Lab Technologist ๐ฌ
@vitalisvedasto
๐God. Lab technologist. CATHOLIC , Man UTD &SIMBA die hard fan. Baba&mama๐
SUKUMA OG , MWANZA TZ
ID: 844264211257679873
21-03-2017 19:07:28
48,48K Tweet
1,1K Followers
5,5K Following
Mpaka sasa, hatujui aliko Katibu Mkuu wetu MNYIKA John John na John Heche Makamu Mwenyekiti ! Walitekwa waziwazi na maofisa wa Police Force TZ maeneo ya Fire na Salenda walipokuwa wakielekea mahakamaniโna tangu hapo wamepotea bila maelezo yoyote. Tunataka majibu sasa hivi: YUKO WAPI KATIBU
Kwa uweza WA Mungu tumefanikiwa kufika Nyumbani muda huu baada ya kushikiliwa kizuizini na polisi kinyume na utaratibu tukiwa na makamu mwenyekiti John Heche kwa masaa zaidi ya 14 porini Nimesikitishwa Sana Bado naamini Mungu atatushindia
Akaunti ya YouTube na Instagram za Global TV Online zimefuta habari hii ya Mwandishi wao, Bi. Grace Kihuni kukamatwa na kupigwa akitekeleza majukumu yake katika Mahakama ya Kisutu. Tulihifadhi, tumeweka hapa ili Eric James Shigongo asianze kuwapiga mkwara wafanyakazi wake.