uzalendo
@uzalendowetu
Sports Entertainment ,intelligence, Government & Politics #Election2016 Gov Officials & Agencies
ID: 847927603801575425
31-03-2017 21:44:29
337 Tweet
170 Followers
362 Following
Happy New Year , Watanzania wote mnaotarajia kuchapwa mnada tena wa bei cheee...Shaka Hamdu Shaka Zitto MwamiRuyagwa Kabwe Fatuma's Voice fatma karume aka Shangazi
Huyu ndo Kiongozi na amebeba matumaini ya Vijana wote wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi ndo anatetea ujinga ...kweli inaonyesha kwa sasa hakuna agenda ya kuwakomboa Watanzania kila mtu anatafuta pesa kwa njia zake, huyu atuambie anazitafutia wapi??? @ChademaTz Shaka Hamdu Shaka
Kwa Lugha rahisi sana Maria Sarungi Tsehai unamuunga mkono Ndugai lakini naamini unaunga mkono hoja yake ,kumbe hata wewe unaogopa kupigwa mnada ?? Aaaiyaa..Technically huna approval ya Uongozi wa Mama ..Tanzania ngumu sana hebu tuendelee kutafuta malaika wa kuja kuongoza Tanzania 🇹🇿
Yaani Tanzania tumefikia hapa?? Wakuu wa Mikoa 8, Makatibu Tawala wa Mikoa 8, Kamati za ulinzi na Usalama Mikoa 8, wanachoma mafuta ya watanzania, walipa kodi, yaani kwenda kutamka tu Happy bd Mhe.SSH Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chama Cha Mapinduzi Samia Suluhu Maria Sarungi Tsehai fatma karume aka Shangazi Tundu Antiphas Lissu
Hapa mtego uliopo ni kuwa serikali inaingilia muhimili wa mahakama ama la, iwapo kama Mbowe ataachiwa kwa maelekezo haya, basi hakuna utawala wa sheria . Na kama itakuwa hvo basi tunaomba na Sabaya aachiwe huru yaishe Chama Cha Mapinduzi Chama cha Demokrasia na Maendeleo ikulu_Tanzania Ikulu Tanzania