Abdul-Aziz Carter
@aziz_carter
Cornerstone leadership Academy Alumni & University of Dar es salaam
& Sucessionist.
ID:1527573493180682241
20-05-2022 08:54:59
137,4K Tweets
1,5K Followers
5,2K Following
.Sammy Awami amewasilisha moja ya picha inayoweza kutokea 2040 katika sekta ya Habari: 'Habari Kitanzini'
'Taaluma haijalishi tena hapa alimradi tu mtu uwe wa kwanza kupata taarifa na una nyenzo ya kuisambaza hiyo taarifa.'
#WorldPressFreedomDay
#SautiZaWaandishi
khalifa said #PALESTINE 🇵🇸 ☭🌹 umetafuta tu namna ya kutuingiza ACTWazalendo katika jambo hili. Mfano wako wa Mbunge wa Konde ni mfano wa kufinyanga finyanga wala hauna uzito. Chama pekee cha Upinzani kilichotayari hata leo kuongoza nchi hii ni ACT Wazalendo. Sababu tunazo;
1. Ndio chama…
Mwenyekiti Wa Mkoa wa Kigoma Ndugu Kiza Mayeye., Naibu Katibu Mwenezi Taifa Ndugu shangwe Ayo, Naibu Mwanasheria wa Chama Ndugu Bonifasia Mapunda, Viongozi mbalimbali na Wanachama wa ACTWazalendo leo Mei 02, 2024 wamefaya Usafi katika Soko la Mwalo wa kibirizi Eneo la Rasini…
Zimebaki siku 2 kuelekea maadhimisho ya miaka 10 ya ACTWazalendo.
#TwenzetuKigoma
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili
Zimebaki siku 2 kuelekea maadhimisho ya miaka 10 ya ACTWazalendo.
#TwenzetuKigoma
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili