Ngaiza
@tamugasheki
Husband/Father/concerned citizen.
RT is not endorsement
ID: 1302213897836015617
05-09-2020 11:56:33
1,1K Tweet
84 Followers
593 Following
Kama wewe ni mzalendo na mpenda haki, RE-POST or RE-TWEET this: ‼️🙌🏽 Pamoja hakuna kitu tunashimdwa‼️👊🏽 Tumevuka milioni 100 katika mchango wetu kuelekea kuhakikisha mwamba Tundu Antiphas Lissu anapata gari jingine madhubuti na salama kuzunguka nchi nzima kutoa elimu muhimu kuelekea
Lubasha Jr Mwanamke/mwanaume sio ndugu yako thats why kuna taraka, tujifunze sana kuwekeza kwenye familia zetu tulizotoka wenyew ndio wanaweza kusimama na wwe had mwsho kama ukijenga nao mahusiano mazuri.
Nyamandenge Magufuli DON MINJA Swahili Times Akipumzika kifo kipo, asipopumzika kipo vile vile, bora afie vitani.
‼️TUMEMLA NG’OMBE IMEBAKI MKIA - TUFIKISHE MILIONI 150👊🏽 Tundu Antiphas Lissu ametoa taarifa Clubhouse kuwa wamemaliza kufuatilia sokoni magari na kuanzia mil 120 kuendelea kuna magari old model inapatikana lakini ni vyema tuongeze dau tuwe na uhakika na gari imara! Milioni 150 kufikia
Farhan Kihamu Jr Strategy ya kushinda ndani ili Mje Mshindwe nje ni ujinga,Kama kiongozi ni strategic anatakiwa aangalie bigger picture, reflection ya intra party politics ina impact kwa National politics,yeye aendekezee Tamaa na ubinafsi kisa wajumbe atawapa vihela ,Hivo vihela vitauponza
IN GOD WE TRUST Wengi wanasaidia na hawajitangazi. Ukiona msaada unatangazwa tambua aliyesaidiwa anatumika dhidi ya mtoa msaada ili amtengenezee headlines. Wakristo tumefundishwa ukitoa na mkono wa kulia hata wa kushoto usijue.
Found this THREAD helpful? The free-est, easiest way to support me is simple Hit like and RT the first post. It would mean the world for a full time content creator: And don’t forget to follow me Bambulu 2.0
Francis Thomas J. Kibwana Mi siioni EGO katika hili, acheni TAL asimamie maazimio, demokrasia tu ipae. Watu wakubaliane na uhalisia different key has been set through democratic processes, kutokubaliana na hilo ni kuitukana Demokrasia. There is nothing TAL anapush undemocratic internally. I rest ✌️
Jana nikiwa njiani kutoka kwenye mkutano wa hadhara wa Maswa kuelekea mkutano wa Shinyanga Mjini niliamua kuchepuka kwenda kijiji cha Negezi Wilaya ya Kishapu kudhuru kaburi la Hayati Mohamed Ali Makani almaarufu Bob Nyanga Makani Katibu Mkuu wa Kwanza Chadema Tanzania na Mwenyekiti