

Nipo hapa MASWA maduka yote yamefungwa kuanzia asubuhi mpaka sasa, ukiuliza kwanini WANASEMA leo ni jumamosi ya usafi ila hakuna mwananchi hata mmoja anayefanya usafi, tunapoteza Kodi kizembe sana nchi hii.
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Mapendekezo ya mabadiliko ya sheria ya Usalama Je mnajua kuwa mapendekezo haya yalichapwa katika gazeti la serikali Mei 10, 2023? Itajadiliwa (na itapitishwa kiulaini) na Bunge! Je mnajua kuna mabadiliko gani makubwa yamepangwa? Tusibweteke #TutaelewanaTu

Mapendekezo ya mabadiliko ya sheria ya Usalama 
Je mnajua kuwa mapendekezo haya yalichapwa katika gazeti la serikali Mei 10, 2023? Itajadiliwa (na itapitishwa kiulaini) na Bunge!
Je mnajua kuna mabadiliko gani makubwa yamepangwa?
Tusibweteke #TutaelewanaTu
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Haya marekebisho ni hatari sana na kuna siku Samia Suluhu atakuja kupata “taste of her own medicine” kwani itatumika dhidi yake na Rais mwingine! Mtakuja kukumbuka nilisema hii alafu mtasema mi mtabiri ohoo 😅 Mi si mtabiri ila ninaheshimu sana KARMA! #TutaelewanaTu lakini

CHADEMA Tanzania (@chadematz) 's Twitter Profile Photo

Matukio katika picha, mkutano wa Alasiru Mei 29, 2023 kata ya Lugubu, jimbo la Igunga, Mgeni rasmi akiwa Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Freeman Mbowe. #255KatibaMpya

Matukio katika picha, mkutano wa Alasiru Mei 29, 2023 kata ya Lugubu, jimbo la Igunga, Mgeni rasmi akiwa Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. <a href="/freemanmbowetz/">Freeman Mbowe</a>.

#255KatibaMpya
NTOBI (@ntobi_) 's Twitter Profile Photo

Mwamba Freeman Mbowe, Kata ya Igurubi, katika mkutano wa jioni Mei 29, 2023 Jimbo la Igunga, Ikiwa ni mkutano wake wa sita kwa siku ya leo. Watanzania wana KIU ya Mabadiliko.🔥 #Plus255KatibaMpya

Mwamba <a href="/freemanmbowetz/">Freeman Mbowe</a>, Kata ya Igurubi, katika mkutano wa jioni Mei 29, 2023 Jimbo la Igunga, Ikiwa ni mkutano wake wa sita kwa siku ya leo.

Watanzania wana KIU ya Mabadiliko.🔥

#Plus255KatibaMpya
Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

Jeshi la Polisi mkoa wa Tabora, wilaya ya Igunga, ahsante sana Msirudi tena nyakati za UDIKTETA. Never, Never and Never again @ChademaTz tumeeleza vizuri katika sera zetu za mwaka 2019 kuhusu Jeshi la Polisi Jeshi la Polisi kwetu litakuwa “police service” siyo “police force”

Jeshi la Polisi mkoa wa Tabora, wilaya ya Igunga, ahsante sana

Msirudi tena nyakati  za UDIKTETA. Never, Never and Never again

@ChademaTz tumeeleza vizuri katika sera zetu za mwaka 2019 kuhusu Jeshi la Polisi

Jeshi la Polisi kwetu litakuwa “police service” siyo “police force”
Martin Maranja Masese (@iamartin_) 's Twitter Profile Photo

MEI 2023 inakwisha, tunaingia JUNI 2023 ili tusafiri kwa treni ya umeme Dar-Morogoro @WizarayaUJnaUC mlisema safari zitaanza Februari 2023, ilipofika, mkasema safari zitaanza Mei 2023. Safari tunayo? MMM kazi yangu ni updates. Mlidhani MEI ni AFU MBILI na SABINI eeh? MAUONGO!

MEI 2023 inakwisha, tunaingia JUNI 2023 ili tusafiri kwa treni ya umeme Dar-Morogoro

@WizarayaUJnaUC mlisema safari zitaanza Februari 2023, ilipofika, mkasema safari zitaanza Mei 2023. Safari tunayo?

MMM kazi yangu ni updates. Mlidhani MEI ni AFU MBILI na SABINI eeh? MAUONGO!
(---) Onesmo Mushi (@edutalktz) 's Twitter Profile Photo

Wanaotafuta kulindwa na sheria ndio hao hao wanaokwapua mabilioni ya kodi za watanzania maskini na kutumia mtutu wa bunduki kuwanyamazisha. Umma wa watanzania ungekuwa unafahamu nguvu uliyonayo, hawa watawala wasingekuwa na ujasiri wa kuyafanya haya! Samia Suluhu

Freeman Mbowe (@freemanmbowetz) 's Twitter Profile Photo

Ufunguzi wa Oparesheni ya +255 ni ukurasa wa kwanza kuelekea kwenye mabadiliko makubwa ya kisiasa na kimfumo katika nchi yetu. Sisi kama CHADEMA tumezunguka mikoa mitatu, tumefanya mikutano kwenye wilaya 16, majimbo 25, Kata 403, Mitaa 367, Vijiji 1,211 na Vitongoji 7,028. Huu ni

Ayubu Madenge (@ayubu_madenge) 's Twitter Profile Photo

Kesho Feisal Salum atazungumza hadharani kupitia Clouds Media. Tangu Mgogoro wake na YANGA uanze hii inakuwa ni Mara ya Kwanza anazungumza na chombo cha habari kwa Kina kuhusu Maisha yake ya sasa. Kesho kuanzia saa 12 alfajiri kupitia Power Breakfast ya Clouds Feisal atazungumza.

Kesho Feisal Salum atazungumza hadharani kupitia Clouds Media. Tangu Mgogoro wake na YANGA uanze hii inakuwa ni Mara ya Kwanza anazungumza na chombo cha habari kwa Kina kuhusu Maisha yake ya sasa. Kesho kuanzia saa 12 alfajiri kupitia Power Breakfast ya Clouds Feisal atazungumza.