Peter temba (@peter80865270) 's Twitter Profile
Peter temba

@peter80865270

Temba

ID: 1450867563395747847

calendar_today20-10-2021 16:53:09

13,13K Tweet

584 Takipçi

1,1K Takip Edilen

Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, siku ya Alhamisi, tarehe 7 Desemba 2023, atafanya ziara mkoani Manyara, wilaya ya Hanang kutembelea wahanga wa tukio la mafuriko ili kutoa pole na faraja kwa familia zilizokumbwa na janga hili. Katika

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), <a href="/freemanmbowetz/">Freeman Mbowe</a>, siku ya Alhamisi, tarehe 7 Desemba 2023, atafanya ziara mkoani Manyara, wilaya ya Hanang kutembelea wahanga wa tukio la mafuriko ili kutoa pole na faraja kwa familia zilizokumbwa na janga hili.

Katika
Nipashe Tanzania (@nipashetz) 's Twitter Profile Photo

(𝐈𝐦𝐞𝐚𝐧𝐝𝐢𝐤𝐰𝐚 𝐍𝐚 𝐃𝐨𝐭𝐭𝐨 𝐋𝐚𝐦𝐞𝐜𝐤) MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe anatarajia kufanya ziara katika Wilaya ya Hanang mkoani Manyara yenye lengo la kutoa pole na faraja kwa familia zilizokumbwa na janga la mafuriko. Katika

(𝐈𝐦𝐞𝐚𝐧𝐝𝐢𝐤𝐰𝐚 𝐍𝐚 𝐃𝐨𝐭𝐭𝐨 𝐋𝐚𝐦𝐞𝐜𝐤)

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe anatarajia kufanya ziara katika Wilaya ya Hanang mkoani Manyara yenye lengo la kutoa pole na faraja kwa familia zilizokumbwa na janga la mafuriko.

Katika
MwanaHALISI Digital (@mwanahalisitz) 's Twitter Profile Photo

M/kiti wa Mawakili Vijana kutoka TLS, Edward Heche, wameitisha matembezi ya amani Disemba 16, 2023, kupinga tabia ya mawakili kufungiwa kwa kigezo cha ukiukwaji wa maadili. Ni siku chache tangu AG, Dk. Eliezer Feleshi, kuitaka Kamati ya Maadili ya Mawakili kuwachukulia hatua

M/kiti wa Mawakili Vijana kutoka TLS, Edward Heche, wameitisha matembezi ya amani Disemba 16, 2023, kupinga tabia ya mawakili kufungiwa kwa kigezo cha ukiukwaji wa maadili. Ni siku chache tangu AG, Dk. Eliezer Feleshi, kuitaka Kamati ya Maadili ya Mawakili kuwachukulia hatua
Boniface Jacob (@exmayorubungo) 's Twitter Profile Photo

Si hivyo sasa,Simple tu, MMEKUFA..? Mbona mambo yameenda Vizuri,wagonjwa wamefarijika na Kila wodi walikuwa wanagombea na Kumuita Mbowe afike kuwaona pia. Wagonjwa wamefarijika,Sasa Ma CCM mmepungukiwa na nini...? Shenzi sanaaaaaa..!

Si hivyo sasa,Simple tu, MMEKUFA..?

Mbona mambo yameenda Vizuri,wagonjwa wamefarijika na Kila wodi walikuwa wanagombea na  Kumuita Mbowe afike kuwaona pia.

Wagonjwa wamefarijika,Sasa Ma CCM mmepungukiwa na nini...?

Shenzi sanaaaaaa..!
Tundu Antiphas Lissu (@tundualissu) 's Twitter Profile Photo

Hivi Serikali hii ilijifunza chochote juu ya kifo cha Magufuli mwaka juzi? Kifo au ugonjwa wa kiongozi mkuu wa nchi havifichiki! Kufichaficha kunaleta hisia mbaya za mchezo mchafu dhidi yake. Jisafisheni! Tuambieni aliko Makamu wa Rais Phillip Mpango sasa! bbc.com/news/world-afr…

MwanzoTV (@mwanzotv) 's Twitter Profile Photo

"Did this gov't learn anything from the fog of secrecy around Magufuli's death two years ago? Death/illness of state leaders can't be hushed up. Secrecy breeds rumors of dirty tricks/foul play. Come clean! Tell us where Vice President Phillip Mpango is now!" - Tundu Lissu, Vice

"Did this gov't learn anything from the fog of secrecy around Magufuli's death two years ago? Death/illness of state leaders can't be hushed up. Secrecy breeds rumors of dirty tricks/foul play. Come clean! Tell us where Vice President Phillip Mpango is now!" - Tundu Lissu, Vice
Peter temba (@peter80865270) 's Twitter Profile Photo

Mamia ya wanafunzi wakiwa kwenye mkutano wa hadhara wa Mbunge wa Ushetu Mhe. Emmanuel Cherehani katika Kata ya Mapamba Nachosikitika wanafunzi Muda Ambao walipaswa kuwa shuleni Badala yake wanaenda kujazwa uwanjani

