khalifa said #PALESTINE ๐ต๐ธ โญ๐น
@ThatBoyKhalifax
Writer and editor at @TheChanzo | Politics & Social Justice | Formerly at @TheCitizenTZ | Socialist | Rap | Anti-imperialist | Views are my own, not anyoneโs.
ID:2411012800
https://thechanzo.com 14-03-2014 20:17:06
90,7K Tweets
53,2K Followers
1,6K Following
Muungano huu ni mamlaka ya wananchi, ikiwa wananchi wenyewe wataamua kuhusu Muungano huu basi yatakuwa ni maammuzi yao. Togolani Mavura The Chanzo
Ni kwanini kwenye muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Tanganyika ilikufa na kubadilika kuwa Tanzania lakini Zanzibar ilibaki?' Unadhani nini ilikuwa ni nia ya muungano wa aina hii.
The Chanzo x Salim Ahmed Salim Digital Archive
Mjadala ulikuwa mzuri sana kaka Thomas J. Kibwana Shukrani kwa speakers fatma karume aka Shangazi Togolani Mavura Aidan Eyakuze ๐๐พ๐๐พ๐๐พ na waandaaji The Chanzo
kupitia X Spaces leo 26 april 2024 The Chanzo wanatusogezea mjadala mkubwa na muhimu unaohusu Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
Kuna mengi sana ya kuujadili juu ya muungano huu! fatma karume aka Shangazi Aidan Eyakuze Balozi Mhe Togolani Mavura na Thomas Kibwana watakuwepo. USIKOSE.
โHata tungelikuwa na aina nyingine ya Muungano si wote wataridhika; hata ulete serikali moja au zaidi wapo ambao hawataridhika,โ - Balozi Togolani Mavura
#MjadalaMuungano
The Chanzo
Salim Ahmed Salim Digital Archive
Ulikuwa mjadala mzuri sana. Asanteni Togolani Mavura Aidan Eyakuze fatma karume aka Shangazi The Chanzo Thomas J. Kibwana . Tumejifunza mengi sana.
Si Watanzania wengi wana changamoto na muungano, na pia si Watanzania wengi wana changamoto na muundo wa Muungano.mhe Togolani Mavura The Chanzo
Salim Ahmed Salim Digital Archive (Salim Ahmed Salim Digital Archive ) na The Chanzo kwa upekee kabisa tunawashukuru sana Aidan Eyakuze Togolani Mavura fatma karume aka Shangazi na Thomas J. Kibwana wazungumzaji wetu katika Mjadala wa Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Sambamba na hilo, tunawashukuruโฆ