1/2
Uchambuzi wa ACTWazalendo kuhusu mpango wa bajeti wa Wizara ya katiba na sheria kwa mwaka wa fedha 2024/25.
#TaifaLaWote #MaslahiYaWote
Picha: Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti Bara wa Chama cha ACT Wazalendo Ndugu Isihaka Mchinjita yaliyofanyika Lindi Mjini. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
Moshi To Dar es Salaam, With My Real brother Wiston Andrew Mogha #TeamKeshoNyingi
#Miaka10yaActWazalendo
#TaifalaWote #MaslahiYaWote
Aliyekuwa Mgombea Udiwani (2020) Kata ya Mletele Jimbo la Songea ambaye pia alikuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wa Kata hiyo amejiunga na ACT Wazalendo na kupokelewa na Katibu Mkuu Ndg. Ado Shaibu. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti Bara wa Chama cha ACT Wazalendo, Isihaka Mchinjita yaliyofanyika Lindi Mjini. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
πBariadi- SIMIYU
Kikao cha kamati ya uongozi mkoa wa SIMIYU kilichoketi Jana, 20 Aprili 2024 kufanya tathimini ya maadhimisho ya miaka kumi ya ACTWazalendo na kuweka mipango mikakati kuelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa.
ACTWazalendo
#TaifaLaWote
#MaslahiYaWote
Kesho ndio siku tutamkaribisha kabisa Ndugu Tundu Antiphas Lissu kwenye Chama ACTWazalendo
Atasajiliwa kwa mfumo wa #ACT Kiganjani na Ndugu Zitto MwamiRuyagwa Kabwe Baada ya mahojiano kuisha..
Najivunia kuwa mwanachama wa #ACT
#NECijiuzulu #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
Kiongozi wa Chama Mstaafu, Ndugu Zitto MwamiRuyagwa Kabwe kesho asubuhi atakuwa kwenye kipindi cha Power Breakfast cha Clouds fm.
Usiwache kufuatilia.
ACTWazalendo
#NECijiuzulu #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
Hii ndio nembo mpya ya chama chetu ACTWazalendo. Imezinduliwa rasmi na Kiongozi wa Chama Ndg. Dorothy Semu leo katika Mkutano Mkuu wa Kidemokrasia uliofanyika Moshi Kilimanjaro. Itaanza kutumika rasmi siku ya kuzaliwa Chama, yaani tarehe 05/05/2024.
#TaifaLaWote
#MaslahiYaWote
Ni rasmi sasa ACTWazalendo imezindua Nembo Mpya yenye kuashiria uwazi, usafi ung'aavu na Utu.
#taifalawote
#maslahiyawote
Mkutano Mkuu wa kidemokrasia 27/04/2024 #Kilimanjaro watz watashuhudia siasa safi ACTWazalendo. Na baada ya hilo tutakuwa kazini kuhakikisha kuanzia ujumbe,mitaa, vitongoji,vijiji ni kushinda na hatuna masihahara na hili. Nipo moshi tayari #TaifaLaWote #MaslahiYaWote karibuni
Chama pekee Tanzania kinacholinda maslahi ya demokrasia, na kuiishi demokrasia ni ACTWazalendo
#TheFutureisPurple
#MaslahiYaWote
#TwenzetuKigoma