Mamia ya wanafunzi wakiwa kwenye mkutano wa hadhara wa Mbunge wa Ushetu Mhe. Emmanuel Cherehani katika Kata ya Mapamba Nachosikitika  wanafunzi Muda Ambao walipaswa kuwa shuleni  Badala yake wanaenda kujazwa uwanjani
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

‼️Happy Independence Day TANGANYIKA ‼️ FYI international media and community and Google today is the independence day of Tanganyika - in 1961 there was no Tanzania‼️ #Fact Tanzania is the Union of Tanganyika and Zanzibar in 1964 so what we celebrate as a union is Union Day in

‼️Happy Independence Day TANGANYIKA ‼️
FYI international media and community and <a href="/Google/">Google</a>  today is the independence day of Tanganyika - in 1961 there was no Tanzania‼️ 
#Fact Tanzania is the Union of Tanganyika and Zanzibar in 1964 so what we celebrate as a union is Union Day in
Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

‼️Nawapa siri ‼️ Hawasemi nchi gani alikuwepo Dr Mpango kwa sababu tutaenda kupitia media za kimataifa kama BBC News Africa kutafuta maelezo kutoka serikali husika watueleze alikuwa hapo kwa kazi gani! Hamtakaa kujibiwa hilo 😃 Ndo mjue “kelele” zetu zina mantiki #TutaelewanaTu

‼️Nawapa siri ‼️
Hawasemi nchi gani alikuwepo Dr Mpango  kwa sababu tutaenda kupitia media za kimataifa kama <a href="/BBCAfrica/">BBC News Africa</a> kutafuta maelezo kutoka serikali husika watueleze alikuwa hapo kwa kazi gani! 
Hamtakaa kujibiwa hilo 😃
Ndo mjue “kelele” zetu zina mantiki
#TutaelewanaTu
Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

"Ndio maana wanasiasa/ watawala hawapendi sana mijadala, wanajuwa kwamba wakiruhusu mijadala huku watakuwa wanapingwa, wao wanataka kueneza mawazo kwamba wanachosema wao ndo ukweli, ndio maana wanachosema jana kinagongana na wanachosema leo, na ndio sifa moja wapo kwa Mwanasiasa,

"Ndio maana wanasiasa/ watawala hawapendi sana mijadala, wanajuwa kwamba wakiruhusu mijadala huku watakuwa wanapingwa, wao wanataka kueneza mawazo kwamba wanachosema wao ndo ukweli, ndio maana wanachosema jana kinagongana na wanachosema leo, na ndio sifa moja wapo kwa Mwanasiasa,
Boniface Jacob (@exmayorubungo) 's Twitter Profile Photo

Shikamoo siasa..............................! Mzani halisi ndiyo hii na majibu usinipe mimi hayo ila baki nayo baada ya Kupima ktk mzani wako. Ila ukipata majibu usiyatupe tafadhali,bali yafanyia kazi please. UTAJUA UJUI

Shikamoo siasa..............................!

Mzani halisi ndiyo hii na majibu usinipe mimi hayo ila baki nayo baada ya Kupima ktk mzani wako.

Ila ukipata majibu usiyatupe tafadhali,bali yafanyia kazi please.

UTAJUA UJUI
Boniface Jacob (@exmayorubungo) 's Twitter Profile Photo

HII STULI IMETOWEKA HANANG taarifa zilizonifikia muda huu Mama Aweda ambaye ndiyo mmiliki wa Nyumba ambayo walikuwa wanatoa tope ndani huko KATESH anasema baada ya Stuli yake kutolewa ndani ilichukuliwa na kutolewa nje Kupigwa picha na Vijana wa UVCCM hakuiona tena hadi

HII STULI  IMETOWEKA HANANG 

taarifa zilizonifikia muda huu Mama  Aweda ambaye ndiyo mmiliki wa Nyumba ambayo walikuwa wanatoa tope ndani huko KATESH

 anasema baada ya Stuli yake kutolewa ndani ilichukuliwa na kutolewa nje Kupigwa picha na Vijana wa UVCCM hakuiona tena hadi
MwanzoTvPlus (@mwanzotvplus) 's Twitter Profile Photo

Mwanasheria na mwanaharakati wa haki za binadamu kutoka Tanzania, Joseph Moses Oleshangay, ametunukiwa Tuzo ya Haki za Binaadamu ya mji wa Weimar nchini Ujerumani. Joseph Oleshangay ametunikiwa tuzo hilo kutokana na juhudi zake za kutetea jamii ya wamasai ambao kwa muda wamehangaishwa

Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

"Haki unazozipata nje ya mtandao unatakiwa pia uzipate mtandaoni, kuna vitu vingi ambavyo sisi tunakuwa washirika wa kuhalalisha uminywaji wa haki zetu mtandaoni, moja kuja kuonyesha kwamba kile kinachofanyika nje ya mtandao siyo tatizo isipokuwa kikifanyika mtandaoni ndiyo

"Haki unazozipata nje ya mtandao unatakiwa pia uzipate mtandaoni, kuna vitu vingi ambavyo sisi tunakuwa washirika wa kuhalalisha uminywaji wa haki zetu mtandaoni, moja kuja kuonyesha kwamba kile kinachofanyika nje ya mtandao siyo tatizo isipokuwa kikifanyika mtandaoni ndiyo