
Joel Msuya
@joelymsuya
Mjumbe wa Baraza Kuu CHADEMA taifa || Katibu wa BAVICHA mkoa wa ILALA || Activist & Human Right Defender || Politician || Raisi wa Tanzania 2055
ID: 1535982231424057344
12-06-2022 13:48:12
122,122K Tweet
10,10K Takipçi
1,1K Takip Edilen

Ni vyema polisi wakawa wakweli na kweli ikawaweka huru. Huyu ni moja wa mashuhuda ambaye anasema polisi kutoka makao makuu ya MBEYA siku chache zilizopita walimuomba awaeleze anapoishi Mdude Nyagali. Hivi kama taifa ni jamii ya namna gani inajengwa?