John Mwende (@johnmende_) 's Twitter Profile
John Mwende

@johnmende_

✌️ Secretary @chadematz Kinondoni District

✌️ Kinondoni Councilor Candidate - 2020

🇹🇿 Government Certified Consultant

🌍 Former Marketing TV1

#KatibaMpya

ID: 2746219240

linkhttps://instagram.com/johnhmwende?igshid=ZGUzMzM3NWJiOQ== calendar_today18-08-2014 09:57:04

1,1K Tweet

271 Followers

136 Following

Mchokozi !! (@olemtetezi) 's Twitter Profile Photo

Appreciation tweet kwa Wakili Martha Karua Kutoka Kenya Leo Yupo Tanzania Kwenye Kesi Ya Uhaini Ya Tundu Lissu Juzi Alikuwepo Kama Wakili Kwenye Kesi Ya Kiongozi Wa Upinzani Uganda Kiiza Besigye Martha Alishawai Kuwa Mbunge, Waziri Wa Sheria Na Mgombea Mwenza Wa Urais Kenya

Appreciation tweet kwa Wakili Martha Karua Kutoka Kenya

Leo Yupo Tanzania Kwenye Kesi Ya Uhaini Ya Tundu Lissu

Juzi Alikuwepo Kama Wakili Kwenye Kesi Ya Kiongozi Wa Upinzani Uganda Kiiza Besigye

Martha Alishawai Kuwa Mbunge, Waziri Wa Sheria Na Mgombea Mwenza Wa Urais Kenya
Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Dkt. Benson Bagonza, ametikisa mitandao ya kijamii baada ya kuandika ujumbe wenye tafakari nzito kuhusu namna kesi ya uhaini inavyoshughulikiwa nchini. Kupitia ujumbe wake wenye kichwa kinachosema

Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Dkt. Benson Bagonza, ametikisa mitandao ya kijamii baada ya kuandika ujumbe wenye tafakari nzito kuhusu namna kesi ya uhaini inavyoshughulikiwa nchini.

Kupitia ujumbe wake wenye kichwa kinachosema
Shekh Ponda Issa Ponda (@sheikhponda) 's Twitter Profile Photo

MASHEIKH WALIOKAA GEREZANI MIAKA 9 wamehukumiwa kunyongwa leo. Utawala wa Magufuli uliwapa kesi ya Ugaidi. Utawala wa Samia sasa kuwanyonga. Walio hukumiwa ni Sh. Mohammed Hassan na Sh. Rajab Ali. Sh. Kurwa Othman ameachiwa huru. MASHEIKH wengine bado wanasota jela.

MASHEIKH WALIOKAA GEREZANI MIAKA 9 wamehukumiwa kunyongwa leo. Utawala wa Magufuli uliwapa kesi ya Ugaidi. Utawala wa Samia sasa kuwanyonga. Walio hukumiwa ni Sh. Mohammed Hassan na Sh. Rajab Ali. 
Sh. Kurwa Othman ameachiwa huru. 
MASHEIKH wengine bado wanasota jela.
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

🚨‼️MORE VIDEO EVIDENCE OF POLICE BRUTALITY FRAME BY FRAME - 24 APRIL KISUTU‼️🚨 Nyie Police Force TZ mwambieni Muliro ajipange na nyie mjipange! Hapa mnaonekana wazi mlivyompiga na kuumiza raia na kumfungulia mbwa Mwingine ni huyo kwenye pick up alikuwa anahangaika kushuka Na ligari

Joel Msuya (@joelymsuya) 's Twitter Profile Photo

Ni vyema polisi wakawa wakweli na kweli ikawaweka huru. Huyu ni moja wa mashuhuda ambaye anasema polisi kutoka makao makuu ya MBEYA siku chache zilizopita walimuomba awaeleze anapoishi Mdude Nyagali. Hivi kama taifa ni jamii ya namna gani inajengwa?

Boniface Jacob (@exmayorubungo) 's Twitter Profile Photo

Nchini Kenya kupitia Bunge la 12 mwaka 2021 lilifanya uchunguzi kuhusu tuhuma za vyombo vya dola kuhusika katika Kuteka,Kupoteza na Kuua raia. Kamati ya Bunge ya Katiba,Sheria na Haki za Binadamu chini ya Mwenyekiti wake Seneta Eric Okong'o walihoji baadhi ya watuhumiwa ndani

Nchini Kenya kupitia  Bunge la 12 mwaka 2021 lilifanya uchunguzi kuhusu tuhuma za vyombo vya dola kuhusika katika Kuteka,Kupoteza na Kuua raia.

