Selemani Misango
@SelemaniMisango
Mwanachama na Mjumbe wa Kamati Kuu ACT Wazalendo.
•Waziri Kivuli wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi.
•Makamu Mwenyekiti mstaafu Ngome ya vijana Taifa.
ID:1277293243
http://www.actwazalendo.or.tz 18-03-2013 09:36:31
6,3K Tweets
2,1K Followers
446 Following
Aprili 20, 2024 Chama cha ACTWazalendo kitafanya Uchambuzi wa Ripoti ya #CAG .
Mahala: Jengo la Maalim Seif
Ukumbi: Hakainde Hichilema
Muda: Saa 5:00 Asubuhi
#TaifaLaWote
#MaslahiYaWote
Aprili 22-24, 2024 Maadhimisho ya miaka 10 ya ACTWazalendo yatatupeleka #Rufiji kuwafariji waathirika wa mafuriko.
#MoyowetuRufiji
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili
Maadhimisho ya miaka 10 ACTWazalendo; yatatanguliwa na Kongamano la Vijana litakalofanyika Zanzibar Aprili 21, 2024.
#TwenzetuZanzibar
#10MamlakaKamili
#10MamlakaKamili
Aprili 20, 2024 Chama cha ACTWazalendo kitafanya uchambuzi wa ripoti wa CAG.
Mahala: Jengo la Maalim Seif Magomeni
Ukumbi: Hakainde Hichilema
Muda: 5:00 Asubuhi
Kuelekea maaadhimisho ya miaka 10 ya ACTWazalendo kitaifa yatafanyika Mkoani Kigoma.
Tunakupa sababu za kwanini utuamini na kujiunga na sisi.
Karibuni ACT Wazalendo tujenge pamoja Taifa la wote kwa Maslahi ya wote.
#TwenzetuKigoma
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili
Maadhimisho ya miaka 10 ya ACTWazalendo kitaifa yatafanyika Mkoani Kigoma.
Mgeni rasmi atakuwa Mwenyekiti wa Chama Taifa, Ndugu Othman Masoud Othman.
#TwenzetuKigoma
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili
Kwa dhati kabisa napenda kumshukuru na kumpongeza Ndg.Zitto MwamiRuyagwa Kabwe kwa kazi kubwa aliyoifanya ya kukijenga chama hiki kwa kipindi chote alichokuwa KC.
Leo sisi ni chama kilicho tayari kuongoza serikali.
Tumeenea nchi nzima.
#TwenzetuKigoma
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili
Dakika 2:20 za Mwami Ruyagwa Zitto MwamiRuyagwa Kabwe ndani ya ZBC juu ya wito wa ACT Wazalendo kwa Tume ya sasa iliyopo ya Uchaguzi na Sheria Mpya ya Tume Huru ya Uchaguzi
Sikiliza 👇
Safari ya miaka 10 ya ACT Wazalendo imekuwa ya Baraka sana kwani imenikutanisha na Dada zangu hawa shangwe Ayo na Ester Thomas . Tumekuwa zaidi ya marafiki na sasa ni Ndugu tunapambana pamoja kwa ushirikiano wa hali ya juu.
ACT Wazalendo ni raha na furaha.
Miaka 10 ya ACT Wazalendo imekuwa ya kuhubiri demokrasia kwa Vitendo kuliko chama chochote Cha upinzani. Viongozi wanawajibika kwa Vitendo kwa kuheshimu Katiba na tumeona KC,Zitto MwamiRuyagwa Kabwe baada ya kumaliza muda wake kikatiba amestaafu na kukabidhi kijiti kwa Mama yetu Dorothy Semu
Safari ya miaka 10 ya ACT Wazalendo imeendelea kuwavutia Vijana wa Kike na kundi la Wanawake kwa ujumla kuweza kujiunga na Chama na kushiriki safari ya kushinda dola na kuongoza Nchi. Ester Thomas ni Moja ya Vijana Wasomi wa level ya Master degree na mwenye uwezo mkubwa.
#10YearsOfAACTWazalendo
Ni fahari kubwa sana kwangu kuendelea kuwa sehemu ya safari ya ujenzi wa chama Cha ACT Wazalendo chenye maono ya kisera makubwa ya kulikomboa Taifa na kuwainua walala hoi. Miaka 10 ya ACT Wazalendo imekuwa yenye kutujengea uwezo Vijana
Aprili 22-24, 2024 Maadhimisho ya miaka 10 ACTWazalendo yatatupeleka Rufiji kuwafariji waathirika wa mafuriko.
#MoyowetuRufiji
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili