John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile
John Heche

@hechejohn

Vice Chairman Chadema Tanganyika, former Member of Parliament for Tarime rural constituency, a reformer.

ID: 558686364

linkhttps://en.wikipedia.org/wiki/John_Heche calendar_today20-04-2012 12:45:14

82,82K Tweet

777,777K Followers

1,1K Following

John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Moja ya vitu vinavyofanya watu wasitende haki, ni vyeo vya kuhongwa vya teuzi baada ya kustaafu. Kila wakati mtu anawaza kumfurahisha anaeteua ili akistaafu amkumbuke. Jaji mkuu kuwa mtu fulani, IGP kuwa Balozi au mkuu wa Mkoa, Jaji kuwa Mwenyekiti wa time au bodi fulani.