Ado Shaibu(@AdoShaibu) 's Twitter Profileg
Ado Shaibu

@AdoShaibu

Secretary General, Alliance for Change & Transparency (ACT Wazalendo)

ID:594493764

linkhttps://www.actwazalendo.or.tz/ calendar_today30-05-2012 08:10:05

24,6K Tweets

62,3K Followers

1,3K Following

Nipashe Tanzania(@Nipashetz) 's Twitter Profile Photo

(๐ˆ๐ฆ๐ž๐š๐ง๐๐ข๐ค๐ฐ๐š ๐๐š ๐Œ๐ฐ๐š๐ง๐๐ข๐ฌ๐ก๐ข ๐–๐ž๐ญ๐ฎ, ๐“๐€๐๐†๐€)
Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake ACT-Wazalendo Taifa, Janeth Rithe, amesema kuwa tabia ya Makonda ya kuwadhalilisha wanawake imekuwa ikijirudia na inakuzwa na kulindwa na viongozi wa juu wa Chama Cha Mapinduzi

(๐ˆ๐ฆ๐ž๐š๐ง๐๐ข๐ค๐ฐ๐š ๐๐š ๐Œ๐ฐ๐š๐ง๐๐ข๐ฌ๐ก๐ข ๐–๐ž๐ญ๐ฎ, ๐“๐€๐๐†๐€) Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake ACT-Wazalendo Taifa, Janeth Rithe, amesema kuwa tabia ya Makonda ya kuwadhalilisha wanawake imekuwa ikijirudia na inakuzwa na kulindwa na viongozi wa juu wa Chama Cha Mapinduzi
account_circle
Isihaka Mchinjita(@MchinjitaIR) 's Twitter Profile Photo

๐Ÿ“Tanga

'Ili tuwe salama tunahitaji wanawake majasiri waingie katika vyombo vya maamuzi waweze kupambana kwa ajili ya maslahi ya Taifa.'

Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake Taifa
Janeth Rithe

account_circle
ACTWazalendo(@ACTwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake Taifa, Ndugu Janeth Rithe amelaani kitendo cha Mkuu Mkoa wa Arusha kumdhalilisha mtumishi mwanamke. Akizungumza Jijini Tanga, Ndugu Janet amemtaka Rais Samia Suluhu kumchukulia hatua Paul Makonda.

account_circle
Selemani Misango(@SelemaniMisango) 's Twitter Profile Photo

Ni jambo jema ndugu wakikaa pamoja kwa upendo na amani.
Karibu tena ndugu yangu Boniface Jacob utakapopokea Mwaliko wetu .
Binafsi ni furaha yangu kuona maslahi ya Taifa letu yakituleta pamoja.
Tuendeleze utamaduni huu.

Ni jambo jema ndugu wakikaa pamoja kwa upendo na amani. Karibu tena ndugu yangu @ExMayorUbungo utakapopokea Mwaliko wetu . Binafsi ni furaha yangu kuona maslahi ya Taifa letu yakituleta pamoja. Tuendeleze utamaduni huu.
account_circle
Ruqayya Mahmoud Nassir(@RuqayyaNassir) 's Twitter Profile Photo

Kwa moyo wa shukrani isiyo elezeka nawashukuru sana wote mlio hudhuria mkutano huu leo bila kujali itikadi za vyama vyetu. Umekua wakati mzuri sote kama vijana kujadiliana maswala mbalimbali yanayotukumba kwenye chaguzi.
Msisite kuja wakati mwingine. Asanteni sana.

Kwa moyo wa shukrani isiyo elezeka nawashukuru sana wote mlio hudhuria mkutano huu leo bila kujali itikadi za vyama vyetu. Umekua wakati mzuri sote kama vijana kujadiliana maswala mbalimbali yanayotukumba kwenye chaguzi. Msisite kuja wakati mwingine. Asanteni sana.
account_circle
ACTWazalendo(@ACTwazalendo) 's Twitter Profile Photo

UZI

Matukio na Picha za MDAHALO WA VIJANA ULIONDALIWA NA Ngome ya vijana_Official wa ACTWazalendo.

Picha ya kushoto. Kijana wa kutoka UVCCM, Suphian Juma Nkuwi akisalimiana na Kiongozi Mstaafu wa ACT Wazalendo.

Picha ya kulia
Meya Mstaafu wa Ubungo, Mheshimiwa Boniface Jacob akiwa tayari

UZI Matukio na Picha za MDAHALO WA VIJANA ULIONDALIWA NA @NgomeyaVijana wa @ACTwazalendo. Picha ya kushoto. Kijana wa kutoka UVCCM, @SuphianJuma akisalimiana na Kiongozi Mstaafu wa ACT Wazalendo. Picha ya kulia Meya Mstaafu wa Ubungo, Mheshimiwa @ExMayorUbungo akiwa tayari
account_circle
Oscar kambona(@OscarKa87335767) 's Twitter Profile Photo

Sisi hao kesho tupo live. Nchi itasimama, vijana tutajumuika kujadili mazingira ya uchaguzi wa serikali za mitaa kama kweli yanatoa fulsa nzuri na mazingira kwa vijana kushiriki
Ado Shaibu
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe
Boniface Jacob
Ngome ya vijana_Official
Abdul-Aziz Carter

account_circle
Ado Shaibu(@AdoShaibu) 's Twitter Profile Photo

Makamu Mwenyekiti Bara Ndugu Isihaka Mchinjita atakuwa mgeni rasmi katika Mkutano wa hadhara ulioandaliwa na uongozi wa ACTWazalendo Jimbo la Tanga Mjini unaotarajiwa kufanyika tarehe 25 Mei 2024.

