Kadogo551 (@kadogo551) 's Twitter Profile
Kadogo551

@kadogo551

ID: 1412625587571732481

calendar_today07-07-2021 04:13:02

5,5K Tweet

275 Followers

246 Following

GreaterThinker💎 (@hopequotes__) 's Twitter Profile Photo

Inaumiza sanaaa, Kumkabidhi Mtawala mjinga Nchi ni Mtihani Sanaa.. Maana kila Jambo kwake ni Kutumia DOLA ndio anaona ni Suluhisho... Nb; Kwa unae ona kua hili halikuhusu Muda ukifika Utaguswa tu.. Ulijua kua kuna siku PolePole ataishi kwa Kujificha.?

MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 (@davitheempire) 's Twitter Profile Photo

It's too late mzee hio tabia imeota mzizi ndio mnakenua meno leo baada ya wstu zaidi ya 300 kupotea na kutekwa, ACHENI drama warudisheni watu wetu au tuonesheni makaburi yao🚮🚮🚮🚮

Rose Mayemba (@rose_mayemba) 's Twitter Profile Photo

Kuna idadi kubwa ya vijana walioko Facebook, Instagram na Tik tok, hasa wale wanaokosoa utawala wa Samia wanatekwa na kupotezwa kila siku. Kuua, kuteka na kupoteza kwa sababu ya Madaraka umekuwa ni utamaduni unaotaka kukithiri sasa. Tunatoa wito kwa wauaji na watekaji, acheni

Kuna idadi kubwa ya vijana walioko Facebook, Instagram na Tik tok, hasa wale wanaokosoa utawala wa Samia wanatekwa na kupotezwa kila siku.
Kuua, kuteka na kupoteza kwa sababu ya Madaraka umekuwa ni utamaduni unaotaka kukithiri sasa.

Tunatoa wito kwa wauaji na watekaji, acheni
Patrick Ole Sosopi (@patricolesosopi) 's Twitter Profile Photo

“Mhe. Tundu Lissu amepigwa risasi 38 amezunguka amepona, leo hii amepewa kesi ya uhaini sababu nikuzungumzia mabadiliko ni haki yake na mabadiliko hayaepukiki” Mhe. Eng. James Mbatia, NCCR MAGEUZI.

Jack (@jacklyn_gg) 's Twitter Profile Photo

Jasusi la Quba limetoa wiki moja kwa Ccm kurudia mchakato wa kumpata mgombea urais vinginevyo anakuja kutupa habar nyet Watanzania, wasira anahusika hapa. Mwaka huu ccm mtatema ndoano

John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Mahakama za Tanzania!!!! Kesi kubwa hii, zama za teknolojia hizi, mnataka kuendesha kesi yenye hukumu ya kunyonga kwa kuficha mashahidi!!!!! How? Kama mtu atakua kizimbani kutoa ushahidi akiwa na computer, simu au amendikiwa au hata AI inaongea nani atamuona!!! Jambo mmoja kwa

Mahakama za Tanzania!!!!

Kesi kubwa hii, zama za teknolojia hizi, mnataka kuendesha kesi yenye hukumu ya kunyonga kwa kuficha mashahidi!!!!! How?

Kama mtu atakua kizimbani kutoa ushahidi akiwa na computer, simu au amendikiwa au hata AI inaongea nani atamuona!!!

Jambo mmoja kwa
Tito Magoti (@titomagoti) 's Twitter Profile Photo

Freeman, Mwalimu & Mafwele hawawezi kuwa mashahidi wa siri. Hata Samia mwenyewe. Wote wanatakiwa kutoa ushahidi hadharani kila mtu ajue Lissu alifanyaje uhaini. Lissu hatafungwa kwa shuhuda za watu waoga, waovu, washenzi. Tunajua hamkuwa tayari kwa siasa za umma. Tuvumiliane.

MwanzoTvPlus (@mwanzotvplus) 's Twitter Profile Photo

#TANZANIA: BALAA! MWANAMKE AZUILIWA KWA TUHUMA ZA WIZI WA MTOTO Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Lyidia Lameck (30) mkazi wa Kijiji cha Lwamgasa mkoani Geita anashikiliwa na jeshi la kwa tuhuma za kumuiba mtoto wa miezi sita. ZAIDI: youtu.be/oa3oyMw_j9c

Liberatus Mwang'ombe (@liberatus80) 's Twitter Profile Photo

Angewapeleka kwa msajili kama alivyo fanya yule bwana wa akidi ili tuone namna ambavyo msajili anapata kigugumizi kwenye clear violation.

MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 (@davitheempire) 's Twitter Profile Photo

MMEMKAMATA kwa NGUVU akiwa kwenye shughuli zake za SIASA MKAMTANGAZA Kote DUNIANI kwamba mnamshikilia kwa UHAINI DUNIA imekataa LISSU sio MHAINI Kwanini MASHAHIDI wenu wafichwe WAAMBIENI wawe HURU kitu tunawahakikishieni ni kuwa LISSU hawezi kunyongwa kilahisi hivyo

MMEMKAMATA kwa NGUVU akiwa kwenye shughuli zake za SIASA

MKAMTANGAZA Kote DUNIANI kwamba mnamshikilia kwa UHAINI 

DUNIA imekataa LISSU sio MHAINI

Kwanini MASHAHIDI wenu wafichwe WAAMBIENI wawe HURU kitu tunawahakikishieni ni kuwa LISSU hawezi kunyongwa kilahisi hivyo
Joel Msuya (@joelymsuya) 's Twitter Profile Photo

Uzuri ni kwamba Tundu Antiphas Lissu alishasema kuwa hayuko tayari na hatakubali kuendesha kesi GIZANI kwa mashihidi wa siri waliofichwa. Haki ni lazima itendeke na ionekane kweli inatendeka. Kwanini mashahidi wafichwe? Kwanini ushahidi utolewe sirini? #JusticeForLissu

Kadogo551 (@kadogo551) 's Twitter Profile Photo

Maria Sarungi Tsehai Watu wa idara ya usalama wa Taifa ndio hao wamegeuka kuwa watekaji wanatuteka na kutufira na ulawiti juu kwa ujumla usalama wa Taifa ni wasodomanize cha msingi hapa ni ccm itolewe na iishie kuzimu

Kadogo551 (@kadogo551) 's Twitter Profile Photo

Maria Sarungi Tsehai Jamani jueni kwamba Samia ndo anawatuma wafiraji , walawiti na watekaji kufanya hayo yote musitegemee Samia kukemea nchi imetekwa na hao ni waheshimiwa wahuni

Kadogo551 (@kadogo551) 's Twitter Profile Photo

Godbless E.J. Lema adelid Kwani wewe Lema unaogopa kusema ukweli kwamba wanaficha nyuso zao kwa ninja ? Hapo sio kulindwa wajue tu kwamba wavae maninja ama wasivae tunawajua na Mungu anawajua kuliko kitu chochote nawahakikishia kuna siku hawa watu wataomba mbegu walizopanda zisiote lakini zitapta

Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) 's Twitter Profile Photo

Hello Masele. Nafikiri utakumbuka , kuna siku nilikutana na wewe ktk moja ya Coffee Shop Dsm , tulibishana kuhusu umuhimu wa reforms ktk uchaguzi mkuu. Bahati mbaya haukunielewa hata kidogo. Lakini angalau ulilipa kahawa. Nilikuambia mabadiliko makubwa ya uchaguzi ktk Nchi

Hello Masele. Nafikiri utakumbuka , kuna siku nilikutana na wewe ktk moja ya Coffee Shop Dsm , tulibishana kuhusu umuhimu wa reforms ktk uchaguzi mkuu. Bahati mbaya haukunielewa hata kidogo. Lakini angalau ulilipa kahawa. Nilikuambia mabadiliko makubwa ya uchaguzi ktk Nchi
Kadogo551 (@kadogo551) 's Twitter Profile Photo

millardayo “Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu; Lakini mwisho wake ni njia za mauti.” Mit 16:25 SUV bible.com/bible/164/pro.…

Think Different (@lifeofmshaba) 's Twitter Profile Photo

Leo naona hii ngoma ime trend wadau wanaweka caption , Prof Janabi ambaye alitegemewa sana na Jiwe amuokolee maisha Jana, Rostam anasema Polepole ni mvamizi ndani ya CCM Mnakumbuka Hesabu za Find X au hesabu za Set interception ya Polepole kuwa kiongozi wa CCM ni kuteuliwa na

Leo naona hii ngoma ime trend

wadau wanaweka caption , Prof Janabi ambaye alitegemewa sana na Jiwe amuokolee maisha

Jana, Rostam anasema Polepole ni mvamizi ndani ya CCM

Mnakumbuka Hesabu za Find X au hesabu za Set

interception ya Polepole kuwa kiongozi wa CCM ni kuteuliwa na