Tharakanithi (@vegasotieno) 's Twitter Profile
Tharakanithi

@vegasotieno

ID: 1274303010

calendar_today17-03-2013 07:36:45

1,1K Tweet

196 Followers

586 Following

Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

VIDEO: Makamu Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi JOSEPH SELASINI ni miongoni mwa waliojitokeza kwenye Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam kufuatilia kesi inayohusu kutoweka kwa Mwanaharankati kijana DEUSDEDITH SOKA na wenzake wawili iliyofunguliwa Mahakamani hapo

Cornelius K. Ronoh (@itskipronoh) 's Twitter Profile Photo

This video will make you more angrier. It deserves to be trending like wild bushfire. This apostle has told Ruto and Raila the truth, point blank.

Yericko Nyerere (@yerickonyereret) 's Twitter Profile Photo

Agizo hili la Rais kwa vyombo vya Dola yaani kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP, Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa na Mkuu wa Majeshi, ni AMRI ya Kirais iliyotolewa na Amiri Jeshi Mkuu. Tunataraji angalau ndani ya saa 24 hadi siku 7, wote waliohusika kwa kupanga, kumteka na mauaji ya

Agizo hili la Rais kwa vyombo vya Dola yaani kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP, Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa na Mkuu wa Majeshi, ni AMRI ya Kirais iliyotolewa na Amiri Jeshi Mkuu.

Tunataraji angalau ndani ya saa 24 hadi siku 7, wote waliohusika kwa kupanga, kumteka na mauaji ya
Moyo wa TAIFA ™️ (@bajabiri) 's Twitter Profile Photo

Mimi kuna watu wakiwashauri vijana huwa nawapa sikio. Lakini mtu anayeendesha maisha yake kwa TEUZI...sioni kama ni mtu sahihi wa kuwashauri vijana ambao wengi hawana ajira. Huo mtazamo wangu.

Sammy Awami (@awamisammy) 's Twitter Profile Photo

The amount of resources and efforts kinachowekwa kusumbua, kuumiza na hata kuuwa opposition politicians and their supporters in this country inatia kichefuchefu sana! Kwa faida gani, kwa mfano? 😏

🔥🍫Pharm.Unique (@celebritypharm) 's Twitter Profile Photo

HIV and AIDS : KEY THINGS TO NOTE HIV may not have a cure, but modern medicine has turned it into a manageable chronic condition. This means that with proper prevention, early diagnosis, and effective treatment, people living with HIV can lead long, healthy lives. Let’s

HIV and AIDS :  KEY THINGS TO NOTE 

HIV may not have a cure, but modern medicine has turned it into a manageable chronic condition.

This means that with proper prevention, early diagnosis, and effective treatment, people living with HIV can lead long, healthy lives.

Let’s
Ayubu Madenge (@ayubu_madenge) 's Twitter Profile Photo

Retweet ziwe kwa Lissu na Like ziwe kwa Mbowe, tumalize Ubishi mapema kabisa. Tweet hii iwafikie Wajumbe wa CHADEMA waone mtazamo wa watu wa X Ukoje wakiwa wanapiga kura leo.

Retweet ziwe kwa Lissu na Like ziwe kwa Mbowe, tumalize Ubishi mapema kabisa. Tweet hii iwafikie Wajumbe wa CHADEMA waone mtazamo wa watu wa X Ukoje wakiwa wanapiga kura leo.
Gilly Bonny Tv (@gillybonnytv) 's Twitter Profile Photo

Makamu mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na na Maendeleo CHADEMA, John Heche amewaeleza Wananchi Wa Chato GEITA kuwa, Halmashauri Zetu nchini hazibuni Njia nyingi za ukusanyaji wa mapatu na madhara yake wanakusanya mapato madogo kulinganisha na Maduka ya Wachaga kariakoo.

SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Mji wa katoro-Busanda Mkoani Geita Umefungwa kwa Muda wananchi wakiusindikiza Msafara wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara Mhe.John Heche baada ya Kumalizika kwa Mkutano wa Hadhara Jioni ya Leo. #NoReformsNoElection #TUTAKUWEPO🫵🏾😎

Mji wa katoro-Busanda Mkoani Geita Umefungwa kwa Muda wananchi wakiusindikiza Msafara wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara Mhe.<a href="/HecheJohn/">John Heche</a> baada ya Kumalizika kwa Mkutano wa Hadhara Jioni ya Leo.

#NoReformsNoElection 

#TUTAKUWEPO🫵🏾😎
John Pambalu (@john_pambalu) 's Twitter Profile Photo

"Njia pekee ya kulinda kura yako kwa wivu mkubwa ni kukaa nayo mwenyewe ila ukiiweka tu kwenye box la kura ushaliwa tayari...";- Askofu Bagonza.

"Njia pekee ya kulinda kura yako kwa wivu mkubwa ni kukaa nayo mwenyewe ila ukiiweka tu kwenye box la kura  ushaliwa tayari...";- Askofu Bagonza.
Rose Mayemba (@rose_mayemba) 's Twitter Profile Photo

Ndugu zangu watanzania, nchi yetu iko njia panda, Nchi yetu inahangaika Inahitaji uongozi Sisi tunajitolea kutoa uongozi Tunahitaji mtuunge mkono. Maneno ya Makamu Mwenyekiti John Heche akizungumza na wananchi wa Tabora hivi karibuni. #NoReformNoElection

Twaha Mwaipaya (@twaha_mwaipaya) 's Twitter Profile Photo

UJUMBE WA MATESO KUTOKA KWA MH. TUNDU LISSU AKIWA GEREZANI UKONGA. “Ndugu zangu, Kwa wiki kadhaa sasa nimewekwa kwenye total isolation “upweke wa kulazimishwa” Wale wafungwa wenzangu waliokuwa nami kwenye selo moja, ambao walikuwa wamehukumiwa adhabu ya kifo, wametolewa wote

UJUMBE WA MATESO KUTOKA KWA MH. TUNDU LISSU AKIWA GEREZANI UKONGA. 

“Ndugu zangu,
Kwa wiki kadhaa sasa nimewekwa kwenye total isolation “upweke wa kulazimishwa”

Wale wafungwa wenzangu waliokuwa nami kwenye selo moja, ambao walikuwa wamehukumiwa adhabu ya kifo, wametolewa wote