Kamati ya Bunge ya Katiba,Sheria na Haki za Binadamu chini ya Mwenyekiti wake Seneta  Eric Okong'o walihoji baadhi ya watuhumiwa ndani
Boniface Jacob (@exmayorubungo) 's Twitter Profile Photo

Siasa na harakati imekuwa kazi ya hatari sana kwa wapinzani na wakosoaji serikali za Africa. Muda wowote ndugu zako wanaweza Kukutafuta wasikuone milele au wakaletewa mwili wauzike. Wapinzani wamekuwa wanawindwa roho zao kama majambazi,ukatili umekuwa ni malipo yao.

Adv. Dickson Matata (@advmatata) 's Twitter Profile Photo

Kwa watanzania wataotaka kufuatilia mjadala bunge la Ulaya juu ya kesi ya Tundu Lissu tarehe 7/5/2025 na maamuzi ya kura yatakofanyika tarehe 8/7/2025, tunza link hii ili siku hiyo uweze kufatilia moja kwa moja "live". oeil.secure.europarl.europa.eu/oeil/en/proced…

Kwa watanzania wataotaka kufuatilia mjadala bunge la Ulaya juu ya kesi ya Tundu Lissu tarehe 7/5/2025 na maamuzi ya kura yatakofanyika tarehe 8/7/2025, tunza link hii  ili siku hiyo uweze kufatilia moja kwa moja "live". oeil.secure.europarl.europa.eu/oeil/en/proced…
John Mwende (@johnmende_) 's Twitter Profile Photo

MENE, MENE, TEKELI, NA PERESI Haki huinua taifa, ; Bali dhambi ni aibu ya watu wo wote. "Wameyataka watayapata" "NO REFORMS NO ELECTION " #freetundulissu #tundulisusiomhaini

MENE, MENE, TEKELI, NA PERESI
Haki huinua taifa, ; Bali dhambi ni aibu ya watu wo wote.
"Wameyataka watayapata" 
"NO REFORMS NO ELECTION "
#freetundulissu 
#tundulisusiomhaini
Grounders_Grounders (@grounders_) 's Twitter Profile Photo

Yupo wapi DEUSDEDITH SOKA? Yupo wapi SHADRACK CHAULA? Yupo wapi MDUDE NYAGALI? Yupo wapi DIONIZ KIPANYA? Yupo wapi MANENGELO? Kama taifa tupaswa kuendelea kuwadai hawa Watanzania wenzetu waliotekwa. Pia tunapaswa kukemea sana. Asante Maria Sarungi Tsehai kwa kuendelea kukemea huu uovu.

Yericko Nyerere (@yerickonyereret) 's Twitter Profile Photo

Vijana mnaojifunza siasa nawashauri someni kitabu hiki, Kitakutoa sehemu uliyopo na kukufanya kuwa mwanasiasa sio mwanaharakati uchwara

Vijana mnaojifunza siasa nawashauri someni kitabu hiki, Kitakutoa sehemu uliyopo na kukufanya kuwa mwanasiasa sio mwanaharakati uchwara
John Mwende (@johnmende_) 's Twitter Profile Photo

🇹🇿 NO REFORMS, NO ELECTION! ✊🏽 Tumechoka na maigizo ya uchaguzi! Hatutashiriki tena katika uchaguzi wa kidikteta usio na mabadiliko ya kweli. Kura zetu si mapambo, ni sauti zetu na hatutaki zinyamazishwe kwa ujanja. Bila mabadiliko, hakuna uchaguzi! #NoReformsNoElection

🇹🇿 NO REFORMS, NO ELECTION! ✊🏽
Tumechoka na maigizo ya uchaguzi!
Hatutashiriki tena katika uchaguzi wa kidikteta usio na mabadiliko ya kweli.
Kura zetu si mapambo, ni sauti zetu na hatutaki zinyamazishwe kwa ujanja.
Bila mabadiliko, hakuna uchaguzi!

#NoReformsNoElection
John Mwende (@johnmende_) 's Twitter Profile Photo

"Katika taifa linalotaka mabadiliko, hatutakubali ukimya! No Reforms, No Election ✊🏾 Taifa kwanza, siyo maslahi binafsi!" #NoReformsNoElection

"Katika taifa linalotaka mabadiliko, hatutakubali ukimya! No Reforms, No Election ✊🏾 Taifa kwanza, siyo maslahi binafsi!"

#NoReformsNoElection