
Peter L Kabulwa
@pkabulwa
A Philanthropist & Charismatic Medical Doctor & Tutor-CMT
Fan of #Simba #Liverpool #BvB
ID: 3612841587
10-09-2015 19:59:42
2,2K Tweet
382 Followers
718 Following



Asubuhi ya Leo nimemtembelea Mwenyekiti wa chama mhe Tundu Antiphas Lissu katika gereza la Ukonga. Yuko imara mwenye afya njema. Ameniambia kuna mabadiliko mengi katika treatment yake gerezani baada ya wasilisho lake mahakamani. Sasa anaruhusiwa kufanya mazoezi uwanjani. Sasa



"Chama chenu kinapitia kipindi cha mapambano dhidi ya watawala. Wanatamani viongozi wenu tusujudu na tukae kimya tuwe chama cha machawa wa kusujudu. Sisi tumekataa. Tumeamua kusimama na wananchi, tumeamua kusimamia haki." Mhe. John Heche

Mwambieni Samia Suluhu akamate na tamko hili la Platform for African Democrats (PAD) ✊🏽🔥 Tundu Lissu ni moto wa kuotea mbali na leo Mama yao analala na viatu! Dunia nzima imesimama na Tundu Antiphas Lissu 👏🏽 #FreeTunduLissu #NoReformsNoElection