Makamu Mwenyekiti Bara Ndugu @MchinjitaIR atakuwa mgeni rasmi katika Mkutano wa hadhara ulioandaliwa na uongozi wa @ACTwazalendo Jimbo la Tanga Mjini unaotarajiwa kufanyika tarehe 25 Mei 2024. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
account_circle
Nipashe Tanzania(@Nipashetz) 's Twitter Profile Photo

(๐ˆ๐ฆ๐ž๐š๐ง๐๐ข๐ค๐ฐ๐š ๐๐š ๐‘๐š๐ก๐ฆ๐š ๐’๐ฎ๐ฅ๐ž๐ข๐ฆ๐š๐ง, ๐™๐€๐๐™๐ˆ๐๐€๐‘)
CHAMA cha ACT-Wazalendo kimesema miradi mingi ya ujenzi Zanzibar ina kasoro, hata kuibua hoja ya uadilifu wa wanaosimamia utekelezaji wake.ippmedia.com/nipashe/biashaโ€ฆ

(๐ˆ๐ฆ๐ž๐š๐ง๐๐ข๐ค๐ฐ๐š ๐๐š ๐‘๐š๐ก๐ฆ๐š ๐’๐ฎ๐ฅ๐ž๐ข๐ฆ๐š๐ง, ๐™๐€๐๐™๐ˆ๐๐€๐‘) CHAMA cha ACT-Wazalendo kimesema miradi mingi ya ujenzi Zanzibar ina kasoro, hata kuibua hoja ya uadilifu wa wanaosimamia utekelezaji wake.ippmedia.com/nipashe/biashaโ€ฆ
account_circle
Jambo TV(@Jambotv_) 's Twitter Profile Photo

VIDEO:

Mjumbe wa kamati kuu Chama cha ACT Wazalendo Mansour Yussuf Himid amesema kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 chama hicho kimedhamiria kupata ushindi mkubwa zaidi ili kukimaliza Chama tawala.

Mansour ameyasema hayo Jumapili Mei 19, 2024 wakati akizungumza na viongozi na

account_circle
Ayker-Adila(@AykerP) 's Twitter Profile Photo

Vijana Mpooooo ,
Katika harakati za kuhakikisha tunarudisha wale wasomi wenye kuhoji, wasomi wenye kuhakikisha tunaiendea Tanzania tuitakayo Ngome ya vijana_Official tumekuandalia mdahalo kabambe tujadiliane /5
Tell a friend, HII HAINA ITIKADI YA CHAMA, KARIBUNI ๐Ÿ˜˜

account_circle
Ntakije Ntanena(@ntakije_iddy) 's Twitter Profile Photo

Mlezi wa Mkoa wa Kilimanjaro, Ndugu Rachel Kimambo leo tarehe 19/05/2024 amekutana na wenyeviti na makatibu wa majimbo ya Mkoa huo kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za mitaa, vijiji na vitongoji unaotarajiwa kufanyika mwaka huu.

Mlezi wa Mkoa wa Kilimanjaro, Ndugu @RachelKimambo leo tarehe 19/05/2024 amekutana na wenyeviti na makatibu wa majimbo ya Mkoa huo kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za mitaa, vijiji na vitongoji unaotarajiwa kufanyika mwaka huu. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
account_circle
Ntakije iddy Mayeye ntanena(@IddyNtanena) 's Twitter Profile Photo

Mlezi wa Mkoa wa Kilimanjaro, Ndugu Rachel Kimambo leo tarehe 19/05/2024 amekutana na wenyeviti na makatibu wa majimbo ya Mkoa huo kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za mitaa, vijiji na vitongoji unaotarajiwa kufanyika mwaka huu.

Mlezi wa Mkoa wa Kilimanjaro, Ndugu @RachelKimambo leo tarehe 19/05/2024 amekutana na wenyeviti na makatibu wa majimbo ya Mkoa huo kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za mitaa, vijiji na vitongoji unaotarajiwa kufanyika mwaka huu. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
account_circle
ACTWazalendo(@ACTwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Mlezi wa Mkoa wa Kilimanjaro, Ndugu Rachel Kimambo leo tarehe 19/05/2024 amekutana na wenyeviti na makatibu wa majimbo ya Mkoa huo kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za mitaa, vijiji na vitongoji unaotarajiwa kufanyika mwaka huu.

Mlezi wa Mkoa wa Kilimanjaro, Ndugu @RachelKimambo leo tarehe 19/05/2024 amekutana na wenyeviti na makatibu wa majimbo ya Mkoa huo kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za mitaa, vijiji na vitongoji unaotarajiwa kufanyika mwaka huu. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
account_circle