Road Safety Ambassadors of Tanzania (@rsatza) 's Twitter Profile
Road Safety Ambassadors of Tanzania

@rsatza

An NGO registered in Tanzania, dedicated to saving road users lives through education | Member of Global Alliance of NGOs for Road Safety

ID: 1544582004171309058

linkhttps://rsa.or.tz calendar_today06-07-2022 07:21:02

136 Tweet

255 Followers

131 Following

Mable Tomusange (@mabletomusange) 's Twitter Profile Photo

Yes. It was an Honor to share my Road Safety Journey. The Advocacy continues but we need to do it together, and its starts with You. It's an Individual Call. Alluta continua.#roadsafety

Yes. It was an Honor to share my Road Safety Journey. The Advocacy continues but we need to do it together, and its starts with You. It's an Individual Call. Alluta continua.#roadsafety
Road Safety Ambassadors of Tanzania (@rsatza) 's Twitter Profile Photo

Madereva hawa si wageni machoni petu. Tena amelipamba gari lake kwa maneno mazuri mno, "MWENYE HEKIMA HABISHANI" ila yeye amekosa kabisa hekima barabarani. Nadhani sasa ni muda sahihi wa kuwa na sheria madhubuti za Barabara Police Force TZ Wizara ya Katiba na Sheria Wizara ya Afya Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ Tanganyika Law Society(TLS)

Madereva hawa si wageni machoni petu. Tena amelipamba gari lake kwa maneno mazuri mno, "MWENYE HEKIMA HABISHANI" ila yeye amekosa kabisa hekima barabarani.
Nadhani sasa ni muda sahihi wa kuwa na sheria madhubuti za Barabara
<a href="/tanpol/">Police Force TZ</a>
<a href="/Sheria_Katiba/">Wizara ya Katiba na Sheria</a>
<a href="/wizara_afyatz/">Wizara ya Afya Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ</a> 
<a href="/TanganyikaLaw/">Tanganyika Law Society(TLS)</a>
Road Safety Ambassadors of Tanzania (@rsatza) 's Twitter Profile Photo

Mabalozi wa Usalama Barabarani Mkoani Mara wakiambatana na Sgt Sosi wa Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, wakitoa Elimu ya Bima kwa madereva wa mabasi na Malori wanaosoma katika Chuo cha Ufundi Veta Musoma. Asasi ya mabalozi inashirikiana na taasisi mbalimbali.

Mabalozi  wa Usalama Barabarani Mkoani Mara wakiambatana na Sgt Sosi wa Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, wakitoa Elimu ya Bima kwa madereva wa mabasi na Malori wanaosoma katika  Chuo cha Ufundi Veta Musoma. Asasi ya mabalozi inashirikiana na taasisi mbalimbali.
Eng.Mapunda Jr (@engmapundajr) 's Twitter Profile Photo

🧡UZI πŸ‘‡πŸΏ 𝙉𝙄𝙉𝙄 π™ˆπ˜Όπ˜Όπ™‰π˜Ό π™”π˜Ό 𝙏 π™‰π˜Ό 𝙍 𝙆𝙒𝙀𝙉𝙔𝙀 π˜Όπ™‡π˜Όπ™ˆπ˜Ό π™•π˜Ό π˜½π˜Όπ™π˜Όπ˜½π˜Όπ™π˜Όπ™‰π™„

🧡UZI πŸ‘‡πŸΏ

𝙉𝙄𝙉𝙄 π™ˆπ˜Όπ˜Όπ™‰π˜Ό π™”π˜Ό 𝙏 π™‰π˜Ό 𝙍 𝙆𝙒𝙀𝙉𝙔𝙀 π˜Όπ™‡π˜Όπ™ˆπ˜Ό π™•π˜Ό  π˜½π˜Όπ™π˜Όπ˜½π˜Όπ™π˜Όπ™‰π™„
Road Safety Ambassadors of Tanzania (@rsatza) 's Twitter Profile Photo

Mvua kubwa inayonyesha nchini imesababisha kujatika kwa mawasiliano ya barabara kati ya Mkoa wa Pwani na Lindi. Wasafiri wanalazimika kutumia njia ya Dar -Lindi wanalazimika kutumia njia ya Dar-Iringa-Makambako-Songea-Mnazi mmoja kufika mukoa ta kusini. Tanzania Bound Buses TAWLA

SAMIA APP (@samia_app) 's Twitter Profile Photo

MTANDAO WA BARABARA UMEONGEZWA Serikali imeongeza mtandao wa barabara unaohudumiwa na TARURA kutoka kilometa 108,946 mwaka 2020 hadi kufikia kilometa 143,881 mwaka 2025 katika Mamlaka za Serikali za Mitaa ili kuwezesha maeneo mengi ya vijijini kufikika kwa urahisi. Mtandao wa

MTANDAO WA BARABARA UMEONGEZWA 

Serikali imeongeza mtandao wa barabara unaohudumiwa na TARURA kutoka kilometa 108,946 mwaka 2020 hadi kufikia kilometa 143,881 mwaka 2025 katika Mamlaka za Serikali za Mitaa ili kuwezesha maeneo mengi ya vijijini kufikika kwa urahisi.

Mtandao wa
Road Safety Ambassadors of Tanzania (@rsatza) 's Twitter Profile Photo

Mara nyingi tumeshuhudia ajali zinazosababishwa mitambo ya kilimo na ujenzi nyakati za usiku. Ni wakati muafaka sasa kwa Police Force TZ mkoani Iringa, Njombe na Mbeya kuhakikisha barabaea zetu zinakuwa salama hasa msimu wa kilimo. Samia Suluhu Azam TV Mwananchi Newspapers miundombinunauchukuzi